Donald Trump Hapepesi Macho Kuhusu Ushoga Kama Atafanikiwa Kuwa Rais wa Marekani

Donald Trump Hapepesi Macho Kuhusu Ushoga Kama Atafanikiwa Kuwa Rais wa Marekani

Salaam, Shalom!!

Leo hii, Rais Mteule ametangaza vita na Taasisi zinazojihusisha na USHOGA na kubadili jinsia LGBTQ duniani , Taasisi hizi Zina mizizinnchini pake,

Amedai sasa atafanikiwa sababu ana wabunge wengi kuliko Awamu iliyopita.

Ameapa kupeleka Sheria na adhabu Kali Kwa madaktari na Taasisi zinazojihusisha na uchafu huo.

Ilifika time, USA, mzazi aliweza kuruhusiwa kubadili jinsia ya mtoto aliyemzaa akiwa Bado under 5 yrs, huu UOVU ulikuwa umevuka mipaka, hopping hata majanga yatapungua nchini Pao.

Ninaona ban Kwa Museveni ikiondolewa baada ya ujio wa Donald Trump.

Hapa nchini, Taasisi hizo zitayeyuka zenyewe baada ya Nabii wa Mungu, Donald trump kuingia mamlakani.

Kwa jambo hili, ni dhahiri Waislamu na Wakristo na wasio na Dini wataungana na Nabii Donald Trump.

Mungu Mbariki Nabii Donald Trump.

Aamen.

Source: Times of India, Utube channel.
hatamaliza miaka yake ya uongozi
watamuua
 
Maneno ya wanasiasa hayo; ushoga haijaanza leo wala jana...na pia Trump siyo mara ya kwanza kuwa Rais wa Amerika.
Mimi namuunga mkono kupambana na ushoga japo angekuwa na nia angalifanya kuanzia kupindi kile.
 
Maneno ya wanasiasa hayo; ushoga haijaanza leo wala jana...na pia Trump siyo mara ya kwanza kuwa Rais wa Amerika.
Mimi namuunga mkono kupambana na ushoga japo angekuwa na nia angalifanya kuanzia kupindi kile.
Kipindi kile hakuweza sababu idadi ya wabunge wa Republican walikuwa kiduchu.
 
Maneno ya wanasiasa hayo; ushoga haijaanza leo wala jana...na pia Trump siyo mara ya kwanza kuwa Rais wa Amerika.
Mimi namuunga mkono kupambana na ushoga japo angekuwa na nia angalifanya kuanzia kupindi kile.
Trump Kipindi cha Urais wa 47 alikuwa Rais Jina maana Wabunge idadi kubwa Ilikuwa Ni wapinzani wake so asinheweza Kupitisha sheria yoyote ikaungwa Mkono..

Lets say Rais Tanzania Apatikane Tundu Lissu ila wabunge wawe CCM karibia 300 unafikiri Atakuwa na Nguvu...

Ila kama akiwa Rais na wabunge wakiwa wa Chama chake nguvu atakuwa nayo..

We unafikiri kwanini Ushindi wa Trump wa kipindi kile watu hawakuuogopa Sana kama walivyouogopa Ushindi wa Kipindi hichi???
Kwa sababu ushindi wa Kipindi Hichi una Nguvu sana na Una Congress kibao
 
Salaam, Shalom!!

Leo hii, Rais Mteule ametangaza vita na Taasisi zinazojihusisha na USHOGA na kubadili jinsia LGBTQ duniani , Taasisi hizi Zina mizizinnchini pake,

Amedai sasa atafanikiwa sababu ana wabunge wengi kuliko Awamu iliyopita.

Ameapa kupeleka Sheria na adhabu Kali Kwa madaktari na Taasisi zinazojihusisha na uchafu huo.

Ilifika time, USA, mzazi aliweza kuruhusiwa kubadili jinsia ya mtoto aliyemzaa akiwa Bado under 5 yrs, huu UOVU ulikuwa umevuka mipaka, hopping hata majanga yatapungua nchini Pao.

Ninaona ban Kwa Museveni ikiondolewa baada ya ujio wa Donald Trump.

Hapa nchini, Taasisi hizo zitayeyuka zenyewe baada ya Nabii wa Mungu, Donald trump kuingia mamlakani.

Kwa jambo hili, ni dhahiri Waislamu na Wakristo na wasio na Dini wataungana na Nabii Donald Trump.

Mungu Mbariki Nabii Donald Trump.

Aamen.

Source: Times of India, Utube channel.
Mafirauni na mavibaraka ya mafirauni humu nchini matumbo jotro, uchafu wao umepata wa kuusafisha dah 💪👊🐒
 
tatizo je Roma watakubali ?? maana rome ndo injinia na kichochezi ya ayo mambi via amerika
Asipokuwa makini,yatamkuta ya JPM, kwasababu anapingana na ajenda ya papa [Vatican].
Tumwombe MUNGU amjaalie ulinzi,atuondolee hii laana na nyingine zote zinazo fanana na hiyo.
 
Back
Top Bottom