Donald Trump Hapepesi Macho Kuhusu Ushoga Kama Atafanikiwa Kuwa Rais wa Marekani

Mkuu sasa kivipi nchi za magharibi zinazoshabikia ushoga ndio kila kukicha tunaenda kuomba msaada kwamba ni tajiri? Au hii laana ni kwa mashoga wa kiafrika tu!!?
 
Mkuu sasa kivipi nchi za magharibi zinazoshabikia ushoga ndio kila kukicha tunaenda kuomba msaada kwamba ni tajiri? Au hii laana ni kwa mashoga wa kiafrika tu!!?
Halafu Kwa Taarifa yake Duniani wengi asilimia Kubwa mashoga ndo wanapesa sana Na wanafund Taasisi nyingi sana na wananguvu sana..

Sasa huwa nashundwa Kuelewa hata Mimi hii laana Huwa inawashika waafrika tu
 
Hiyo taarifa ya kuchongwa na AI wal sio Trump.

Pia Katika wabunge wa Republicans kuna mashoga pia.

Ushoga ni halali kwa USA na watu wengi wa vyama vyote wanakubaliana juu ya hilo.

Issue Labda kwenye transgender na sio kwenye ushoga
 
Hiyo taarifa ya kuchongwa na AI wal sio Trump.

Pia Katika wabunge wa Republicans kuna mashoga pia.

Ushoga ni halali kwa USA na watu wengi wa vyama vyote wanakubaliana juu ya hilo.

Issue Labda kwenye transgender na sio kwenye ushoga
Nenda utube angalia video amesema hayo Leo hii.

Nimeweka source hapo.
 
Hakuna kitu kama hicho. Lete hiyo link tukusaidie.
Ila Trump hajaongea chochote kuhusu LGBTQ. Sana sana kaongelea transgender na sio ushoga.

Hizo video ni fakes. Mnalishwa uongo tu.
Sasa Trans gender haimo kwenye LGBTQ?

Kwann mnatetea USHOGA iwe kana ni jambo la kawaida?
 
Huyu Papa Francis anavyopenda ushoga hawezi kukubali
 
Mkuu sasa kivipi nchi za magharibi zinazoshabikia ushoga ndio kila kukicha tunaenda kuomba msaada kwamba ni tajiri? Au hii laana ni kwa mashoga wa kiafrika tu!!?
Hizo nchi zimefika hapo zikiwa zinapiga marufuku agenda za kishoga, hizo nchi zimestawi na kupata uchumi na nguvu za kijeshi kipindi ushoga unapigwa marufuku...

Tazama US inavyodondoka hivi sasa kwenye ushawishi wa kidunia, Trump anaposema make America great again ina maana ameina US inakwenda kuangukia kidevu na kuzidiwa na nchi kama China...

Trump ana maono, na ukiacha ushabiki utagundua US ya leo si ile ya 1980s au 1990s... Inazidi kuporomoka... Ndio laana hizo za ushoga..

Mnakwenda kuomba pesa ambazo ni printed wao wanachukua rasilimali... Ni ujinga na viongozi wenu kujaa uroho lakini Africa ni tajiri kuliko...
 
Halafu Kwa Taarifa yake Duniani wengi asilimia Kubwa mashoga ndo wanapesa sana Na wanafund Taasisi nyingi sana na wananguvu sana..

Sasa huwa nashundwa Kuelewa hata Mimi hii laana Huwa inawashika waafrika tu
Mashoga ni washenzi tu, wafirwaji tu hawana lolote, wengi na hizo pesa zao wanaishi maisha ya hofu, sonona na kutokujikubali, wanajihisi hawafai katika jamii, yaani wanajikataa wenyewe na nafsi zao zinawakataa kabla hata ya watu...

Ndio maana kutwa na mibendera kulazimisha watu wawakubali, mtu kama Trump wapo wengi mitaani tena wazungu pure na wanawatenga mashoga na kuwadharau....

Trump hana unafiki,

Ndipo ujue nature ni balaa...

Shoga na fedha zake hatofautiani na matajiri wenye pesa za madili haramu au ushirikina...

Ushoga ni laana... na kumbuka mashoga wenye pesa si wengi, straight wana pesa kuliko hao wajinga...

Top 10 ya matajiri duniani nani shoga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…