dafram power
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 434
- 660
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣dah ime kuuma? kwani yes ni mungu?🤣🤣🤣Msssssenge wewe qumerniner zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣dah ime kuuma? kwani yes ni mungu?🤣🤣🤣Msssssenge wewe qumerniner zako
shianzishi nakomaa na hiihiiAnzisha mada ya Allah😂😂 tuje tukuambie Jehamanu haitajaa hadi Allah aingize mguu wake
Biblia imeongelea mambo mengi ambayo yalitokea, yametokea, yatatokeaWarumi 1
26 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
27 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.
28 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
Ndiyo hayo ya polisi wa zenji tunayashuhudia
unajiona muelewa Kumbe kiazi tuu.mungu hazaliwi mbwa nyieeeeeUsiwapangie Watu kuamini waamuavyo.
Mungu anaweza kutenda mambo yote (hakuna jambo lolote linalomshinda) lakini hawezi kuzaliwa, ni akili hizo au matope?
Mungu kakuthibitishia kuzaliwa bila ya biological factors (sexual intercourse) za kibinadamu ili uone jinsi gani anaweza kufanya jambo lolote sababu NGUVU, UWEZO na MAMLAKA vina yeye na UKAMILIFU wake umepita fahamu za Binadamu, nyau wewe [emoji1]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
yes waislamu hatuta ingia peponi bila kufuata matendo ya mtume umeelewa wewe kiazi.Yohana 14:6
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Mkatom...be mabikira 72 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na mito ya POMBEyes waislamu hatuta ingia peponi bila kufuata matendo ya mtume umeelewa wewe kiazi.
maana yake yesu alikuwa mtu mwema kwahio ukifata matendo yake utajiweka mahali salama.hio bibilia hata hamuielewi manyau nyie.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 karibu sana mkuushianzishi nakomaa na hiihii
Usiongee mambo ya utumishi wa Mungu bila kuwa na uhakika nayo.1 Yohana 4:1-3
********************************************************************************************
4 Wapendwa, msiamini kila roho bali zipimeni roho zote kwa makini muone kama zinatoka kwa Mungu. Kwa maana manabii wengi wa uongo wametokea duniani. 2 Na hivi ndivyo mtakavyomtambua Roho wa Mungu: kila roho inayokiri kuwa Yesu Kristo alikuja kama mwana damu, hiyo inatoka kwa Mungu. 3 Lakini roho yo yote ambayo haimkiri Kristo, si ya Mungu. Hii ndio roho ya mpinga-Kristo, ambayo mmekwisha kusikia kwamba inakuja, na sasa tayari iko duniani.
*******************************************************************************************
Hii mistari imeniumbusha kuhusu manabii wa uwongo waliotapakaa hapa nchini akiwaemo Geordevie na wengine kibao akina Mwamoosa, et al. Mungu atunusuru na hawa wapigaji wanaowakaanga masikini kwa jina la Yesu.