Dotto Magari: Nikimuona Mtu (hasa Mwanaume) anaendesha IST namdharau kwani namuona kama vile amekaa Chooni kwa jinsi anavyoiendesha

Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
Haahaaaa uchawa una mwisho! Yuko wapi pierre liquid
 
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
Poa mzala uwe na siku njema bhana..pana uzi wa afya umeongea kitu cha maana sana leo huyu Dotto muhuni achana nae..
 
Haahaaaa uchawa una mwisho! Yuko wapi pierre liquid
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Haha,
Ungetupia clip yake akisema ingependeza
 
Ngoma ikilia sana,mwisho wake huwa inapasuka.........
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
 
Naona wenye IST sasa mnakuja kwa Kufura kabisa. Ila Dotto Magari bhana eti akiwaona Watu wanaendesha Gari aina za IST anawaona ni kama vile wako Chooni Wanaukweka / Wanakunya kwa jinsi ambavyo huwa wanakuwa wamekaa katika Viti vyao vya Dereva.
Hata Baiskeli sina mkuu.......nimetoa mfano tu wa msemo wa Kiswahili ngoma ikilia sana mwisho wake hupasuka
 
Si mmiliki wa IST wala sijawahi endesha hili gari although na gari ya juu but to be honestly hiyo ni dharau peo max . Kila mtu anaendesha anacho kimudu kutokana na uchumi wake, watu hawawezi fanana kiuchumi
Wo aheshimu wenzie else hiyo ego itakuja mpeleka pabaya
 
Mgonjwa wa akili sio lazima awe anayeokota Makopo mtaani
 
Ni maamuzi tu ya kila mtu, kila mtu yuko huru kumiliki kinachomfaa.

Mjapan alipotengeneza IST aliitengeneza kama gari simple yakutembelea mjini.

Kutembelea Toyota V8 Dar es salaam ndio ushamba sasa, kama issue ni hela nao ni washamba tu tunawashangaa hawana Bugati, Mercedes McLaren, Felari, Chev, Jeep, Dodge, Maserati, Royce Royce, Tajiri huna hata PJ Gulf stream nk, Tajiri huna hata Yatch kitu Mangusta nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…