Donald Trump Hapepesi Macho Kuhusu Ushoga Kama Atafanikiwa Kuwa Rais wa Marekani

Donald Trump Hapepesi Macho Kuhusu Ushoga Kama Atafanikiwa Kuwa Rais wa Marekani

Kuna NGOs za kimarekani ziko hapa nchini nazihurumia sana! fhi360, jhpiego na zingine zinazofana na hizo zinaenda kupata taabu sana!
Watakula walikopeleka mboga,

Na mafuta Yao yatayeyuka. Hawa waliolaaniwa walikuwa na pesa nyingi sana Toka kuzimu kufadhili UOVU huu duniani kote.
 
Salaam, Shalom!!

Leo hii, Rais Mteule ametangaza vita na Taasisi zinazojihusisha na USHOGA na kubadili jinsia LGBTQ duniani , Taasisi hizi Zina mizizinnchini pake,

Amedai sasa atafanikiwa sababu ana wabunge wengi kuliko Awamu iliyopita.

Ameapa kupeleka Sheria na adhabu Kali Kwa madaktari na Taasisi zinazojihusisha na uchafu huo.

Ilifika time, USA, mzazi aliweza kuruhusiwa kubadili jinsia ya mtoto aliyemzaa akiwa Bado under 5 yrs, huu UOVU ulikuwa umevuka mipaka, hopping hata majanga yatapungua nchini Pao.

Ninaona ban Kwa Museveni ikiondolewa baada ya ujio wa Donald Trump.

Hapa nchini, Taasisi hizo zitayeyuka zenyewe baada ya Nabii wa Mungu, Donald trump kuingia mamlakani.

Kwa jambo hili, ni dhahiri Waislamu na Wakristo na wasio na Dini wataungana na Nabii Donald Trump.

Mungu Mbariki Nabii Donald Trump.

Aamen.
Wale wanaoishi kwa kutegemea kamanyola za ushoga kwishney na Mungu hapana shaka anaweza kughairi hukumu inayotarajiwa katika maasi haya
 
Salaam, Shalom!!

Leo hii, Rais Mteule ametangaza vita na Taasisi zinazojihusisha na USHOGA na kubadili jinsia LGBTQ duniani , Taasisi hizi Zina mizizinnchini pake,

Amedai sasa atafanikiwa sababu ana wabunge wengi kuliko Awamu iliyopita.

Ameapa kupeleka Sheria na adhabu Kali Kwa madaktari na Taasisi zinazojihusisha na uchafu huo.

Ilifika time, USA, mzazi aliweza kuruhusiwa kubadili jinsia ya mtoto aliyemzaa akiwa Bado under 5 yrs, huu UOVU ulikuwa umevuka mipaka, hopping hata majanga yatapungua nchini Pao.

Ninaona ban Kwa Museveni ikiondolewa baada ya ujio wa Donald Trump.

Hapa nchini, Taasisi hizo zitayeyuka zenyewe baada ya Nabii wa Mungu, Donald trump kuingia mamlakani.

Kwa jambo hili, ni dhahiri Waislamu na Wakristo na wasio na Dini wataungana na Nabii Donald Trump.

Mungu Mbariki Nabii Donald Trump.

Aamen.
Waache tuendelee kugegendana. Nyuma kutamu sana
 
Nilivyoona siku ile amenurika kifo kimaajabu, baada ya kupigwa risasi alipokuwa kwenye kampeni, nikajisemea moyoni huyu huenda Mungu anakusudia kumtumia kufanya jambo la heri kiroho na kimaadili atakapokuwa ameshinda uchaguzi na kuwa rais wa Marekeni.
Mungu aendelee kumlinda ili aendelee kulitumikia kusudi la Mungu kwa Marekani na dunia kwa ujumla.
 
Salaam, Shalom!!

Leo hii, Rais Mteule ametangaza vita na Taasisi zinazojihusisha na USHOGA na kubadili jinsia LGBTQ duniani , Taasisi hizi Zina mizizinnchini pake,

Amedai sasa atafanikiwa sababu ana wabunge wengi kuliko Awamu iliyopita.

Ameapa kupeleka Sheria na adhabu Kali Kwa madaktari na Taasisi zinazojihusisha na uchafu huo.

Ilifika time, USA, mzazi aliweza kuruhusiwa kubadili jinsia ya mtoto aliyemzaa akiwa Bado under 5 yrs, huu UOVU ulikuwa umevuka mipaka, hopping hata majanga yatapungua nchini Pao.

Ninaona ban Kwa Museveni ikiondolewa baada ya ujio wa Donald Trump.

Hapa nchini, Taasisi hizo zitayeyuka zenyewe baada ya Nabii wa Mungu, Donald trump kuingia mamlakani.

Kwa jambo hili, ni dhahiri Waislamu na Wakristo na wasio na Dini wataungana na Nabii Donald Trump.

Mungu Mbariki Nabii Donald Trump.

Aamen.

Source: Times of India, Utube channel.
Ila nanusa majanga na kifo Kwa Trump.
Hii dunia ili kupinga uovu Kuna gharama ikiwezekana ya uhai inakupata.
Trump Allah amuhifadhi maana maamuzi anayoyabeba ni ya kupambana na taasisi ngumu sana.
 
Lakini kateua mwanasheria mkuu anayetuhumiwa kwa ubakaji na dawa za kuleya!
Anayetuhumiwa ila hajahukumiwa na ushahidi haujakamilika.
Hata wewe unaweza kutuhumiwa pia.
Ila angalau anatuhumiwa sex misconduct na binti sio shoga.
 
Salaam, Shalom!!

Leo hii, Rais Mteule ametangaza vita na Taasisi zinazojihusisha na USHOGA na kubadili jinsia LGBTQ duniani , Taasisi hizi Zina mizizinnchini pake,

Amedai sasa atafanikiwa sababu ana wabunge wengi kuliko Awamu iliyopita.

Ameapa kupeleka Sheria na adhabu Kali Kwa madaktari na Taasisi zinazojihusisha na uchafu huo.

Ilifika time, USA, mzazi aliweza kuruhusiwa kubadili jinsia ya mtoto aliyemzaa akiwa Bado under 5 yrs, huu UOVU ulikuwa umevuka mipaka, hopping hata majanga yatapungua nchini Pao.

Ninaona ban Kwa Museveni ikiondolewa baada ya ujio wa Donald Trump.

Hapa nchini, Taasisi hizo zitayeyuka zenyewe baada ya Nabii wa Mungu, Donald trump kuingia mamlakani.

Kwa jambo hili, ni dhahiri Waislamu na Wakristo na wasio na Dini wataungana na Nabii Donald Trump.

Mungu Mbariki Nabii Donald Trump.

Aamen.

Source: Times of India, Utube channel.
Mungu ameshambariki na atazidi kumbariki Mh. Rais Donald Trump

Aanze na Imamu Shoga Daaiye Abdullah na Waumin wake, huyu jamaa anasambaza sana Ushoga
 
Salaam, Shalom!!

Leo hii, Rais Mteule ametangaza vita na Taasisi zinazojihusisha na USHOGA na kubadili jinsia LGBTQ duniani , Taasisi hizi Zina mizizinnchini pake,

Amedai sasa atafanikiwa sababu ana wabunge wengi kuliko Awamu iliyopita.

Ameapa kupeleka Sheria na adhabu Kali Kwa madaktari na Taasisi zinazojihusisha na uchafu huo.

Ilifika time, USA, mzazi aliweza kuruhusiwa kubadili jinsia ya mtoto aliyemzaa akiwa Bado under 5 yrs, huu UOVU ulikuwa umevuka mipaka, hopping hata majanga yatapungua nchini Pao.

Ninaona ban Kwa Museveni ikiondolewa baada ya ujio wa Donald Trump.

Hapa nchini, Taasisi hizo zitayeyuka zenyewe baada ya Nabii wa Mungu, Donald trump kuingia mamlakani.

Kwa jambo hili, ni dhahiri Waislamu na Wakristo na wasio na Dini wataungana na Nabii Donald Trump.

Mungu Mbariki Nabii Donald Trump.

Aamen.

Source: Times of India, Utube channel.
Watu ss ndo wataelewa kwann alikuwa anapigwa sn mpk kutaka kumtoa uhai wake!

Mungu ndo aliamua Ili kunusuru generation
Tunamuombea
 
Back
Top Bottom