Babuu Wesaki Kilauwo
JF-Expert Member
- Jul 10, 2024
- 357
- 488
Mbali na sheria busara lazima itumike.CEO wa Apple ni shoga
CEO wa OpenAI-ChatGPT ni shoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbali na sheria busara lazima itumike.CEO wa Apple ni shoga
CEO wa OpenAI-ChatGPT ni shoga
Mashoga mnateteana. Ila uzee wenu utakuwa shida kama Elton John. Maana anatembea amevaa Pampers.Mkonga wa internet robo tatu ya bajeti inatoka kwa Marekani anayesupport ushoga.
Ni katika kukumbushana.
Shida wengi wao Tsunami ishapita kitamboView attachment 3133396
Donald Trump, katika kampeni zake za uchaguzi wa 2024, ameonyesha msimamo mkali zaidi kuhusu masuala ya LGBT kuliko alivyofanya katika kampeni zake za awali. Ingawa wakati wa kampeni zake za mwaka 2016 na urais wake wa awali alijaribu kuepuka kuonyesha upinzani wa wazi kwa haki za LGBT, hivi sasa amechukua msimamo unaofanana na wa kihafidhina wa chama chake.
Katika kampeni za 2024, Trump ameelezea mipango ya kurejesha baadhi ya sera za kihafidhina kama vile marufuku dhidi ya watu waliobadili jinsia kutumikia katika jeshi, ambayo iliondolewa na Joe Biden. Pia ameahidi kupinga sera za haki za watu wa LGBT, hasa kuhusu suala la haki za watu wanaobadili jinsia, kama vile matumizi ya vyoo au kushiriki katika michezo kulingana na utambulisho wa kijinsia. Trump na washirika wake wamejikita zaidi kwenye suala la kulinda kile wanachokiita "haki za wazazi" dhidi ya sera zinazounga mkono haki za watu wa LGBT mashuleni na katika jamii kwa ujumla.
Waafrika wenzetu mnaoweza kupiga kura huko, TWENDE na TRUMP
US na ushoga ni pete na kidole, hakuna kitu anaweza kufanya huyoView attachment 3133396
Donald Trump, katika kampeni zake za uchaguzi wa 2024, ameonyesha msimamo mkali zaidi kuhusu masuala ya LGBT kuliko alivyofanya katika kampeni zake za awali. Ingawa wakati wa kampeni zake za mwaka 2016 na urais wake wa awali alijaribu kuepuka kuonyesha upinzani wa wazi kwa haki za LGBT, hivi sasa amechukua msimamo unaofanana na wa kihafidhina wa chama chake.
Katika kampeni za 2024, Trump ameelezea mipango ya kurejesha baadhi ya sera za kihafidhina kama vile marufuku dhidi ya watu waliobadili jinsia kutumikia katika jeshi, ambayo iliondolewa na Joe Biden. Pia ameahidi kupinga sera za haki za watu wa LGBT, hasa kuhusu suala la haki za watu wanaobadili jinsia, kama vile matumizi ya vyoo au kushiriki katika michezo kulingana na utambulisho wa kijinsia. Trump na washirika wake wamejikita zaidi kwenye suala la kulinda kile wanachokiita "haki za wazazi" dhidi ya sera zinazounga mkono haki za watu wa LGBT mashuleni na katika jamii kwa ujumla.
Waafrika wenzetu mnaoweza kupiga kura huko, TWENDE na TRUMP
Barack Obama ndiye muasisi wa sera za haki za LGBT na alichangia kwa kiasi kikubwa katika kupanua haki za watu wa jamii hiyo wakati wa urais wake. Utawala wake uliunga mkono ndoa za jinsia moja, haki za watu wanaobadili jinsia, na kupambana na ubaguzi dhidi ya watu wa LGBT. Hatua maarufu zaidi ilikuwa ni kuunga mkono kisheria ndoa za jinsia moja, jambo ambalo lilipitishwa rasmi na Mahakama Kuu ya Marekani mnamo mwaka 2015.
Nahisi naye Obama alikuwa bwabwa tu!! Ukweli uko hapa kwenye tukio la mwaka 2008 na Sinclair
View: https://x.com/4Mischief/status/1661736502500679685?t=4l4eNhdSZTUuaKOLWofYxw&s=19
ukurasa wa bbc swahili kuna mtabiri mmoja anampa pointi nyingi kamalaMkuu naomba unitafute baada ya uchaguzi kuisha, trump ni rais ajaye wa marekani
Mashoga lazime mushabikie ushoga, mbina tunawatambua kirahisi tuUS na ushoga ni pete na kidole, hakuna kitu anaweza kufanya huyo
Kama states gani na gani?Ila kuna states hazina hizo sheria.
Endeleeni kupakuliwa lakini Donald Trump amesema hataki!!!Trump alikuwa rais kwa miaka minne alishindwa nini, kuziondoa hizo sheria zinazoruhusu watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kuwako jeshini? Trump anaenda kurudi nyumbani maana yeye alishawai kuwa rais na hakufanya lolote ili kupunguza changamoto zilizopo katika nyanja lukuki.
Mashoga yapo mpaka White House unataka kuitenga US na ushoga hakuna kitu kama hikoMashoga lazime mushabikie ushoga, mbina tunawatambua kirahisi tu
Lengo mojawapo la LGBTQ ni kupunguza uzazi so I think hili jambo la Donald linahalalisha uzazi and hence kizazi kwenda kizazi kingine litaendelea kama kawaidaItawasaidiaje Wamarekani??
Mashoga Marekani wanatumia surrogate mothers na wana adopt watoto.Lengo mojawapo la LGBTQ ni kupunguza uzazi so I think hili jambo la Donald linahalalisha uzazi and hence kizazi kwenda kizazi kingine litaendelea kama kawaida
Du; mkuu umeniacha hapo; surrogate ndio nini tena?Mashoga Marekani wanatumia surrogate mothers na wana adopt watoto.
Surrogate mothers ni Wanawake wanaozalia watu watoto kwa mkataba maalumu kama yule wa Ronaldo.Du; mkuu umeniacha hapo; surrogate ndio nini tena?
Tenesee; Arkansas ; North dakota, FloridaKama states gani na gani?