Jibu hoja acha kurukarukaNaona Upinde mnazidi kujitokeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu hoja acha kurukarukaNaona Upinde mnazidi kujitokeza
tatizo je Roma watakubali ?? maana rome ndo injinia na kichochezi ya ayo mambi via amerikaSalaam, Shalom!!
Leo hii, Rais Mteule ametangaza vita na Taasisi zinazojihusisha na USHOGA na kubadili jinsia LGBTQ duniani , Taasisi hizi Zina mizizinnchini pake,
Amedai sasa atafanikiwa sababu ana wabunge wengi kuliko Awamu iliyopita.
Ameapa kupeleka Sheria na adhabu Kali Kwa madaktari na Taasisi zinazojihusisha na uchafu huo.
Ninaona ban Kwa Museveni ikiondolewa baada ya ujio wa Donald Trump.
Hapa nchini, Taasisi hizo zitayeyuka zenyewe baada ya Nabii wa Mungu, Donald trump kuingia mamlakani.
Kwa jambo hili, ni dhahiri Waislamu na Wakristo na wasio na Dini wataungana na Nabii Donald Trump.
Mungu Mbariki Nabii Donald Trump.
Aamen.
Vita ni vita,tatizo je Roma watakubali ?? maana rome ndo injinia na kichochezi ya ayo mambi via amerika
Utasikia Marais uchwara Africa wakiunga mkono ilhali kipindi Cha Obama na Bidden, waliufyata.Afute na pono za kwamparange zinahamasisha usodoma
Kwa siasa za Marekani siamini kama atafanikiwa.Salaam, Shalom!!
Leo hii, Rais Mteule ametangaza vita na Taasisi zinazojihusisha na USHOGA na kubadili jinsia LGBTQ duniani , Taasisi hizi Zina mizizinnchini pake,
Amedai sasa atafanikiwa sababu ana wabunge wengi kuliko Awamu iliyopita.
Ameapa kupeleka Sheria na adhabu Kali Kwa madaktari na Taasisi zinazojihusisha na uchafu huo.
Ilifika time, USA, mzazi aliweza kuruhusiwa kubadili jinsia ya mtoto aliyemzaa akiwa Bado under 5 yrs, huu UOVU ulikuwa umevuka mipaka, hopping hata majanga yatapungua nchini Pao.
Ninaona ban Kwa Museveni ikiondolewa baada ya ujio wa Donald Trump.
Hapa nchini, Taasisi hizo zitayeyuka zenyewe baada ya Nabii wa Mungu, Donald trump kuingia mamlakani.
Kwa jambo hili, ni dhahiri Waislamu na Wakristo na wasio na Dini wataungana na Nabii Donald Trump.
Mungu Mbariki Nabii Donald Trump.
Aamen.
Ni manafiki kisenge kazi kulamba lamba miguu tu,,afu nimekuja kugundua kwamba kumbe republican ni chama Cha kikiristo aseeUtasikia Marais uchwara Africa wakiunga mkono ilhali kipindi Cha Obama na Bidden, waliufyata.
Roma ameshaangushwa hana nguvu tenatatizo je Roma watakubali ?? maana rome ndo injinia na kichochezi ya ayo mambi via amerika
Likatokea jiwe kubwa lisilotokana na KAZI ya mikono ya mwanadamu, likaiponda Ile sanamu na jiwe Hilo likaenea duniani kote na kuwa milima Mikubwa.Roma ameshaangushwa hana nguvu tena