Donor countries hawaanzi na sala na dua katika shughuli za kiserikali lakini watumishi wake ni waadilifu sana. Hapa Tanzania sasa!!

Donor countries hawaanzi na sala na dua katika shughuli za kiserikali lakini watumishi wake ni waadilifu sana. Hapa Tanzania sasa!!

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Yawezekana ndiyo maana kama taifa hatutoboi. Kila siku tunaogelea kwenye mabalaa na majanga. Ni kwasababu tunamdhihaki Mungu wetu wa mbinguni.

Hawa hawa viongozi wetu ambao ni wafujaji wa kodi zetu, wezi wa mali ya umma na wala rushwa wakubwa ndiyo kila wakikutana kwenye mikutano, warsha na makongamano wanaanza kwa sala na dua?

Huko kwa wenzetu hawalitaji bure jina la mnyaazi Mungu. Shughuli zao za kiserikali huanza kwa kufuata protokali za kutambulishana kisha mengine huendelea.

Tuache kulitaja pasi na kumaanisha jina la mwenye enzi yote, Mungu wetu baba wa mbinguni, huku mkijua ninyi ni wezi, wala rushwa na wanafiki.

IMG_20221219_104203_613.jpg
 
Kwa jinsi wazungu walivyo wabinafsi, kama kweli kungekuwa na mbingu na kwamba ili tuifikie ni lazima tuifuate dini (ambayo walituletea), basi hiyo dini wasingeruhusu tuijue ili huko mbinguni waende wenyewe.

Cha ajabu wao (walioileta) hawaizingatii dini ila sisi (waletewa) ndio tumeishikilia kiasi cha kuwaona wao ni wadhambi sana kuliko sisi (ilhali wao wanaijua na imetoka kwao).

Kuna tatizo sehemu.
 
Cha ajabu wao (walioileta) hawaizingatii dini ila sisi (waletewa) ndio tumeishikilia kiasi cha kuwaona wao ni wadhambi sana kuliko sisi (ilhali wao wanaijua na imetoka kwao).
Wametuachia msala. Maana kuna idadi kubwa ya nguvu kazi inashinda na kukesha makanisani na misikitini wakiomba wafanikiwe bila ya kufanya kazi.

Pia wanazurura kwenye mikutano ya injili, kaswida na gospels.
Hatari na nusu.
 
Ni kwasabb tunamdhihaki Mungu wetu wa mbinguni.

Dini inatumiwa na wanasiasa uchwara waliopo madarakani kuwaondoa / distraction katika hoja wasikilizaji. Mkiona viongozi wa kiDini ktk shughuli za kiserikali basi mjue mmeliwa bongo zenu ....



Milwaukee, Wisconsin
USA
23 Jun 2018 — When abolitionists argued that slavery was cruel, and that separating families was a violation of religious ethics, they were met with the ...
“I would cite you to the apostle Paul, and his clear and wise command in Romans 13 to obey the laws of the government because God has ordained the government for his purposes.” – Jeff Sessions, U.S. Attorney General
The words Sessions quoted were used in the 1840s and 1850s to justify slavery. When abolitionists argued that slavery was cruel, and that separating families was a violation of religious ethics, they were met with the argument of religious compliance with the law.....

READ MORE : Source:
Milwaukee Independent
http://www.milwaukeeindependent.com › ...
How Americans hide behind church to support a dictator with biblical ...
 
MUNGU husamehe makosa. Kama tunaingiza imani basi Tanzania ni moja ya nchi zinazolindwa sana na MUNGU, nchi haina majanga makubwa ya asili hii. Masuala ya kuwawajibisha wanasiasa wetu si ya MUNGU kuyapigania. Fisadi likikuibia likitubu MUNGU anasemehe na wewe unabaki masikini.
 
Hili swala nimewahi kulizungumzia katika andiko langu “ Je Tanzania ni nchi ya kidini ” tuna kila sababu ya kubadilika .

Hizi dini kuu mbili hapa nchini hazipaswi kujishikiza na serikali katika shughuli mbalimbali za kitaifa, ifike hatua dini zipigwe marufuku kwenye maswala ya kiserikali wabaki kwenye nyumba zao za ibada na kuendeleza majukumu yao. Wanapaswa kuwekwa mbali kabisa na serikali.
 
Yawezekana ndiyo maana kama taifa hatutoboi. Kila siku tunaogelea kwenye mabalaa na majanga. Ni kwasabb tunamdhihaki Mungu wetu wa mbinguni.

Hawa hawa viongozi wetu ambao ni wafujaji wa kodi zetu, wezi wa mali ya umma na wala rushwa wakubwa ndiyo kila wakikutana kwenye mikutano, warsha na makongamano wanaanza kwa sala na dua?

Huko kwa wenzetu hawalitaji bure jina la mnyaazi Mungu. Shughuli zao za kiserikali huanza kwa kufuata protokali za kutambulishana kisha mengine huendelea.

Tuache kulitaja pasi na kumaanisha jina la mwenye enzi yote, Mungu wetu baba wa mbinguni, huku mkijua ninyi ni wezi, wala rushwa na wanafiki.

View attachment 2451627
Donor Countries vile vile wanafagilia ushoga, basi tuwaige?
 
Yawezekana ndiyo maana kama taifa hatutoboi. Kila siku tunaogelea kwenye mabalaa na majanga. Ni kwasabb tunamdhihaki Mungu wetu wa mbinguni.

Hawa hawa viongozi wetu ambao ni wafujaji wa kodi zetu, wezi wa mali ya umma na wala rushwa wakubwa ndiyo kila wakikutana kwenye mikutano, warsha na makongamano wanaanza kwa sala na dua?

Huko kwa wenzetu hawalitaji bure jina la mnyaazi Mungu. Shughuli zao za kiserikali huanza kwa kufuata protokali za kutambulishana kisha mengine huendelea.

Tuache kulitaja pasi na kumaanisha jina la mwenye enzi yote, Mungu wetu baba wa mbinguni, huku mkijua ninyi ni wezi, wala rushwa na wanafiki.

View attachment 2451627
Wanapoanza na sala utadhani wanamjua Mungu kweli
 
MUNGU husamehe makosa. Kama tunaingiza imani basi Tanzania ni moja ya nchi zinazolindwa sana na MUNGU, nchi haina majanga makubwa ya asili hii. Masuala ya kuwawajibisha wanasiasa wetu si ya MUNGU kuyapigania. Fisadi likikuibia likitubu MUNGU anasemehe na wewe unabaki masikini.
Si ya Mungu kuyapigania ila mwanasiasa akichaguliwa kwa kura za wizi tunasema Kiongozi yeyote hutoka kwa Mungu🤣🤣🤣
 
Si ya Mungu kuyapigania ila mwanasiasa akichaguliwa kwa kura za wizi tunasema Kiongozi yeyote hutoka kwa Mungu🤣🤣🤣
Tunasema, sio MUNGU kasema. MUNGU anatumika kuhalalisha mengi sababu binadamu anahalalisha chochote kinachokuja kwa jina hilo. Ukitaka uchafu wako uwe na thamani tafuta namna uuambatanishe na dini.
 
Wametuachia msala. Maana kuna idadi kubwa ya nguvu kazi inashinda na kukesha makanisani na misikitini wakiomba wafanikiwe bila ya kufanya kazi.

Pia wanazurura kwenye mikutano ya injili, kaswida na gospels.
Hatari na nusu.
Ukienda kwenye ibada za haya makanisa mwisho wa ibada matangazo

1. Jumatatu tutakuwa na mkutano wa injili segerea
2. Jumatano tutakutana kwenye semina ya neno la Mungu.

Ijumaa kutakuwa na ibada ya Mkesha.

Jumapili ni siku ya Bwana siku ya neema tutakata mizizi ya balaa, mikosi na umaskini.

Unajiuliza hapo Kijana anayehudhuria anasubiri badae aje kuilaumu serikali kwa umaskini wake?
 
Yawezekana ndiyo maana kama taifa hatutoboi. Kila siku tunaogelea kwenye mabalaa na majanga. Ni kwasabb tunamdhihaki Mungu wetu wa mbinguni.

Hawa hawa viongozi wetu ambao ni wafujaji wa kodi zetu, wezi wa mali ya umma na wala rushwa wakubwa ndiyo kila wakikutana kwenye mikutano, warsha na makongamano wanaanza kwa sala na dua?

Huko kwa wenzetu hawalitaji bure jina la mnyaazi Mungu. Shughuli zao za kiserikali huanza kwa kufuata protokali za kutambulishana kisha mengine huendelea.

Tuache kulitaja pasi na kumaanisha jina la mwenye enzi yote, Mungu wetu baba wa mbinguni, huku mkijua ninyi ni wezi, wala rushwa na wanafiki.

View attachment 2451627
Unafiki kitu mbaya mnoo bora mchawi!! Kwa maandiko haya nadhan umepata jibu, maana wanamchezea san mwenyez MUNGU kwa unafiki wao!! Refer viapo kule bungeni na jumba jeupe.
 
Ungesoma Geography ya O-level ungeelewa sababu baadhi ya nchi au maeneo kukumbwa sana na majanga ya asili kuliko kwingine.
MUNGU husamehe makosa. Kama tunaingiza imani basi Tanzania ni moja ya nchi zinazolindwa sana na MUNGU, nchi haina majanga makubwa ya asili hii. Masuala ya kuwawajibisha wanasiasa wetu si ya MUNGU kuyapigania. Fisadi likikuibia likitubu MUNGU anasemehe na wewe unabaki masikini.
 
Back
Top Bottom