Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
72 vitabuIpo soma biblia ya kikatoliki
😂😂😂😂yaishe mkuukausha.shusha mistari
😅😂😂😂😂yaishe mkuu
Umekurupuka kujibu hapo awali ulikuwa unabishana na member mwingine na si mimi ikanibidi nikuulize hilo swali , sasa naona jibu lako limeni point mimi moja kwa moja .Mimi sijasema chochote juu ya Usahihi au Uwongo wa watumishi wa Mungu.
Wewe ndio umewasema, ndio ninakuuliza umetumia kipimo gani cha Kiroho kuwapima na kuwasema hivyo ?
Hebu tuwekee hapa tafiti yako hadi ukahitimisha hitimisho lako juu yao.
Mnapenda sana kuwasema vibaya Watumishi wa Mungu kwa kubuni buni tu ili kuwadhalilisha bila sababu za msingi.
Kwanini wewe usiwe Mtumishi sahihi wa Mungu badala yao ?
Ayubu ananipa karaha sana he remainds me of my late mother and father 🥹🥹🥹Ayubu 14 :1
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake si nyingi,naye hujaa taabu
Huu mstari huwa unanipa Sana muda wa kutafakari njia zangu.
Wafilipi 4:13
Ninayaweza Mambo yote Katika yeye anitiaye nguvu
Huu mstari unanipaga Sana ujasiri kupita nyakati zinazo onekana Ni ngumu kwangu
Ukisoma kitabu cha Ayubu usome kwa uangalifu sana maana Ayubu aliyasema hayo alipokuwa hamjui Mungu ( alikuwa anasikia sikia tu habari za Mungu , akamtumikia kwa habari alizosikia)Ayubu 14 :1
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake si nyingi,naye hujaa taabu
Huu mstari huwa unanipa Sana muda wa kutafakari njia zangu.
Wafilipi 4:13
Ninayaweza Mambo yote Katika yeye anitiaye nguvu
Huu mstari unanipaga Sana ujasiri kupita nyakati zinazo onekana Ni ngumu kwangu
Kubatizwa alimaanisha nini?Mk 16:16 SUV
Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa
Jamani mie mwenzenu ukristo wangu wote huu mstari sijawahi muelewa,tafadhali nifafanulie kidogoZaburi 124: 1
Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi, Israeli na aseme sasa.
Pole San,Kila ninapousikia huu mstari huwa nakumbuka ibada ya mwisho ya dear mama😭😭.....huu mstari mzito sanaAyubu ananipa karaha sana he remainds me of my late mother and father 🥹🥹🥹
🤣🤣🤣Umeamua kutembelea humohumo1 Tim 5:23
Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Nilifunza mengi sana hasa ukikutana na watu wapenda Pombe..kama hauko imara ni watu wanajua Biblia sijawahi ona..kwa upande wa Ukristo.🤣🤣🤣Umeamua kutembelea humohumo