Donald Trump Hapepesi Macho Kuhusu Ushoga Kama Atafanikiwa Kuwa Rais wa Marekani

Donald Trump Hapepesi Macho Kuhusu Ushoga Kama Atafanikiwa Kuwa Rais wa Marekani

View attachment 3133396

Donald Trump, katika kampeni zake za uchaguzi wa 2024, ameonyesha msimamo mkali zaidi kuhusu masuala ya LGBT kuliko alivyofanya katika kampeni zake za awali. Ingawa wakati wa kampeni zake za mwaka 2016 na urais wake wa awali alijaribu kuepuka kuonyesha upinzani wa wazi kwa haki za LGBT, hivi sasa amechukua msimamo unaofanana na wa kihafidhina wa chama chake.

Katika kampeni za 2024, Trump ameelezea mipango ya kurejesha baadhi ya sera za kihafidhina kama vile marufuku dhidi ya watu waliobadili jinsia kutumikia katika jeshi, ambayo iliondolewa na Joe Biden. Pia ameahidi kupinga sera za haki za watu wa LGBT, hasa kuhusu suala la haki za watu wanaobadili jinsia, kama vile matumizi ya vyoo au kushiriki katika michezo kulingana na utambulisho wa kijinsia. Trump na washirika wake wamejikita zaidi kwenye suala la kulinda kile wanachokiita "haki za wazazi" dhidi ya sera zinazounga mkono haki za watu wa LGBT mashuleni na katika jamii kwa ujumla.

Waafrika wenzetu mnaoweza kupiga kura huko, TWENDE na TRUMP
Well unlike tz, america mfanya maamuzi si mtu mmoja, lazima maamuz hayo yajadiliwe na yapitishwe ndio yawe approved. Swali ni je mifumo mingine ita support?

Wamarekani wenyewe wana shida nao? Una waathiri kiuchumi au kikazi?
 
Hahaha apate urais kwa sababu ya ushoga? Huijui Marekani kijana, ushoga ni agenda ndogo sana ya braiwashed minds! America ni kiranja wa dunia haiwezi kumpa mtu urais kwa vijiagenda km vya mama tulia kule nje. Mtu anayepewa urais Marekani lazima aonyeshe ataipeleka wapi dunia kwa miaka minne ijayo comprehensively sio kwa vijihoja vitatu vya mihemko
Hoja ya ushoga ni hoja ndogo
Seriously
Hujui hata kwanini sodoma na gomora ziliteketezwa kwa Moto
Aisee
 
Well unlike tz, america mfanya maamuzi si mtu mmoja, lazima maamuz hayo yajadiliwe na yapitishwe ndio yawe approved. Swali ni je mifumo mingine ita support?

Wamarekani wenyewe wana shida nao? Una waathiri kiuchumi au kikazi?
Yeye Trump kishasema inatosha. Hilo suala la mufumo mingine kukubali ni out of context here
 
Yeye Trump kishasema inatosha. Hilo suala la mufumo mingine kukubali ni out of context here
Hiyo sio tz, na si ccm. Anaweza akasema na senate wakaweka ngumu, state attorney akatia ngumu. Na hiyo mifumo ikikataa atabaki nayo yeye
So rais kusema haimaanishi ndio sheria, amezungukww na jamii inayo jielewa si kondoo kama tz
 
View attachment 3133396

Donald Trump, katika kampeni zake za uchaguzi wa 2024, ameonyesha msimamo mkali zaidi kuhusu masuala ya LGBT kuliko alivyofanya katika kampeni zake za awali. Ingawa wakati wa kampeni zake za mwaka 2016 na urais wake wa awali alijaribu kuepuka kuonyesha upinzani wa wazi kwa haki za LGBT, hivi sasa amechukua msimamo unaofanana na wa kihafidhina wa chama chake.

Katika kampeni za 2024, Trump ameelezea mipango ya kurejesha baadhi ya sera za kihafidhina kama vile marufuku dhidi ya watu waliobadili jinsia kutumikia katika jeshi, ambayo iliondolewa na Joe Biden. Pia ameahidi kupinga sera za haki za watu wa LGBT, hasa kuhusu suala la haki za watu wanaobadili jinsia, kama vile matumizi ya vyoo au kushiriki katika michezo kulingana na utambulisho wa kijinsia. Trump na washirika wake wamejikita zaidi kwenye suala la kulinda kile wanachokiita "haki za wazazi" dhidi ya sera zinazounga mkono haki za watu wa LGBT mashuleni na katika jamii kwa ujumla.

Waafrika wenzetu mnaoweza kupiga kura huko, TWENDE na TRUMP
Mwamba kasoma majira vyedi. Anapita akitaka zaidi awalegezee zile sheria zinazo wabana wanaume katika talaka
 
Hahaha apate urais kwa sababu ya ushoga? Huijui Marekani kijana, ushoga ni agenda ndogo sana ya braiwashed minds! America ni kiranja wa dunia haiwezi kumpa mtu urais kwa vijiagenda km vya mama tulia kule nje. Mtu anayepewa urais Marekani lazima aonyeshe ataipeleka wapi dunia kwa miaka minne ijayo comprehensively sio kwa vijihoja vitatu vya mihemko
Kwani Biden alipewa Kwa ajenda ipi?
 
Hiyo sio tz, na si ccm. Anaweza akasema na senate wakaweka ngumu, state attorney akatia ngumu. Na hiyo mifumo ikikataa atabaki nayo yeye
So rais kusema haimaanishi ndio sheria, amezungukww na jamii inayo jielewa si kondoo kama tz
Yaani wewe ni mwerevu kuliko mgombea wa Marekani yenyewe? Eti anaweza akasema senate ikakataa?
 
Hoja ya ushoga ni hoja ndogo
Seriously
Hujui hata kwanini sodoma na gomora ziliteketezwa kwa Moto
Aisee

Kwa kwa kuwa sio muelewa kama watanzania wengine ntakusaidia, kukupa desa kwa kuwa mmezoa madesa na hamna tena uwezo wa kushughulisha vichwa vya juu mnashughulisha zaidi vya chini, anyway mimi mwalimu na kawaida hatuchoki kuelewesha ngumbaru hadi waelewe! Nimesema Rais wa Marekani hapatikani kwa hoja moja na dhaifu kama ushoga, yani hii ni sehemu tu ya hoja maelfu anazotakiwa kuonyesha atazifanyia kazi kwa next 4yrs, halafu habari ya ushoga mnaikuza huko matombo tu hapa kwa wenyewe hata sio habari, kwa kuwa mmekaririshwa ushoga, frimason, miujiza, na uchawi basi mmekuwa na single channeled minds kama kasuku, jiongeze kijana.
 
Na wewe ni shoga? Mbona povu jingi? Ongea kwa mtazamo wa Kiafrika siyo Kimarekani

Watanzania mnafeli sana aisee wa papara na low IQ, ungesoma umalize halafu ucomment sio kukurukupuka, anyway kwa kukusaidia mimi ni mwalimu na walimu ni wavumilivu sana kuelewesha kondoo za hivi, ni kwamba Rais wa Marekani hapatikani kwa hoja moja na dhaifu kama ushoga, yani hii ni sehemu tu ya hoja maelfu anazotakiwa kuonyesha atazifanyia kazi kwa next 4yrs, halafu habari ya ushoga mnaikuza huko matombo tu hapa kwa wenyewe hata sio habari, kwa kuwa mmekaririshwa ushoga, frimason, miujiza, na uchawi basi mmekuwa na single channeled minds kama kasuku, jiongeze kijana.
 
Mkuu naomba unitafute baada ya uchaguzi kuisha, trump ni rais ajaye wa marekani

Wala sina haja ya kukutafuta kwa sababu sio betting wala ushindani, ni suala la uelewa tu! Sijasema mshindi atakuwa nani nimesema atakayechaguliwa awe Trump au Kamala ni yule atakayeonyesha ataipeleka dunia salama kwa miaka minne ijayo, sina chaguo japo ntapiga kura!
 
Back
Top Bottom