Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Salaam wakuu!
Najua huwa anafanya ki utani utani tu na huwa hamaanishi ila sijajua tunajenga kizazi cha namna gani, Amekuwa akipata endorsement kubwa nyingi kutoka makampuni mengi sana na kupata hela ambazo yeye anaona amekuwa Tajiri na kudharau wasomi.
Kuna namna baadhi ya vitu anatakiwa kukemewa ili ku balance mambo haswa kwenye hiki kizazi ambacho vijana wengi wadogo sana wanashika simu na kutwa kushinda Instagram.
Sawa mimi nimejiajiri kama legal and business consultant, Hapa katikati zilitoka nafasi nyingi sana za walimu na baadhi ya kada mbali mbali serikalini nilikuwa na wasaidia hasa kwenye kuhakiki vyeti na shughuli nyingine za kisheria; Kwa kweli mtaani ni pagumu sana, tena sana ila bado tunaona serikali inataka wataalamu katika kila nyanja.
Wasomi bado wanahitajika sana katika kila nyanja za private na public.
Najua huwa anafanya ki utani utani tu na huwa hamaanishi ila sijajua tunajenga kizazi cha namna gani, Amekuwa akipata endorsement kubwa nyingi kutoka makampuni mengi sana na kupata hela ambazo yeye anaona amekuwa Tajiri na kudharau wasomi.
Kuna namna baadhi ya vitu anatakiwa kukemewa ili ku balance mambo haswa kwenye hiki kizazi ambacho vijana wengi wadogo sana wanashika simu na kutwa kushinda Instagram.
Sawa mimi nimejiajiri kama legal and business consultant, Hapa katikati zilitoka nafasi nyingi sana za walimu na baadhi ya kada mbali mbali serikalini nilikuwa na wasaidia hasa kwenye kuhakiki vyeti na shughuli nyingine za kisheria; Kwa kweli mtaani ni pagumu sana, tena sana ila bado tunaona serikali inataka wataalamu katika kila nyanja.
Wasomi bado wanahitajika sana katika kila nyanja za private na public.