Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
Mimi nadhani hawa wazungu na waarabu kwenye dini zao za mchongo kuna kitu sisi hatukifamu ila sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nadhani hawa wazungu na waarabu kwenye dini zao za mchongo kuna kitu sisi hatukifamu ila sasa
WAchina hawana habari na Mungu, je ni majanga gani unafahamu waliyopitia ukilinganisha na nchi za wazungu/AfricaMUNGU husamehe makosa. Kama tunaingiza imani basi Tanzania ni moja ya nchi zinazolindwa sana na MUNGU, nchi haina majanga makubwa ya asili hii. Masuala ya kuwawajibisha wanasiasa wetu si ya MUNGU kuyapigania. Fisadi likikuibia likitubu MUNGU anasemehe na wewe unabaki masikini.
Basi hii dini itakuwa na shida kama kila anayeishika anapitishwa kwenye mateso.Ukiwauliza hawa wanaoteseka, wanadai wanapitishwa katika kipindi cha majaribu, HOW?😂