Dotto Bulendu amchambua Paul Makonda

Dotto Bulendu amchambua Paul Makonda

Mimi nawalaumu marekani, wasingetangaza ban wangemuacha aende marekani wamkamate.
 
Bashite tunasumbuka naye tu na anatuumiza vichwa bure jamaa hakupata malezi ya wazazi na anaoneka ana matatizo ya kisaikolojia tuachane naye tu jamaa tatizo malezi mabovu.
Malezi mabovu ndiyo aje kuiletea ujinga jamii huko kwa kutokulelewa sawasawa na wazazi wake

Haiwezekani

Bashite na baba yake must GO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda naye ni kiboko! Wenzie wanaepusha mikusanyiko kuzuia watu wasiambukizane yeye anawakusanya watu na kuwaambia wawapuuze watu wanaotaka kufanya mikusanyiko ugonjwa unaua. I see hii kweli Tanzania ya viwanda.
 
Binafsi nilisha wachaga kwenda kwenye nyumba za ibada kabisa

In God we Trust
Unaachaje sasa kisa unafiki wa watu wengine..!?? Au nawe upo hivyo, na umeona njia sahihi ni kutokwenda huko..!!? Remember kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe...
 
Jamaa na lile domo lake pana kama bakuli kwa kupewa kiburi na Magufuli anajiona Tanzania hakuna wa kumgusa anaweza kuropoka lolote kama afanyavyo babake
Anasahau kuwa kwenye siasa na nafasi hizi alizonazo, UMRI WAKE NI MDOGO, NA ANA SAFARI NDEFU YA KWENDA... SIKU MBELEKO IKIACHIA NAFASI KISA UMRI, NDO ATAJUA KUWA HAJUI..!!!
 
Malezi mabovu ndiyo aje kuiletea ujinga jamii huko kwa kutokulelewa sawasawa na wazazi wake

Haiwezekani

Bashite na baba yake must GO

Sent using Jamii Forums mobile app

Napenda kuuliza hivi malezi mazuri au mafundisho ya kumjenga mtoto kuwa na tabia nzuri hufanyika wakati gani au hufanyika katika umri upi
 
Makonda naye ni kiboko! Wenzie wanaepusha mikusanyiko kuzuia watu wasiambukizane yeye anawakusanya watu na kuwaambia wawapuuze watu wanaotaka kufanya mikusanyiko ugonjwa unaua. I see hii kweli Tanzania ya viwanda.

Hahahaha.Tanzania bwana,usanii mtupu
 
Kuna kipindi huwa najiiliza maswali mengi sana Na miongoni ya maswali hayo.

1.Hivi Watu wanapokuwa Kwenye nyumba za kuabudu (Makanisani Na misikitini) huwa wanakwenda Kwa ajili ya kujionesha ama wanamaanisha?

Kwa nini najiuliza

Leo asubuhi nimeamka na kukutana na Vidio ya Kiongozi tena wa Serikali ambaye mara kwa mara huwa namuona anakaribishwa mpaka kwenye madhabahu ya kanisa na kupewa nafasi ya kuhubiri ,leo anaamka na kuandaa mkusanyiko halafu anaanza kumkebehi Mzazi wa mtu kuwa anashukuru sana huyo mtu mwanae kupatwa Ugonjwa wa Corona.Hivi kweli dini zinatufundisha kuombeana watu mabaya?kufurahi wengine wanapopata shida na kuteseka ?

2.Swali la pili,huwa najiuliza hivi Shuleni na Vyuoni yanayofundishwa ndiyo yanayofanyika huku nje?maana nakumbuka nilipokuwa Chuo Kikuu,nilisoma kidogo Kwa muhula mmoja somo ya Uongozi.

Nilifundishwa kuwa unapochaguliwa kuwa Kiongozi basi fahamu miongoni mwa Kazi zako ni Kuwa Mfariji Mkuu.

Sasa leo nimeamka asubuhi na kukutana na vidio ya Kiongozi mkuu wa ngazi ya Mkoa,anatangaza kwa kukebehi huku akifurahia moja ya wananchi ndani ya Mkoa wake kukutwa Na maambukizi ya Virusi vya Corona,kisa Baba wa huyo mtoto wanatofautiana Vyama vya Siasa.

Najiuliza Prof aliyenifundisha kuwa unapokuwa Kiongozi wewe ni mfariji mkuu,alikuwa ananiongopea?mbona baadhi ya Viongozi(Kama alivyofanya mkuu wa mkoa) ameshindwa kusimama Kwenye nafasi ya Mfariji mkuu na badala yake kaamua kuianza siku Kwa kwenda Kwenye mikusanyiko na kumtangaza mwanafamilia wa ndani ya Mkoa kuwa anaugonjwa wa Corona huku alienda mbali zaidi Kwa kusema anamshukuru Mungu familia hiyo kupatwa na janga la Corona?

Mungu Ibariki Tanzania

In God we Trust
Huyu bwana ukiambiwa alizungusha alizungusha kweli. Naombeni tumpuuze kwa nguvu inayostahili.
 
Pole sana kwa kukukwaza
Mleta uzi na ww unajipaka mavi tu bure, unapomtaja kiongozi unamaanisha Makonda au nani?

Mtu anakashfa kibao hata jina analotumia si la kwake halafu bado ww unaumiza kichwa.

Weka mada zenye mashiko mezani, mule kichwani kwa yule jamaa hamna kitu, hakuna asiyetambua hili

Usinichoshe.

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Bashite na baba/babe wake hawastahili kuitwa wakristo kwani wanaunajisi ukristo. Hawa na wauaji wanaoficha uovu wao kwa kupiga picha wakiwa kwenye nyumba za ibada
 
Kuna kipindi huwa najiiliza maswali mengi sana Na miongoni ya maswali hayo.

1.Hivi Watu wanapokuwa Kwenye nyumba za kuabudu (Makanisani Na misikitini) huwa wanakwenda Kwa ajili ya kujionesha ama wanamaanisha?

Kwa nini najiuliza

Leo asubuhi nimeamka na kukutana na Vidio ya Kiongozi tena wa Serikali ambaye mara kwa mara huwa namuona anakaribishwa mpaka kwenye madhabahu ya kanisa na kupewa nafasi ya kuhubiri ,leo anaamka na kuandaa mkusanyiko halafu anaanza kumkebehi Mzazi wa mtu kuwa anashukuru sana huyo mtu mwanae kupatwa Ugonjwa wa Corona.Hivi kweli dini zinatufundisha kuombeana watu mabaya?kufurahi wengine wanapopata shida na kuteseka ?

2.Swali la pili,huwa najiuliza hivi Shuleni na Vyuoni yanayofundishwa ndiyo yanayofanyika huku nje?maana nakumbuka nilipokuwa Chuo Kikuu,nilisoma kidogo Kwa muhula mmoja somo ya Uongozi.

Nilifundishwa kuwa unapochaguliwa kuwa Kiongozi basi fahamu miongoni mwa Kazi zako ni Kuwa Mfariji Mkuu.

Sasa leo nimeamka asubuhi na kukutana na vidio ya Kiongozi mkuu wa ngazi ya Mkoa,anatangaza kwa kukebehi huku akifurahia moja ya wananchi ndani ya Mkoa wake kukutwa Na maambukizi ya Virusi vya Corona,kisa Baba wa huyo mtoto wanatofautiana Vyama vya Siasa.

Najiuliza Prof aliyenifundisha kuwa unapokuwa Kiongozi wewe ni mfariji mkuu,alikuwa ananiongopea?mbona baadhi ya Viongozi(Kama alivyofanya mkuu wa mkoa) ameshindwa kusimama Kwenye nafasi ya Mfariji mkuu na badala yake kaamua kuianza siku Kwa kwenda Kwenye mikusanyiko na kumtangaza mwanafamilia wa ndani ya Mkoa kuwa anaugonjwa wa Corona huku alienda mbali zaidi Kwa kusema anamshukuru Mungu familia hiyo kupatwa na janga la Corona?

Mungu Ibariki Tanzania

In God we Trust
Kuhusu kiongozi wa mkoa unayemzungumzia, napenda kumnukuu Zitto "Ukiona kifaranga kipo juu ya chungu ujue chini kuna mama yake"

Kifaranga hupata ujasiri kutoka kwa mama yake
 
Napenda kuuliza hivi malezi mazuri au mafundisho ya kumjenga mtoto kuwa na tabia nzuri hufanyika wakati gani au hufanyika katika umri upi
Nadhani ni vema tutafakari maisha aliyopitia hasa kipindi anaishi kwa mzee Six kama msaada kwa ufukara wake.
Yasemwayo kama ni kweli kuwa alikuwa anadhalilishwa kingono lazima yaweza kusababisha uharibifu wa akili. Hilo limetokea kwa vijana wengi walio haribiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom