Donald Trump Pamoja na kupigwa Risasi na Kujeruhiwa lakini hapiti kwenye vyombo vya habari kuichafua Marekani kama alivyofanya Lissu kwa Tanzania

Donald Trump Pamoja na kupigwa Risasi na Kujeruhiwa lakini hapiti kwenye vyombo vya habari kuichafua Marekani kama alivyofanya Lissu kwa Tanzania

Wewe mpuuzi umemsikia mhandisi wenu wa kuiba kura anaelezea mnachofanya kwenye "uchafuzi mkuu"??

Tukirudi kwenye mada shambulio la Lissu na Trump ni matukio tofauti kabisa.

Trump kashambuliwa akiwa ni rais wa awamu moja ila anapata benefits kadhaa kama former president ikiwemo ulinzi wa secret service ndio maana umeona mshambuliaji nae kamalizwa!

Lissu alimiminiwa risasi 32 na 16 ndio zilimpata , Lissu hakua na ulinzi wowote na hata wiki kadhaa nyuma aliliripoti kuna gari inamfuatilia ila hakuna hatua yoyote poliCCM walichukua na hata hakuna aliyewahi kutiwa nguvuni kwa shambulio hilo zaidi ya miaka 7 sasa.

Hivyo mnapokuwa mnapewa mada za kubandika hapa mjitahidi walau kupitia maana tunajua mnafukuzia vipato vyenu vya siku [ buku 7] kwa kupost propaganda ila jitahidi propaganda ziwe na mantiki.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tuna mengi sana ya kujifunza katika tukio la kupigwa Risasi na Kujeruhiwa kwa Mheshimiwa Donald Trump,Rais Mstaafu wa Marekani na mgombea Urais kupitia chama cha Republican mwishoni mwa Mwaka huu.

Imeonyesha namna wenzetu walivyo wazalendo kwa nchi zao,kukomaa kiakili,Imani kwa vyombo vyao vya ulinzi na usalama,kutanguliza mbele maslahi ya Taifa lao,kujizuia kuzungumza hovyo hovyo bila breki. Tumeona Trump akiwa mtulivu,mwenye subira na kuviachia vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi yake na hatimaye kutoa ripoti.

Pamoja na kuwa ananyukana vikali sana na Joe Biden Rais wa sasa wa Marekani katika kuelekea katika kinyang'anyiro cha Urais, lakini hakuna mahali popote pale ambapo Trump ametoa Maneno ya kumshutumu Joe Biden na serikali yake.hakuna alipotoa maneno ya kusema joe Bideni anahusika na jaribio la kutaka kumuua ili kujitengenezea ushindi wa Urais .Hakuna mahali popote pale alipotumia tukio hilo kupata huruma ya wa Marekani au kutaka kuonyesha anataka kura za huruma.

Zaidi tumeona akiwa Bize kupanga mipango yake na mikakati yake kisera na ki ajenda pamoja na kuteua mgombea Mwenza wake anayeamini ni mtu sahihi katika Maono aliyonayo kisera juu ya Marekani mpya na yenye kuleta matumaini kwa wamarekani.

Lakini alipopigwa Risasi Lissu na watu wasiojulikana na baadaye kupata unafuu alianza kuzunguka Dunia nzima kama Jua kuichafua Nchi yetu,kuipaka matope,kutaka kila mtu Duniani aitenge Tanzania na asiipatie Msaada wa aina yoyote ile.Tuliona akihangaika usiku na mchana kutafuta vyombo vya habari kuanzia Ulaya hadi Amerika kumwaga sumu ya kuliangamiza Taifa letu na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi ili tufe wote..

Alisahau kwamba watakaoathirika ni ndugu zake na watanzania kwa mamilioni yao.alisahau kuwa Nchi na Taifa letu ni kubwa kuliko mtu yeyote yule na Maslahi yake,alisahau kuwa watu hupita na sote tunapita lakini Taifa letu litaendelea kubakia vizazi kwa vizazi.Alisahau kuwa ni Rahisi kulibomoa Taifa kuliko kulijenga,alisahau kuwa heshima ya Tanzania ilijengwa kwa miaka mingi na kwa akili kubwa na jasho lakini yeye akataka aharibu sifa hiyo ya Taifa letu ndani ya muda mfupi kwa Mdomo wake..

Kwa hakika Lissu na wapinzani alinifanya nimchukie mpaka Kesho na kutokumpenda kabisa .kwa sababu niliona ni mtu asiye mzalendo,mtu wa visasi ,chuki,roho mbaya ,tamaa ya madaraka hata kwa njia ya Damu. Niliona Lissu hana upendo wala hisia za upendo kwa Taifa letu na watanzania kwa ujumla wake.

Tabia hii ya kukosa uzalendo kwa Taifa letu imekuwa ikifanywa sana na viongozi wa CHADEMA mara kwa mara kuichafua nchi yetu kimataifa,kwa kuandika vibarua vyenye kujaa maneno ya uzushi , uongo, uchonganishi na umbeya tu.kuna kipindi upinzani hao hao waliandika vibarua vya kutaka kuzuia pesa ambazo zilipaswa kuja kuwekezwa katika miradi ya Elimu.Kwa hakika ulikuwa ni ujuha na ujinga wa kiwango cha juu sana.

Kwa sababu waliokuwa wanakwenda kuteseka na kuathirika ni watoto wa maskini na wa kipato cha chini.hawa ndio waliokuwa wanakwenda kuwa wahanga wakubwa.

Tujifunze kuwa wazalendo kwa Taifa letu.Tuache tabia ya kulichafua Taifa letu kimataifa.tujifunze kutatua migogoro yetu katika meza ya mazungumzo,tuache kupeleka mambo yetu nje ya nyumba yetu tukifikiri ndio jibu. Sasa Mbona Trump hajakwenda kuishtaki Marekani na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi? Kwanini hajafanya hivyo?

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kapigwe na wewe risasi ukae kimya kuonyesha uzalendo wako kichaa mmoja wewe.
 
Labda hao waliompiga risasi wangejulikana na kuuwawa ama kukamatwa hapo kwa hapo na jeshi la polisi asingeilaumu serikali
 
Aichafue vipi sasa wakati haikuhusika? Wewe huoni wachafuliwa walifanza nini?
Sasa kwanini Lissu alikuwa akipita kwenye vyombo vya habari vya kimataifa kuichafua nchi yetu pasipokuwa na sababu wala ushahidi wa yale aliyokuwa akiongea?
 
Aliyek
Nachozungumza ni kile kilichofanywa na watu hao wawili baada ya tukio. Lissu alizunguka Dunia nzima akiichafua na kuipaka matope nchi yetu na kutaka tuwekewe vikwazo. Je umeona Trump akitoa maneno ya kuichafua Marekani na kutaka iwekewe vikwazo na kutengwa na Dunia? Umeona Trump akimnyooshea joe Bideni kuwa anahusika katika jaribio la kutaka kumuua?
Aliyekataza Watanganyika hasa viongozi wa CCM kwenda kumjulia hali hospital uliwahi kufahamu NIA yake ilikuwa ni nini?
 
Aichafue vipi sasa wakati haikuhusika? Wewe huoni wachafuliwa walifanza nini?
Sasa kwanini Lissu alikuwa akipita kwenye vyombo vya habari vya kimataifa kuichafua nchi yetu pasipokuwa na sababu wala ushahidi wa yale aliyokuwa akiongea?
 
Nionyeshe mahala ambapo japo kwa uchache vyombo vya usalama vilifuatlia
 
Wewe mpuuzi umemsikia mhandisi wenu wa kuiba kura anaelezea mnachofanya kwenye "uchafuzi mkuu"??

Tukirudi kwenye mada shambulio la Lissu na Trump ni matukio tofauti kabisa.

Trump kashambuliwa akiwa ni rais wa awamu moja ila anapata benefits kadhaa kama former president ikiwemo ulinzi wa secret service ndio maana umeona mshambuliaji nae kamalizwa!

Lissu alimiminiwa risasi 32 na 16 ndio zilimpata , Lissu hakua na ulinzi wowote na hata wiki kadhaa nyuma aliliripoti kuna gari inamfuatilia ila hakuna hatua yoyote poliCCM walichukua na hata hakuna aliyewahi kutiwa nguvuni kwa shambulio hilo zaidi ya miaka 7 sasa.

Hivyo mnapokuwa mnapewa mada za kubandika hapa mjitahidi walau kupitia maana tunajua mnafukuzia vipato vyenu vya siku [ buku 7] kwa kupost propaganda ila jitahidi propaganda ziwe na mantiki.
Embu nijibu swali hili kuwa je umesikia Trump akipita kwenye vyombo vya habari kuichafua Marekani? Umeona akitafuta kura za Huruma? Umeona popote pale akisema Joe Biden na serikali yake ndio waliopanga njama za kumuua? Umeona popote pale akisema Marekani iwekewe vikwazo vya kiuchumi?
 
Lucas uache ujinga!

Aliempiga Trump risasi ameuawa!

Aloempiga lisu Risasi hajulikani Hadi leo na hakuna chochote kinachoendelea Hadi leo!!

Waliompiga lisu risasi ndio wameichafua Tanzania sio Lisu ,tumejichafua wenyewe!!
 
Mjifunze kuwa wazalendo kwa Taifa letu na kuacha kuwa waropokaji hovyo hovyo.Embu niambie kwanini Trump hajakwenda kuishtaki Marekani na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi?
Wewe Trump hawezi chafua taifa kwa sababu aliyetaka kumuondoa kaondolewa sasa akamlaum nani?
Hata Lisu wahusika wakiwajibishwa wala hutomuona lakini chukulia wewe ndo umekoswa koswa kufa serikali hiyo iliyotaka kukuondoa duniani utakuwa na moyo wa kuisifia?
 

Attachments

  • IMG_9600.jpeg
    IMG_9600.jpeg
    166.5 KB · Views: 1
Wewe inaonekana ni slow learner,umefafanuliwa hapo ila bado unabwabwaja, 😂😂😆 mzee wa kububujikwa na machozi
Mjifunze kuwa wazalendo kwa Taifa letu na kuacha kuwa waropokaji hovyo hovyo.Embu niambie kwanini Trump hajakwenda kuishtaki Marekani na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi?
 
Naomba unijibu kuwa ni wapi Umeona Trump akitoka kuichafua Marekani na kutaka itengwe na Dunia? Ni wapi umeona akisema Joe Biden ndiye amepanga njama za kutaka kumuua? Ni wapi umeona akipita kwenye vyombo vya habari kuipaka matope nchi yake kama alivyokuwa akifanya Lissu?
 

Attachments

  • IMG_8869.jpeg
    IMG_8869.jpeg
    53.9 KB · Views: 1
Mjifunze kuwa wazalendo kwa Taifa letu na kuacha kuwa waropokaji hovyo hovyo.Embu niambie kwanini Trump hajakwenda kuishtaki Marekani na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi?

Waliomshambulia Lissu ktk makazi ya viongozi wa serikali waliichafua zaidi nchi yetu kuliko kauli yoyote ile aliyoitoa. Pia kitendo cha vyombo vya ulinzi na usalama kushindwa kufanya uchunguzi wa tukio zima kunaivua nchi yetu nguo kimataifa bila hata Lissu kusema jambo lolote.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tuna mengi sana ya kujifunza katika tukio la kupigwa Risasi na Kujeruhiwa kwa Mheshimiwa Donald Trump,Rais Mstaafu wa Marekani na mgombea Urais kupitia chama cha Republican mwishoni mwa Mwaka huu.

Imeonyesha namna wenzetu walivyo wazalendo kwa nchi zao,kukomaa kiakili,Imani kwa vyombo vyao vya ulinzi na usalama,kutanguliza mbele maslahi ya Taifa lao,kujizuia kuzungumza hovyo hovyo bila breki. Tumeona Trump akiwa mtulivu,mwenye subira na kuviachia vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi yake na hatimaye kutoa ripoti.

Pamoja na kuwa ananyukana vikali sana na Joe Biden Rais wa sasa wa Marekani katika kuelekea katika kinyang'anyiro cha Urais, lakini hakuna mahali popote pale ambapo Trump ametoa Maneno ya kumshutumu Joe Biden na serikali yake.hakuna alipotoa maneno ya kusema joe Bideni anahusika na jaribio la kutaka kumuua ili kujitengenezea ushindi wa Urais .Hakuna mahali popote pale alipotumia tukio hilo kupata huruma ya wa Marekani au kutaka kuonyesha anataka kura za huruma.

Zaidi tumeona akiwa Bize kupanga mipango yake na mikakati yake kisera na ki ajenda pamoja na kuteua mgombea Mwenza wake anayeamini ni mtu sahihi katika Maono aliyonayo kisera juu ya Marekani mpya na yenye kuleta matumaini kwa wamarekani.

Lakini alipopigwa Risasi Lissu na watu wasiojulikana na baadaye kupata unafuu alianza kuzunguka Dunia nzima kama Jua kuichafua Nchi yetu,kuipaka matope,kutaka kila mtu Duniani aitenge Tanzania na asiipatie Msaada wa aina yoyote ile.Tuliona akihangaika usiku na mchana kutafuta vyombo vya habari kuanzia Ulaya hadi Amerika kumwaga sumu ya kuliangamiza Taifa letu na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi ili tufe wote..

Alisahau kwamba watakaoathirika ni ndugu zake na watanzania kwa mamilioni yao.alisahau kuwa Nchi na Taifa letu ni kubwa kuliko mtu yeyote yule na Maslahi yake,alisahau kuwa watu hupita na sote tunapita lakini Taifa letu litaendelea kubakia vizazi kwa vizazi.Alisahau kuwa ni Rahisi kulibomoa Taifa kuliko kulijenga,alisahau kuwa heshima ya Tanzania ilijengwa kwa miaka mingi na kwa akili kubwa na jasho lakini yeye akataka aharibu sifa hiyo ya Taifa letu ndani ya muda mfupi kwa Mdomo wake..

Kwa hakika Lissu na wapinzani alinifanya nimchukie mpaka Kesho na kutokumpenda kabisa .kwa sababu niliona ni mtu asiye mzalendo,mtu wa visasi ,chuki,roho mbaya ,tamaa ya madaraka hata kwa njia ya Damu. Niliona Lissu hana upendo wala hisia za upendo kwa Taifa letu na watanzania kwa ujumla wake.

Tabia hii ya kukosa uzalendo kwa Taifa letu imekuwa ikifanywa sana na viongozi wa CHADEMA mara kwa mara kuichafua nchi yetu kimataifa,kwa kuandika vibarua vyenye kujaa maneno ya uzushi , uongo, uchonganishi na umbeya tu.kuna kipindi upinzani hao hao waliandika vibarua vya kutaka kuzuia pesa ambazo zilipaswa kuja kuwekezwa katika miradi ya Elimu.Kwa hakika ulikuwa ni ujuha na ujinga wa kiwango cha juu sana.

Kwa sababu waliokuwa wanakwenda kuteseka na kuathirika ni watoto wa maskini na wa kipato cha chini.hawa ndio waliokuwa wanakwenda kuwa wahanga wakubwa.

Tujifunze kuwa wazalendo kwa Taifa letu.Tuache tabia ya kulichafua Taifa letu kimataifa.tujifunze kutatua migogoro yetu katika meza ya mazungumzo,tuache kupeleka mambo yetu nje ya nyumba yetu tukifikiri ndio jibu. Sasa Mbona Trump hajakwenda kuishtaki Marekani na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi? Kwanini hajafanya hivyo?

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kenge wewe acha uchawa wa kisengerema!
 
Back
Top Bottom