DP World inatisha. Musukuma alisema kweli

Kwa mujibu wa Waziri Mbarawa tunategemea kuingiza zaidi ya asilimia 60 ya bajeti yetu.
Hizo 60% zinaingia kwa utaratibu upi? Si mmesema mikataba bado? Hiyo estimate mnaipataje?

Kumbuka haya maswali ni kwa ajili ya kuhakikisha kila mtanzania anajua umuhimu wa kuiunga mkono serikali kwa jambo ambalo analielewa. Kwa ufupi maswali haya ni kwa nia njema.
 
Imebidi nicheke sana kwa ujuha uliojidhihirisha nao kwa kudhani kuwa nawashangaa ndugu zangu Waarabu wa Dubai. Siwashangai hata kidogo, nawafahamu uwezo wao.

Nakushangaa wewe usiyejuwa kuwa teknolojia ya leo inaundwa kwa namna ya mtumiaji atakavyo (tailor made applications).

Wewe ulifikiri unakwenda kutunguwa teknolojia kama unavyoenda wewe kutunguwa mitumba ya kafa Ulaya?

Unasikitusha sana kwa kuwa bado una fikra za mwaka 1800.

Hao hao leo hii wanaendesha bandari za unaowaona wewe wa maana. Jiulize kwanini? Nnauhakika huna jibu.


Jibu alilipata zamani sana Mama Samia. Wait for more surprises on the way.

Nafahamu roho inakuuma sana kwanini vitu vidogo kama hivyo wewe usiyevaa kobazi na hijab huna na wala hujawahi kuvifikiria. Usijali tutakufundisha kidogo kidogo. Huwezi kushindana na waliokuletea ustaarabu.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Wajinga huliwa
 
Pole sana, kwenye hesabu za kibiashara kuna kitu kinaitwa "projection" au "forecasting".

Tumia Google ikuelekeze ni nini hivyo.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Sasa Bibi F kwa style hiyo utakuwa unaongeza ajira ama unapunguza???!
 
Cha kusikitisha hapo ni kwamba wewe unabaki tu kushangaa, hata ile akili ya kuwaza kuwa unaweza kufanya zaidi ya hapo huna.

Kwa hiyo wewe na hao unao"wapigia mwingi" hapa ndio tatizo kubwa la nchi hii.
 
Cha kusikitisha hapo ni kwamba wewe unabaki tu kushangaa, hata ile akili ya kuwaza kuwa unaweza kufanya zaidi ya hapo huna.

Kwa hiyo wewe na hao unao"wapigia mwingi" hapa ndio tatizo kubwa la nchi hii.
Nakushangaa wewe unaejuwa kila kitu lakini huna. Waarabu unaowaona wewe hawajuwi wanakuletea vimbwanga vyao wanavikita kwenye lango lako kuu la nchini mwako, usijali, wataenda mpaka milango yako ya uwani.

Usiijali sana, wajomba zangu hao wanapenda sana wanyanwezi na wasukuma, utapata shemeji hivi karibuni,kihalali kabisa, hawapendi haram hao.

Si umeliona toto mchanganyiko wa kinyamwezi kwenye video clip likimwaga darsa?

. Hivi wewe, sema kweli, huna shemeji la Kiarabu? Kina Jamal Bakhresa hawajapita-pita mtaani kwenu!



Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Kwa hiyo ajira 70k ni changa la macho siyo?
 
Nafahamu ukweli unawaumiza sana. Agenda yenu imebuma.

Ni aheri utumwa kuliko ushoga, au unaonaje?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Msiishie kusema anaupiga mwingi. Elezeni mkataba huu una ukomo au hauna?

Elezeni kwa nini Zanzibar hawakupewa mtonyo kuhusu hawa DP world

Shida ya aina ya watu kama wewe wanadhani basi Dubai ni ndugu zako na wanakuja kwa ajili ya kuindeleza Tanzania.
 
 

Attachments

  • C49A279C-6863-48A2-85F5-090C3E10D62D.jpeg
    51.3 KB · Views: 1
Hao maharamia wakiarabu wana kesi kila taifa walipowekeza, kwani huko kote kwenye hayo makesi waliyofunguliwa hakuna mabinti wakuelezea teknolojia ya kushusha mizigo? Jiheshimu.

Samia ni shetani msaliti.
Shetani baba yako, nmmmbwa wewe
 
Ukweli ni kwamba siwezi kujadili jambo muhimu kama hili na mtu ambaye anapiga kampeni juu ya jambo hili. Hana 'objectivity' wala 'rationality' juu ya anayoyajadili, bali anasukumwa na mahitaji ya kukidhi kampeni tu, basi!

Lakini pia nisisahau kukumbusha.
Usidhani nchi hii imelala. Hizo ndoto zako zitabaki kuwa ndoto tu, na mkilazimisha, nanyi mtlazimishwa.

Kwa hiyo huu siyo mjadala, ila kila nikiona hitaji la kuandika kuwastua wasomaji dhidi ya kampeni, hilo nitaendelea kulifanya sana.
 
Naunga mkono hoja..
 
Training yenyewe wiki mbili tu hapo ni kununua hizo mashine na kuzijengea. Yaani jambo tunaweza wenyeye ndio tuwape dubai bandari zetu miaka 100? 🤣😂
Kama ni ukwasi si tukope. Haya ndio mambo ya kukopea world bank na imf. Sio tunakopa kujenga madarasa na matundu ya choo😎😆
 
Kwa hiyo ajira 70k ni changa la macho siyo?
Mimi naamini zitakuwa zaidi ya hizo, aliyesema 70,000 kaogopa. Usiitazame bandari pekee, tazama kwa upana wa fursa zitakazozalishwa kwa ufanisi (efficiency) itayopatikana bandarini. Naamini zitakuwa zaidi sana ya 70K ndani ya miaka mitatu.

Bandari ni lango kuu la nchi litakalofunguwa milango mingi sana ya ndani.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Typical politics
 
Msukuma ndio ana namba ya huyu dada[emoji7]
 
Ukiona watu wa dini moja wanatetea kitu kwa nguvu jiulize mara mbili mbili. Kwa nini? Ukifika sehemu kama Manjis huwezi kuta dini tofauti. Maana yake ni nini? Ndio tunakoelekea kwenye bandari yetu. Ni bandari ya watanzania wote bila kujali dini, kabila au rangi. Ila ikinafsishwa tu ujue mpaka uwe upande wao ndo upate ajira. Mifano ipo kwenye kampuni zao karibia zote.
 
Kibibi mbona unahemka sana! bandari ni mali ya watanganyika hakuna mgeni atakayemilikishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…