Donor countries hawaanzi na sala na dua katika shughuli za kiserikali lakini watumishi wake ni waadilifu sana. Hapa Tanzania sasa!!

WAchina hawana habari na Mungu, je ni majanga gani unafahamu waliyopitia ukilinganisha na nchi za wazungu/Africa
 
Ukiwauliza hawa wanaoteseka, wanadai wanapitishwa katika kipindi cha majaribu, HOW?😂
Basi hii dini itakuwa na shida kama kila anayeishika anapitishwa kwenye mateso.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…