Anaweza kuwafanya watu wamnyime mlinzi wake kura akiendelea hivi kuachwa kuropoka.Bashite tunasumbuka naye tu na anatuumiza vichwa bure jamaa hakupata malezi ya wazazi na anaoneka ana matatizo ya kisaikolojia tuachane naye tu jamaa tatizo malezi mabovu.
Hivi mnataka wafanyeje ndo muelewe? Kwenye awamu hii Kama wewe si mwanaccm basi wewe si mtanzania.awamu ya tano ccm si chama cha siasa tu Bali nchi,serikali and everything.kama hauko humo uhusiano wako na wao ni kwenye kulipa Kodi tu mingine utajua mwenyewe.Mbona hili la mbowe ni dogo kuliko issue ya Lissu na Mambo mengine wanayotendewa wapinzani,shida yenu ni kuwa na vichwa vigumu kuelewaKuna kipindi huwa najiiliza maswali mengi sana Na miongoni ya maswali hayo.
1.Hivi Watu wanapokuwa Kwenye nyumba za kuabudu (Makanisani Na misikitini) huwa wanakwenda Kwa ajili ya kujionesha ama wanamaanisha?
Kwa nini najiuliza
Leo asubuhi nimeamka na kukutana na Vidio ya Kiongozi tena wa Serikali ambaye mara kwa mara huwa namuona anakaribishwa mpaka kwenye madhabahu ya kanisa na kupewa nafasi ya kuhubiri ,leo anaamka na kuandaa mkusanyiko halafu anaanza kumkebehi Mzazi wa mtu kuwa anashukuru sana huyo mtu mwanae kupatwa Ugonjwa wa Corona.Hivi kweli dini zinatufundisha kuombeana watu mabaya?kufurahi wengine wanapopata shida na kuteseka ?
2.Swali la pili,huwa najiuliza hivi Shuleni na Vyuoni yanayofundishwa ndiyo yanayofanyika huku nje?maana nakumbuka nilipokuwa Chuo Kikuu,nilisoma kidogo Kwa muhula mmoja somo ya Uongozi.
Nilifundishwa kuwa unapochaguliwa kuwa Kiongozi basi fahamu miongoni mwa Kazi zako ni Kuwa Mfariji Mkuu.
Sasa leo nimeamka asubuhi na kukutana na vidio ya Kiongozi mkuu wa ngazi ya Mkoa,anatangaza kwa kukebehi huku akifurahia moja ya wananchi ndani ya Mkoa wake kukutwa Na maambukizi ya Virusi vya Corona,kisa Baba wa huyo mtoto wanatofautiana Vyama vya Siasa.
Najiuliza Prof aliyenifundisha kuwa unapokuwa Kiongozi wewe ni mfariji mkuu,alikuwa ananiongopea?mbona baadhi ya Viongozi(Kama alivyofanya mkuu wa mkoa) ameshindwa kusimama Kwenye nafasi ya Mfariji mkuu na badala yake kaamua kuianza siku Kwa kwenda Kwenye mikusanyiko na kumtangaza mwanafamilia wa ndani ya Mkoa kuwa anaugonjwa wa Corona huku alienda mbali zaidi Kwa kusema anamshukuru Mungu familia hiyo kupatwa na janga la Corona?
Mungu Ibariki Tanzania
In God we Trust
Huyu mtu kweli kama laana zipo basi naamini ipo siku atajuta na kukumbukaBashite ni mpumbavu , hata aliyemteua nina mashaka naye. Nikuhakishie Dotto kuwa huyo muuaji huyu haya anayowatendea binadamu wenzake lazima yamkute
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm ni janga la taifa na ili taifa lichanue kwa watu waishi kwa amani na furaha basi ccm inabidi iondolewe tuHivi mnataka wafanyeje ndo muelewe? Kwenye awamu hii Kama wewe si mwanaccm basi mtanzania.awamu ya tano ccm si chama cha siasa tu Bali nchi,serikali and everything.kama hauko humo uhusiano wako na wao ni kwenye kulipa Kodi tu mingine utajua mwenyewe.Mbona hili la mbowe ni dogo kuliko issue ya Lissu na Mambo mengine wanayotendewa wapinzani,shida yenu ni kuwa na vichwa vigumu kuelewa
Hilo halifikirii maana akili yenyewe ndiyo hivyo tena kama tulivyo sikia kutoka kwa GwajimaAnaweza kuwafanya watu wamnyime mlinzi wake kura akiendelea hivi kuachwa kuropoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unategemea nini kutoka kwa mtu aliyefoji vyeti?Hivi kuna nini nyuma ya pazia?
In God we Trust
We liache na msambwanda wakeAnasahau kuwa kwenye siasa na nafasi hizi alizonazo, UMRI WAKE NI MDOGO, NA ANA SAFARI NDEFU YA KWENDA... SIKU MBELEKO IKIACHIA NAFASI KISA UMRI, NDO ATAJUA KUWA HAJUI..!!!
Nadhani ni vema tutafakari maisha aliyopitia hasa kipindi anaishi kwa mzee Six kama msaada kwa ufukara wake.
Yasemwayo kama ni kweli kuwa alikuwa anadhalilishwa kingono lazima yaweza kusababisha uharibifu wa akili. Hilo limetokea kwa vijana wengi walio haribiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipindi huwa najiiliza maswali mengi sana Na miongoni ya maswali hayo.
1.Hivi Watu wanapokuwa Kwenye nyumba za kuabudu (Makanisani Na misikitini) huwa wanakwenda Kwa ajili ya kujionesha ama wanamaanisha?
Kwa nini najiuliza
Leo asubuhi nimeamka na kukutana na Vidio ya Kiongozi tena wa Serikali ambaye mara kwa mara huwa namuona anakaribishwa mpaka kwenye madhabahu ya kanisa na kupewa nafasi ya kuhubiri ,leo anaamka na kuandaa mkusanyiko halafu anaanza kumkebehi Mzazi wa mtu kuwa anashukuru sana huyo mtu mwanae kupatwa Ugonjwa wa Corona.Hivi kweli dini zinatufundisha kuombeana watu mabaya?kufurahi wengine wanapopata shida na kuteseka ?
2.Swali la pili,huwa najiuliza hivi Shuleni na Vyuoni yanayofundishwa ndiyo yanayofanyika huku nje?maana nakumbuka nilipokuwa Chuo Kikuu,nilisoma kidogo Kwa muhula mmoja somo ya Uongozi.
Nilifundishwa kuwa unapochaguliwa kuwa Kiongozi basi fahamu miongoni mwa Kazi zako ni Kuwa Mfariji Mkuu.
Sasa leo nimeamka asubuhi na kukutana na vidio ya Kiongozi mkuu wa ngazi ya Mkoa,anatangaza kwa kukebehi huku akifurahia moja ya wananchi ndani ya Mkoa wake kukutwa Na maambukizi ya Virusi vya Corona,kisa Baba wa huyo mtoto wanatofautiana Vyama vya Siasa.
Najiuliza Prof aliyenifundisha kuwa unapokuwa Kiongozi wewe ni mfariji mkuu,alikuwa ananiongopea?mbona baadhi ya Viongozi(Kama alivyofanya mkuu wa mkoa) ameshindwa kusimama Kwenye nafasi ya Mfariji mkuu na badala yake kaamua kuianza siku Kwa kwenda Kwenye mikusanyiko na kumtangaza mwanafamilia wa ndani ya Mkoa kuwa anaugonjwa wa Corona huku alienda mbali zaidi Kwa kusema anamshukuru Mungu familia hiyo kupatwa na janga la Corona?
Mungu Ibariki Tanzania
In God we Trust
We liache na msambwanda wake
Tuanze na wewe, hujawahi kufurahia mabaya kwa makonda? Je hujawahi kufulahia mabaya kwa serikari au Raisi? Je hujawahi kufulahia mabaya kwa watu wasio katika chama chako kama CCM? Je wewe ni muuminu wa dini yoyote na unaenda kusari? Naomba jibu hapo kisha tuendelee na ishu ya makonda.
Kuna kipindi huwa najiiliza maswali mengi sana Na miongoni ya maswali hayo.
1.Hivi Watu wanapokuwa Kwenye nyumba za kuabudu (Makanisani Na misikitini) huwa wanakwenda Kwa ajili ya kujionesha ama wanamaanisha?
Kwa nini najiuliza
Leo asubuhi nimeamka na kukutana na Vidio ya Kiongozi tena wa Serikali ambaye mara kwa mara huwa namuona anakaribishwa mpaka kwenye madhabahu ya kanisa na kupewa nafasi ya kuhubiri ,leo anaamka na kuandaa mkusanyiko halafu anaanza kumkebehi Mzazi wa mtu kuwa anashukuru sana huyo mtu mwanae kupatwa Ugonjwa wa Corona.Hivi kweli dini zinatufundisha kuombeana watu mabaya?kufurahi wengine wanapopata shida na kuteseka ?
2.Swali la pili,huwa najiuliza hivi Shuleni na Vyuoni yanayofundishwa ndiyo yanayofanyika huku nje?maana nakumbuka nilipokuwa Chuo Kikuu,nilisoma kidogo Kwa muhula mmoja somo ya Uongozi.
Nilifundishwa kuwa unapochaguliwa kuwa Kiongozi basi fahamu miongoni mwa Kazi zako ni Kuwa Mfariji Mkuu.
Sasa leo nimeamka asubuhi na kukutana na vidio ya Kiongozi mkuu wa ngazi ya Mkoa,anatangaza kwa kukebehi huku akifurahia moja ya wananchi ndani ya Mkoa wake kukutwa Na maambukizi ya Virusi vya Corona,kisa Baba wa huyo mtoto wanatofautiana Vyama vya Siasa.
Najiuliza Prof aliyenifundisha kuwa unapokuwa Kiongozi wewe ni mfariji mkuu,alikuwa ananiongopea?mbona baadhi ya Viongozi(Kama alivyofanya mkuu wa mkoa) ameshindwa kusimama Kwenye nafasi ya Mfariji mkuu na badala yake kaamua kuianza siku Kwa kwenda Kwenye mikusanyiko na kumtangaza mwanafamilia wa ndani ya Mkoa kuwa anaugonjwa wa Corona huku alienda mbali zaidi Kwa kusema anamshukuru Mungu familia hiyo kupatwa na janga la Corona?
Mungu Ibariki Tanzania
In God we Trust
Matendo ya mtu ni malezi aliyopata kutoka kwa Wazazi wake...
Nanukuu maneno aliyowahi kusema BASHIR ALLY kwa baba askofu mkuu KKKT PhD shoo kwamba "VIJANA WETU HAWAKUANDALIWA KUWA VIONGOZI ndiyo haya ya Paulo Makonda aka bashite kuwa kiongozi mbovu kuwahi kutokea katika sayari hii, wewe ulifundishwa na yeye hakuwahi kusoma somo la uongozi sasa huo ufariji ataujulia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo atafundishwa kwa karma na haijawahi kuwa salama yaani watu wapo busy kuwaombea watu wa Italy wasiowafahamu yeye anashukuru mtoto Mtanzania kuugua Corona na zaidi anasema eti amewaagiza madaktari kuwa wamshughulikie vizuri kwa hiyo madaktari wanafanya kazi kwa maagizo yao inabidi awaombe msamaha kwa kudharau professional yao ila kwa kuwa bongo wanachukulia poa itakua hivyo hivyo....