Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Sasa mimi unanitag kwa nini hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mimi unanitag kwa nini hapa?
Ninacho shangaa mashoga wengi ni waislam na wapo uislamuni hapo ndio sielewagitatizo je Roma watakubali ?? maana rome ndo injinia na kichochezi ya ayo mambi via amerika
Ninacho shangaa mashoga wengi ni waislam hapo ndio sielewagitatizo je Roma watakubali ?? maana rome ndo injinia na kichochezi ya ayo mambi via amerika
Tuhuma Si UthibitishoLakini kateua mwanasheria mkuu anayetuhumiwa kwa ubakaji na dawa za kuleya!
UOVU Huwa Hauna dini ,RANGI Wala kabila.Ninacho shangaa mashoga wengi ni waislam na wapo uislamuni hapo ndio sielewagi
Mtoto wa hivyo mzazi ilipasa amuue hadharani Kwa mikono yake AGANO la kale.God Bless America...
Nafikiri Hizo ni Hasira za Elon Musk maana Mwanae Xavier Musk alinadilisha Jinsia na Kuwa mwNamke..
Elon alipata Hasira sana akamkana wZiwazi
hatamaliza miaka yake ya uongoziSalaam, Shalom!!
Leo hii, Rais Mteule ametangaza vita na Taasisi zinazojihusisha na USHOGA na kubadili jinsia LGBTQ duniani , Taasisi hizi Zina mizizinnchini pake,
Amedai sasa atafanikiwa sababu ana wabunge wengi kuliko Awamu iliyopita.
Ameapa kupeleka Sheria na adhabu Kali Kwa madaktari na Taasisi zinazojihusisha na uchafu huo.
Ilifika time, USA, mzazi aliweza kuruhusiwa kubadili jinsia ya mtoto aliyemzaa akiwa Bado under 5 yrs, huu UOVU ulikuwa umevuka mipaka, hopping hata majanga yatapungua nchini Pao.
Ninaona ban Kwa Museveni ikiondolewa baada ya ujio wa Donald Trump.
Hapa nchini, Taasisi hizo zitayeyuka zenyewe baada ya Nabii wa Mungu, Donald trump kuingia mamlakani.
Kwa jambo hili, ni dhahiri Waislamu na Wakristo na wasio na Dini wataungana na Nabii Donald Trump.
Mungu Mbariki Nabii Donald Trump.
Aamen.
Source: Times of India, Utube channel.
Mungu atamlinda maana Kuna kusudi lake aliloliweka ndani ya Trump alitimize.hatamaliza miaka yake ya uongozi
watamuua
Kipindi kile hakuweza sababu idadi ya wabunge wa Republican walikuwa kiduchu.Maneno ya wanasiasa hayo; ushoga haijaanza leo wala jana...na pia Trump siyo mara ya kwanza kuwa Rais wa Amerika.
Mimi namuunga mkono kupambana na ushoga japo angekuwa na nia angalifanya kuanzia kupindi kile.
Elon anamchukia sana Xavier (mwanaye) hataki hata KumuonaMtoto wa hivyo mzazi ilipasa amuue hadharani Kwa mikono yake AGANO la kale.
Sasa naye iweje azalishe midoli na kuiuza Kwa ajili ya kufanya uchafu?Elon anamchukia sana Xavier (mwanaye) hataki hata Kumuona
Trump Kipindi cha Urais wa 47 alikuwa Rais Jina maana Wabunge idadi kubwa Ilikuwa Ni wapinzani wake so asinheweza Kupitisha sheria yoyote ikaungwa Mkono..Maneno ya wanasiasa hayo; ushoga haijaanza leo wala jana...na pia Trump siyo mara ya kwanza kuwa Rais wa Amerika.
Mimi namuunga mkono kupambana na ushoga japo angekuwa na nia angalifanya kuanzia kupindi kile.
🤣🤣 BiasharaSasa naye iweje azalishe midoli na kuiuza Kwa ajili ya kufanya uchafu?
Mafirauni na mavibaraka ya mafirauni humu nchini matumbo jotro, uchafu wao umepata wa kuusafisha dah 💪👊🐒Salaam, Shalom!!
Leo hii, Rais Mteule ametangaza vita na Taasisi zinazojihusisha na USHOGA na kubadili jinsia LGBTQ duniani , Taasisi hizi Zina mizizinnchini pake,
Amedai sasa atafanikiwa sababu ana wabunge wengi kuliko Awamu iliyopita.
Ameapa kupeleka Sheria na adhabu Kali Kwa madaktari na Taasisi zinazojihusisha na uchafu huo.
Ilifika time, USA, mzazi aliweza kuruhusiwa kubadili jinsia ya mtoto aliyemzaa akiwa Bado under 5 yrs, huu UOVU ulikuwa umevuka mipaka, hopping hata majanga yatapungua nchini Pao.
Ninaona ban Kwa Museveni ikiondolewa baada ya ujio wa Donald Trump.
Hapa nchini, Taasisi hizo zitayeyuka zenyewe baada ya Nabii wa Mungu, Donald trump kuingia mamlakani.
Kwa jambo hili, ni dhahiri Waislamu na Wakristo na wasio na Dini wataungana na Nabii Donald Trump.
Mungu Mbariki Nabii Donald Trump.
Aamen.
Source: Times of India, Utube channel.
Sasa biashara inayopunguza watu kuzaliana,🤣🤣 Biashara
Asipokuwa makini,yatamkuta ya JPM, kwasababu anapingana na ajenda ya papa [Vatican].tatizo je Roma watakubali ?? maana rome ndo injinia na kichochezi ya ayo mambi via amerika