Donald Trump Hapepesi Macho Kuhusu Ushoga Kama Atafanikiwa Kuwa Rais wa Marekani

Donald Trump Hapepesi Macho Kuhusu Ushoga Kama Atafanikiwa Kuwa Rais wa Marekani

Mkonga wa internet robo tatu ya bajeti inatoka kwa Marekani anayesupport ushoga.

Ni katika kukumbushana.
Mashoga mnateteana. Ila uzee wenu utakuwa shida kama Elton John. Maana anatembea amevaa Pampers.
Screenshot_20241023_163435_Google.jpg
 
View attachment 3133396

Donald Trump, katika kampeni zake za uchaguzi wa 2024, ameonyesha msimamo mkali zaidi kuhusu masuala ya LGBT kuliko alivyofanya katika kampeni zake za awali. Ingawa wakati wa kampeni zake za mwaka 2016 na urais wake wa awali alijaribu kuepuka kuonyesha upinzani wa wazi kwa haki za LGBT, hivi sasa amechukua msimamo unaofanana na wa kihafidhina wa chama chake.

Katika kampeni za 2024, Trump ameelezea mipango ya kurejesha baadhi ya sera za kihafidhina kama vile marufuku dhidi ya watu waliobadili jinsia kutumikia katika jeshi, ambayo iliondolewa na Joe Biden. Pia ameahidi kupinga sera za haki za watu wa LGBT, hasa kuhusu suala la haki za watu wanaobadili jinsia, kama vile matumizi ya vyoo au kushiriki katika michezo kulingana na utambulisho wa kijinsia. Trump na washirika wake wamejikita zaidi kwenye suala la kulinda kile wanachokiita "haki za wazazi" dhidi ya sera zinazounga mkono haki za watu wa LGBT mashuleni na katika jamii kwa ujumla.

Waafrika wenzetu mnaoweza kupiga kura huko, TWENDE na TRUMP
Shida wengi wao Tsunami ishapita kitambo
 
View attachment 3133396

Donald Trump, katika kampeni zake za uchaguzi wa 2024, ameonyesha msimamo mkali zaidi kuhusu masuala ya LGBT kuliko alivyofanya katika kampeni zake za awali. Ingawa wakati wa kampeni zake za mwaka 2016 na urais wake wa awali alijaribu kuepuka kuonyesha upinzani wa wazi kwa haki za LGBT, hivi sasa amechukua msimamo unaofanana na wa kihafidhina wa chama chake.

Katika kampeni za 2024, Trump ameelezea mipango ya kurejesha baadhi ya sera za kihafidhina kama vile marufuku dhidi ya watu waliobadili jinsia kutumikia katika jeshi, ambayo iliondolewa na Joe Biden. Pia ameahidi kupinga sera za haki za watu wa LGBT, hasa kuhusu suala la haki za watu wanaobadili jinsia, kama vile matumizi ya vyoo au kushiriki katika michezo kulingana na utambulisho wa kijinsia. Trump na washirika wake wamejikita zaidi kwenye suala la kulinda kile wanachokiita "haki za wazazi" dhidi ya sera zinazounga mkono haki za watu wa LGBT mashuleni na katika jamii kwa ujumla.

Waafrika wenzetu mnaoweza kupiga kura huko, TWENDE na TRUMP
US na ushoga ni pete na kidole, hakuna kitu anaweza kufanya huyo
 
Barack Obama ndiye muasisi wa sera za haki za LGBT na alichangia kwa kiasi kikubwa katika kupanua haki za watu wa jamii hiyo wakati wa urais wake. Utawala wake uliunga mkono ndoa za jinsia moja, haki za watu wanaobadili jinsia, na kupambana na ubaguzi dhidi ya watu wa LGBT. Hatua maarufu zaidi ilikuwa ni kuunga mkono kisheria ndoa za jinsia moja, jambo ambalo lilipitishwa rasmi na Mahakama Kuu ya Marekani mnamo mwaka 2015.

Nahisi naye Obama alikuwa bwabwa tu!! Ukweli uko hapa kwenye tukio la mwaka 2008 na Sinclair


View: https://x.com/4Mischief/status/1661736502500679685?t=4l4eNhdSZTUuaKOLWofYxw&s=19

Ila kuna states hazina hizo sheria.
 
Trump alikuwa rais kwa miaka minne alishindwa nini, kuziondoa hizo sheria zinazoruhusu watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kuwako jeshini? Trump anaenda kurudi nyumbani maana yeye alishawai kuwa rais na hakufanya lolote ili kupunguza changamoto zilizopo katika nyanja lukuki.
 
Trump alikuwa rais kwa miaka minne alishindwa nini, kuziondoa hizo sheria zinazoruhusu watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kuwako jeshini? Trump anaenda kurudi nyumbani maana yeye alishawai kuwa rais na hakufanya lolote ili kupunguza changamoto zilizopo katika nyanja lukuki.
Endeleeni kupakuliwa lakini Donald Trump amesema hataki!!!
 
Lengo mojawapo la LGBTQ ni kupunguza uzazi so I think hili jambo la Donald linahalalisha uzazi and hence kizazi kwenda kizazi kingine litaendelea kama kawaida
Mashoga Marekani wanatumia surrogate mothers na wana adopt watoto.
 
Back
Top Bottom