Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.Mathayo 24:24
Wagalatia 5:26
"Muda na njaa sio rafiki wa mwanadamu."
Hakuna mstari wa 26
Mwisho 25
Mwamba Mungu wa Mbinguni akubariki sana😅😅😅Nikiwa mvulana kuna siku dingi akaniwakia wakati sikuwa na kosa lolote, nilikasirika, koromeo likawa linawaka moto kwa hasira; ghafla mstari huu ukanija moyoni na hasira yangu ikayeyuka mara. Ama kweli neno la Mungu ni dawa, likijaa ndani yako utayashinda majaribu mengi sana.
Vv
Acha gambe jamaa😂😂😂Mit31:6
Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
Du! Hii mbona haimo kwenye biblia mkuu?YOSHUA MWANA WA SIRA 22
1Mvivu hufanana na jiwe litiwalo mavi,
Kila mtu atamfyonya katika aibu yake.
2Mvivu hufanana na uchafu wa jaani,
Kila augusaye atakung'uta mkono.
3Ni aibu ya baba kuzaa mwana aliye juha,
Na binti asiye na akili ni hasara yake.
4Binti mwenye busara ni tunu kwa mumewe;
Bali aletaye aibu ni huzuni ya mzazi wake.
5Aliye mtundu huwaaibisha baba na mume,
Naye atadharauliwa na wote wawili.
Halafu umenikumbusha kuna ka wimbo ka huu mstari, umefanya nimkumbuke my late Mother 🥹🥹~Zaburi 19:14
Maneno ya kinywa changu, Na mawazo ya moyo wangu, Yapate kibali mbele zako, Ee Bwana, Mwamba wangu, na mwokozi wangu.
Hiyo inapatikana kwenye biblia ya wakatoliki.Du! Hii mbona haimo kwenye biblia mkuu?
Very sorry my NduguHalafu umenikumbusha kuna ka wimbo ka huu mstari, umefanya nimkumbuke my late Mother 🥹🥹
Yohana 3:16KWA MAANA JNSI HII MUNGUBALIUPENDA ULIMWENGUBHATA AKAMTOA MWANAE WA PEKEE ILI KILA AMUAMINIAE ASIPOTEE BALI AWE NA UZIMA WA MILELE