Donald Trump Pamoja na kupigwa Risasi na Kujeruhiwa lakini hapiti kwenye vyombo vya habari kuichafua Marekani kama alivyofanya Lissu kwa Tanzania

Donald Trump Pamoja na kupigwa Risasi na Kujeruhiwa lakini hapiti kwenye vyombo vya habari kuichafua Marekani kama alivyofanya Lissu kwa Tanzania

It's very simple: wakati Trump alishambuliwa na wananchi wenye hasira wanaochukia sera zake, Tundu Lissu alitaka kuuliwa na serikali inayoongozwa na chama cha hovyo cha ccm.
 
It's very simple: wakati Trump alishambuliwa na wananchi wenye hasira wanaochukia sera zake, Tundu Lissu alitaka kuuliwa na serikali inayoongozwa na chama cha hovyo cha ccm.
Wewe ni muongo na Mzushi mkubwa sana
 
Mjifunze kuwa wazalendo kwa Taifa letu na kuacha kuwa waropokaji hovyo hovyo.Embu niambie kwanini Trump hajakwenda kuishtaki Marekani na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi?
Kwani Serikali ya Marekani ndiyo ilitaka kumuua? Hivi wewe akili zako ziko kwenye tundu yako ya haja kubwa?
 
Ungeacha wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hoja hii.
Usijipe uwezo ambao huna,kwa thread umechemsha usishupaze shingo kubali kukosolewa,hivi ulitaka Trump ailaumu serikali ya Marekani kwa lipi hasa wakati mtu aliyemshambulia aliuwawa pale pale na polisi? Jitahidi watu wasijue kuwa wewe ni mtupu kichwani. Hata kama walikuwa wanafikiria kukupa kajicheo kwa bandiko hili umejiharibia.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tuna mengi sana ya kujifunza katika tukio la kupigwa Risasi na Kujeruhiwa kwa Mheshimiwa Donald Trump,Rais Mstaafu wa Marekani na mgombea Urais kupitia chama cha Republican mwishoni mwa Mwaka huu.

Imeonyesha namna wenzetu walivyo wazalendo kwa nchi zao,kukomaa kiakili,Imani kwa vyombo vyao vya ulinzi na usalama,kutanguliza mbele maslahi ya Taifa lao,kujizuia kuzungumza hovyo hovyo bila breki. Tumeona Trump akiwa mtulivu,mwenye subira na kuviachia vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi yake na hatimaye kutoa ripoti.

Pamoja na kuwa ananyukana vikali sana na Joe Biden Rais wa sasa wa Marekani katika kuelekea katika kinyang'anyiro cha Urais, lakini hakuna mahali popote pale ambapo Trump ametoa Maneno ya kumshutumu Joe Biden na serikali yake.hakuna alipotoa maneno ya kusema joe Bideni anahusika na jaribio la kutaka kumuua ili kujitengenezea ushindi wa Urais .Hakuna mahali popote pale alipotumia tukio hilo kupata huruma ya wa Marekani au kutaka kuonyesha anataka kura za huruma.

Zaidi tumeona akiwa Bize kupanga mipango yake na mikakati yake kisera na ki ajenda pamoja na kuteua mgombea Mwenza wake anayeamini ni mtu sahihi katika Maono aliyonayo kisera juu ya Marekani mpya na yenye kuleta matumaini kwa wamarekani.

Lakini alipopigwa Risasi Lissu na watu wasiojulikana na baadaye kupata unafuu alianza kuzunguka Dunia nzima kama Jua kuichafua Nchi yetu,kuipaka matope,kutaka kila mtu Duniani aitenge Tanzania na asiipatie Msaada wa aina yoyote ile.Tuliona akihangaika usiku na mchana kutafuta vyombo vya habari kuanzia Ulaya hadi Amerika kumwaga sumu ya kuliangamiza Taifa letu na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi ili tufe wote..

Alisahau kwamba watakaoathirika ni ndugu zake na watanzania kwa mamilioni yao.alisahau kuwa Nchi na Taifa letu ni kubwa kuliko mtu yeyote yule na Maslahi yake,alisahau kuwa watu hupita na sote tunapita lakini Taifa letu litaendelea kubakia vizazi kwa vizazi.Alisahau kuwa ni Rahisi kulibomoa Taifa kuliko kulijenga,alisahau kuwa heshima ya Tanzania ilijengwa kwa miaka mingi na kwa akili kubwa na jasho lakini yeye akataka aharibu sifa hiyo ya Taifa letu ndani ya muda mfupi kwa Mdomo wake..

Kwa hakika Lissu na wapinzani alinifanya nimchukie mpaka Kesho na kutokumpenda kabisa .kwa sababu niliona ni mtu asiye mzalendo,mtu wa visasi ,chuki,roho mbaya ,tamaa ya madaraka hata kwa njia ya Damu. Niliona Lissu hana upendo wala hisia za upendo kwa Taifa letu na watanzania kwa ujumla wake.

Tabia hii ya kukosa uzalendo kwa Taifa letu imekuwa ikifanywa sana na viongozi wa CHADEMA mara kwa mara kuichafua nchi yetu kimataifa,kwa kuandika vibarua vyenye kujaa maneno ya uzushi , uongo, uchonganishi na umbeya tu.kuna kipindi upinzani hao hao waliandika vibarua vya kutaka kuzuia pesa ambazo zilipaswa kuja kuwekezwa katika miradi ya Elimu.Kwa hakika ulikuwa ni ujuha na ujinga wa kiwango cha juu sana.

Kwa sababu waliokuwa wanakwenda kuteseka na kuathirika ni watoto wa maskini na wa kipato cha chini.hawa ndio waliokuwa wanakwenda kuwa wahanga wakubwa.

Tujifunze kuwa wazalendo kwa Taifa letu.Tuache tabia ya kulichafua Taifa letu kimataifa.tujifunze kutatua migogoro yetu katika meza ya mazungumzo,tuache kupeleka mambo yetu nje ya nyumba yetu tukifikiri ndio jibu. Sasa Mbona Trump hajakwenda kuishtaki Marekani na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi? Kwanini hajafanya hivyo?

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mtu huyu ni mkorofi sana, ameniuma na meno nilipojaribu kumuua.🥺🥺🥺🥺 Nyinyi ni watu hatari, mnawapiga watu halafu mnataka kiwanyima na haki ya kulia pia.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tuna mengi sana ya kujifunza katika tukio la kupigwa Risasi na Kujeruhiwa kwa Mheshimiwa Donald Trump,Rais Mstaafu wa Marekani na mgombea Urais kupitia chama cha Republican mwishoni mwa Mwaka huu.

Imeonyesha namna wenzetu walivyo wazalendo kwa nchi zao,kukomaa kiakili,Imani kwa vyombo vyao vya ulinzi na usalama,kutanguliza mbele maslahi ya Taifa lao,kujizuia kuzungumza hovyo hovyo bila breki. Tumeona Trump akiwa mtulivu,mwenye subira na kuviachia vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi yake na hatimaye kutoa ripoti.

Pamoja na kuwa ananyukana vikali sana na Joe Biden Rais wa sasa wa Marekani katika kuelekea katika kinyang'anyiro cha Urais, lakini hakuna mahali popote pale ambapo Trump ametoa Maneno ya kumshutumu Joe Biden na serikali yake.hakuna alipotoa maneno ya kusema joe Bideni anahusika na jaribio la kutaka kumuua ili kujitengenezea ushindi wa Urais .Hakuna mahali popote pale alipotumia tukio hilo kupata huruma ya wa Marekani au kutaka kuonyesha anataka kura za huruma.

Zaidi tumeona akiwa Bize kupanga mipango yake na mikakati yake kisera na ki ajenda pamoja na kuteua mgombea Mwenza wake anayeamini ni mtu sahihi katika Maono aliyonayo kisera juu ya Marekani mpya na yenye kuleta matumaini kwa wamarekani.

Lakini alipopigwa Risasi Lissu na watu wasiojulikana na baadaye kupata unafuu alianza kuzunguka Dunia nzima kama Jua kuichafua Nchi yetu,kuipaka matope,kutaka kila mtu Duniani aitenge Tanzania na asiipatie Msaada wa aina yoyote ile.Tuliona akihangaika usiku na mchana kutafuta vyombo vya habari kuanzia Ulaya hadi Amerika kumwaga sumu ya kuliangamiza Taifa letu na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi ili tufe wote..

Alisahau kwamba watakaoathirika ni ndugu zake na watanzania kwa mamilioni yao.alisahau kuwa Nchi na Taifa letu ni kubwa kuliko mtu yeyote yule na Maslahi yake,alisahau kuwa watu hupita na sote tunapita lakini Taifa letu litaendelea kubakia vizazi kwa vizazi.Alisahau kuwa ni Rahisi kulibomoa Taifa kuliko kulijenga,alisahau kuwa heshima ya Tanzania ilijengwa kwa miaka mingi na kwa akili kubwa na jasho lakini yeye akataka aharibu sifa hiyo ya Taifa letu ndani ya muda mfupi kwa Mdomo wake..

Kwa hakika Lissu na wapinzani alinifanya nimchukie mpaka Kesho na kutokumpenda kabisa .kwa sababu niliona ni mtu asiye mzalendo,mtu wa visasi ,chuki,roho mbaya ,tamaa ya madaraka hata kwa njia ya Damu. Niliona Lissu hana upendo wala hisia za upendo kwa Taifa letu na watanzania kwa ujumla wake.

Tabia hii ya kukosa uzalendo kwa Taifa letu imekuwa ikifanywa sana na viongozi wa CHADEMA mara kwa mara kuichafua nchi yetu kimataifa,kwa kuandika vibarua vyenye kujaa maneno ya uzushi , uongo, uchonganishi na umbeya tu.kuna kipindi upinzani hao hao waliandika vibarua vya kutaka kuzuia pesa ambazo zilipaswa kuja kuwekezwa katika miradi ya Elimu.Kwa hakika ulikuwa ni ujuha na ujinga wa kiwango cha juu sana.

Kwa sababu waliokuwa wanakwenda kuteseka na kuathirika ni watoto wa maskini na wa kipato cha chini.hawa ndio waliokuwa wanakwenda kuwa wahanga wakubwa.

Tujifunze kuwa wazalendo kwa Taifa letu.Tuache tabia ya kulichafua Taifa letu kimataifa.tujifunze kutatua migogoro yetu katika meza ya mazungumzo,tuache kupeleka mambo yetu nje ya nyumba yetu tukifikiri ndio jibu. Sasa Mbona Trump hajakwenda kuishtaki Marekani na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi? Kwanini hajafanya hivyo?

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Luca punguza uchawa,ipo tofauti kati ya serikali na nchi acha uzwazwa
 
Unadhani ni nani atawajibika/kuwajibika kwa udhalimu wanaofanyiwa wakinzani wa kisiasa Tanzania ikiwa bado nje ya CCM wengine wanaonekana/kuoneshwa kama wahaini,wapotofu,si wazalendo(eti upande wa pili.Neno la kipumbavu kwa kila anayelitumia)kwa wananchi wasio na uelewa mpana wa siasa za ushindani?
Tanzania kuwa mshindani wa kisiasa wa chama tawala wewe unaonekana ni haini.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tuna mengi sana ya kujifunza katika tukio la kupigwa Risasi na Kujeruhiwa kwa Mheshimiwa Donald Trump,Rais Mstaafu wa Marekani na mgombea Urais kupitia chama cha Republican mwishoni mwa Mwaka huu.

Imeonyesha namna wenzetu walivyo wazalendo kwa nchi zao,kukomaa kiakili,Imani kwa vyombo vyao vya ulinzi na usalama,kutanguliza mbele maslahi ya Taifa lao,kujizuia kuzungumza hovyo hovyo bila breki. Tumeona Trump akiwa mtulivu,mwenye subira na kuviachia vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi yake na hatimaye kutoa ripoti.

Pamoja na kuwa ananyukana vikali sana na Joe Biden Rais wa sasa wa Marekani katika kuelekea katika kinyang'anyiro cha Urais, lakini hakuna mahali popote pale ambapo Trump ametoa Maneno ya kumshutumu Joe Biden na serikali yake.hakuna alipotoa maneno ya kusema joe Bideni anahusika na jaribio la kutaka kumuua ili kujitengenezea ushindi wa Urais .Hakuna mahali popote pale alipotumia tukio hilo kupata huruma ya wa Marekani au kutaka kuonyesha anataka kura za huruma.

Zaidi tumeona akiwa Bize kupanga mipango yake na mikakati yake kisera na ki ajenda pamoja na kuteua mgombea Mwenza wake anayeamini ni mtu sahihi katika Maono aliyonayo kisera juu ya Marekani mpya na yenye kuleta matumaini kwa wamarekani.

Lakini alipopigwa Risasi Lissu na watu wasiojulikana na baadaye kupata unafuu alianza kuzunguka Dunia nzima kama Jua kuichafua Nchi yetu,kuipaka matope,kutaka kila mtu Duniani aitenge Tanzania na asiipatie Msaada wa aina yoyote ile.Tuliona akihangaika usiku na mchana kutafuta vyombo vya habari kuanzia Ulaya hadi Amerika kumwaga sumu ya kuliangamiza Taifa letu na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi ili tufe wote..

Alisahau kwamba watakaoathirika ni ndugu zake na watanzania kwa mamilioni yao.alisahau kuwa Nchi na Taifa letu ni kubwa kuliko mtu yeyote yule na Maslahi yake,alisahau kuwa watu hupita na sote tunapita lakini Taifa letu litaendelea kubakia vizazi kwa vizazi.Alisahau kuwa ni Rahisi kulibomoa Taifa kuliko kulijenga,alisahau kuwa heshima ya Tanzania ilijengwa kwa miaka mingi na kwa akili kubwa na jasho lakini yeye akataka aharibu sifa hiyo ya Taifa letu ndani ya muda mfupi kwa Mdomo wake..

Kwa hakika Lissu na wapinzani alinifanya nimchukie mpaka Kesho na kutokumpenda kabisa .kwa sababu niliona ni mtu asiye mzalendo,mtu wa visasi ,chuki,roho mbaya ,tamaa ya madaraka hata kwa njia ya Damu. Niliona Lissu hana upendo wala hisia za upendo kwa Taifa letu na watanzania kwa ujumla wake.

Tabia hii ya kukosa uzalendo kwa Taifa letu imekuwa ikifanywa sana na viongozi wa CHADEMA mara kwa mara kuichafua nchi yetu kimataifa,kwa kuandika vibarua vyenye kujaa maneno ya uzushi , uongo, uchonganishi na umbeya tu.kuna kipindi upinzani hao hao waliandika vibarua vya kutaka kuzuia pesa ambazo zilipaswa kuja kuwekezwa katika miradi ya Elimu.Kwa hakika ulikuwa ni ujuha na ujinga wa kiwango cha juu sana.

Kwa sababu waliokuwa wanakwenda kuteseka na kuathirika ni watoto wa maskini na wa kipato cha chini.hawa ndio waliokuwa wanakwenda kuwa wahanga wakubwa.

Tujifunze kuwa wazalendo kwa Taifa letu.Tuache tabia ya kulichafua Taifa letu kimataifa.tujifunze kutatua migogoro yetu katika meza ya mazungumzo,tuache kupeleka mambo yetu nje ya nyumba yetu tukifikiri ndio jibu. Sasa Mbona Trump hajakwenda kuishtaki Marekani na kutaka iwekewe vikwazo vya kiuchumi? Kwanini hajafanya hivyo?

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kuna utofauti. Donald Trump ni Mzalendo kwa nchi yake. Tundu Lissu ni Mzalendo kwa tumbo lake!
 
Nimeamua kukusamehe tu bure kabisa maana naona bado hajakomaa na kupevuka kiakili.kuba uwezekano umezibuka akili na kukosa malezi ya wazazi wako ndio maana unajiropokea tu
Hivi waliopevuka akili ni hao watu wajinga na wapumbavu kama wewe....?

Unatafuta madaraka na cheo kwa propaganda za kijinga na kipumbavu kama hii halafu mwenyewe unajiona umepevuka akili eti...

Ngoje tukuelimishe mjinga wewe...

Tundu Lissu haichafui na wala hana ugomvi na nchi yake ya Tanganyika. Ugomvi wa Tundu Lissu uko kwa serikali chini ya CCM kuanzia ile iliyokuwa chini ya yule aliyekwisha kufa John P. Magufuli na huyu anayejipeleka mwenyewe kwenye mauti yake Samia Suluhu Hassan...

Tundu Lissu ni mzalendo kwelikweli wa nchi yake na taifa lake la Tanganyika. Nchi na taifa la Tanganyika lipo na litaendelea kuwepo..

Lakini ni adui mkubwa kwelikweli wa serikali chini ya CCM kwa sababu ya matendo maovu ya serikali hii ambayo ndiyo yanayosemwa kila siku na Tundu Lissu akiwa ndani ama nje ya nchi na sisi wananchi tunayajua kwa uwazi kabisa...

Serikali huja na kupita. Ziko Serikali ovu, katili na zinazowinda na kuwaua raia/wananchi wake wenye kama ile iliyokuwa chini ya Hayati John P. Magufuli (2915 - 2020) na sasa hii ya Samia Suluhu Hassan chini ya CCM yenu ileile...

Kuipinga na kuikosoa serikali iliyo madarakani hata siku Moja haijawi na halitakuwa kosa kisheria na haina uhusiano wowote na mapenzi ya mtu kwa nchi na taifa lake...

Na ofcoz, mtu yeyote anayeweza kuwapinga na kuwakosoa watawala wa serikali ya kishetani na kiovu kama hii ya CCM chini ya Samia Suluhu Hassan huyo mtu anaipenda sana nchi yake na lengo lake linakuwa ni ku - create awareness ya wananchi wapate kuona udhaifu na makosa ya serikali iliyoko madarakani na hivyo kuweza kuiondoa na kuweka serikali nyingine safi....
 
Kuna utofauti. Donald Trump ni Mzalendo kwa nchi yake. Tundu Lissu ni Mzalendo kwa tumbo lake!
Mjinga wewe, hujui ujualo wala usemalo...

Hakuna mtu safi na mzalendo kama Tundu Lissu....

Huko CCM hata uwe na kurunzi ya mwanga mkali huwezi kuona kiongozi safi. Wote wameoza na wananuka RUSHWA na ufisadi wa kutisha...

Wote wanahitaji kukombolewa...
 
Usijipe uwezo ambao huna,kwa thread umechemsha usishupaze shingo kubali kukosolewa,hivi ulitaka Trump ailaumu serikali ya Marekani kwa lipi hasa wakati mtu aliyemshambulia aliuwawa pale pale na polisi? Jitahidi watu wasijue kuwa wewe ni mtupu kichwani. Hata kama walikuwa wanafikiria kukupa kajicheo kwa bandiko hili umejiharibia.
Usimkunie Lucas kunguni,utampa wenda wazimu.
 
Nasema weka ushahidi wa dola kuhusika na siyo kuongea blaa blaa zako kama kawaida yako.
Wewe bila shaka ndo umeibuka leo toka usingizini na kuanza kujadili tukio hili, au siyo Ndugu Lucas Mwashambwa..?

Wenzio huko Lumumba wanajua kuwa hii ilikuwa ni mission ya kijinga, kipumbavu na iliyofeli spectacularly na kuitia aibu CCM na serikali yake wakati huo, sasa na mpaka kesho mpaka pale mtu huyu (Tundu Lissu) atakapopata haki yake kwa waliopanga, kuratibu na kuhusika kutaka kumuua lakini wakaishia kumjeruhi na kumpa ulemavu wa kudumu watakapokuwa wamepata hukumu yao ya dhambi hii mbaya kabisa wakiwa hapahapa duniani kwa kupitia sheria za nchi au sheria ya karma (natural justice)...

Msidhani kuwa hili limeisha. Hili halitaisha mpaka wote waliohusika wamejulikana kwa uwazi kwa majina na vyeo vyao na kuwa - traumatized wao wenyewe binafsi, familia na watoto wao...

Malipo ni hapa hapa duniani...

Muhusika mkuu John P. Magufuli tayari alishapata hukumu yake, amekufa yeye. Bado nyie ukiwemo wewe Lucas Mwashambwa kwa kuwa unauabudu uhalifu na uovu huu Ili mradi utimize tamaa ya mwili wako Sasa kujipatia fedha na fame ya madaraka....

Kaeni mkao wa kufa na kuabinika milele unless otherwise mchukue hatua ya kutubu makosa yenu Sasa mbele ya Mungu wa haki...

Kama unataka ushahidi, basi unapaswa ushighulishe akili na bongo yako kwa kujiuliza swali rahisi tu hili, kwamba, ni kwanini unadhani mpaka leo hakuna uchunguzi wowote uliofanywa au unaofanywa na TANPOL kwa tukio lililotokea miaka 7 iliyopita?

Kama una akili za kupevuka kweli kama unavojinasibu, basi hutarudia tena kuuliza ndani ya jukwaa swali la kijinga na kipumbavu kama hili huku JIBU lake mkiwa mmelibandika kwenye korido za Kuta zote za hapo ofisi za CCM Lumumba DSM..!
 
We mbumbumbu Trump hakushambuliwa na Dola ya US. Na ndiyo maana jamaa aliyemshambulia alidakwa na kumalizwa ndani ya dk 30.

Ni ushamba kuanza kuteka hadi kinamama na kuwavua nguo kuwapiga picha wakiwa utupu, kisa eti vitenge.

Usilingamishe US na huu upupu wetu kijana.
 
Hivi waliopevuka akili ni hao watu wajinga na wapumbavu kama wewe....?

Unatafuta madaraka na cheo kwa propaganda za kijinga na kipumbavu kama hii halafu mwenyewe unajiona umepevuka akili eti...

Ngoje tukuelimishe mjinga wewe...

Tundu Lissu haichafui na wala hana ugomvi na nchi yake ya Tanganyika. Ugomvi wa Tundu Lissu uko kwa serikali chini ya CCM kuanzia ile iliyokuwa chini ya yule aliyekwisha kufa John P. Magufuli na huyu anayejipeleka mwenyewe kwenye mauti yake Samia Suluhu Hassan...

Tundu Lissu ni mzalendo kwelikweli wa nchi yake na taifa lake la Tanganyika. Nchi na taifa la Tanganyika lipo na litaendelea kuwepo..

Lakini ni adui mkubwa kwelikweli wa serikali chini ya CCM kwa sababu ya matendo maovu ya serikali hii ambayo ndiyo yanayosemwa kila siku na Tundu Lissu akiwa ndani ama nje ya nchi na sisi wananchi tunayajua kwa uwazi kabisa...

Serikali huja na kupita. Ziko Serikali ovu, katili na zinazowinda na kuwaua raia/wananchi wake wenye kama ile iliyokuwa chini ya Hayati John P. Magufuli (2915 - 2020) na sasa hii ya Samia Suluhu Hassan chini ya CCM yenu ileile...

Kuipinga na kuikosoa serikali iliyo madarakani hata siku Moja haijawi na halitakuwa kosa kisheria na haina uhusiano wowote na mapenzi ya mtu kwa nchi na taifa lake...

Na ofcoz, mtu yeyote anayeweza kuwapinga na kuwakosoa watawala wa serikali ya kishetani na kiovu kama hii ya CCM chini ya Samia Suluhu Hassan huyo mtu anaipenda sana nchi yake na lengo lake linakuwa ni ku - create awareness ya wananchi wapate kuona udhaifu na makosa ya serikali iliyoko madarakani na hivyo kuweza kuiondoa na kuweka serikali nyingine safi....
Huyu bwabwa Lucas hawezi kuelewa hoja hii yeye akili yake kisoda inatosha kusifia Samia tu ili aambulie makombo. Ni mpumbavu sana. Nafikiri huyu Lucas Mwashambwa ubongo wake umechanganyika na haja kubwa.
 
Back
Top Bottom