dafram power
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 434
- 660
pita kuleeeee.👉👉👉👉yesu sio munguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuSawa nyoka mnyama mwerevu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pita kuleeeee.👉👉👉👉yesu sio munguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuSawa nyoka mnyama mwerevu
Hakuna book ya bible ninayo ikubali kama kitabu cha Daniel kilinifanya kuijua sana historia ya nyuma ya dunia. Hasa sura ya 11 ilinivutia sana na ikanipa mengi sana ambayo nilistaajabu moja ya binadamu ambao waliwahi pita nawa appreciate Daniel kwangu ni heshima.Hili fungu William Miller alikosea kulitafsiri akadhani lingetokea Duniani na hivyo kuwa mwisho wa dunia kumbe sivyo na badala yake lilikuwa likitokea ktk hekalu mbinguni
1 Tim 4:12 SUV
Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi.
Lk 2:52 SUV
Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Efe 6:11-18
Efe 6:11-18 SUV
Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani. Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.
Basi simameni, hali mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani, na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa Injili ya amani; zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu.
Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu; kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote.
Mit 8:17 SUV
Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.
=======================
Haya wana wa Mungu twendeni kazi
👇🏻👇🏻👇🏻
Hosea 9:5Hosea 4:6 wanaangamia kwa kukosa MAARIFA.
Khaaa!Ezekieli 4:12 BHN
Utachukua mavi ya mtu, uwashe moto, uoke mkate, na kuula mbele ya watu.”
7Ningependa watu wote wawe kama mimi nilivyo; lakini kila mmoja anacho kipaji chake kutoka kwa Mungu; mmoja kipaji hiki na mwingine kile.1 Corinthians 7
Are you unmarried? Do not look for a wife. But if you do marry, you have not sinned; and if a virgin marries, she has not sinned.
Wanachekeshaaaaaa,,,ona hapa (Mungu) wao yesu,nae anamwomba Mungu.pita kuleeeee.[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]yesu sio munguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Woow 😍😍😍Msisahau kuwafadhili wageni; maana kwa njia hii wengine wamewakaribisha malaika pasipo kujua. (Waebrani1 13:2)
hahahahahaaa mkuu tuwaache tuu Mana akilizao fyatu.mara wanasema oo yesu niroho.yani ujinga ujinga mwingiWanachekeshaaaaaa,,,ona hapa (Mungu) wao yesu,nae anamwomba Mungu.
Yaani Mungu anamwomba Mungu
Robert Heriel ,,,,sjui kama nimepatia,uje huku.View attachment 2536250