DP World kuanza kuendesha bandari ya Dar es Salaam tarehe 01 Novemba 2023

DP World kuanza kuendesha bandari ya Dar es Salaam tarehe 01 Novemba 2023

Kelele za Watanganyika kulilia dhidi ya mkataba mbovu wa bandari, hazijasikilizwa na DP WORLD wanaingia rasmi ofisini tarehe 01 November.

Watu walikuwa wanadhani watendaji wa DP WORLD ni Waarabu, hapana, kuna Wazungu, Wahindi, Wafilipino na watu weusi.
DPW ni kifo cha CCM. Amini amini nakwambia
 
Kelele za Watanganyika kulilia dhidi ya mkataba mbovu wa bandari, hazijasikilizwa na DP WORLD wanaingia rasmi ofisini tarehe 01 November.

Watu walikuwa wanadhani watendaji wa DP WORLD ni Waarabu, hapana, kuna Wazungu, Wahindi, Wafilipino na watu weusi.
Mbona tayari wapo, labda hiyo tarehe ni ya makabidhiano rasmi tu.
 
Na warabu wenyewe wakiwa wanasimamia bandari yao kwa njia ya Bluetooth, au vipi? 😆
Wewe umeukaribia ukweli wenyewe hasa.

Vi-nchi vyenyewe hivyo vya kiarabu, raia toka nje, India, Bangladesh, Pakistan, Phillipine ndio wanaoendesha kila kitu kwenye vi-nchi hivi.
Siku moja hwa watu wakiamua kuchukua madaraka, waarabu watapoteana.

Ndiyo maana wanajitahidi sana sasa kutumia pesa kujitanua kwenye nchi zisizokuwa na viongozi wenye akili kichwani kama hizi zetu.
 
Mimi kama mtanzania;
Mimi kama mtanganyika;
Mimi kama mkatoliki;
Mimi kama mtu mwenye utimamu wa akili;
Naisubiri ccm uchaguzi mkuu wa 2025; kama kweli dp world watatia mguu Tanzania kwa mkataba ule.
Kura yako na ndugu zako hazitabadili chochote mkuu.

Dp world wapo pale pale wala kelele za mafisadi haziwezi kusikilizwa kamwe.
 
Wewe umeukaribia ukweli wenyewe hasa.

Vi-nchi vyenyewe hivyo vya kiarabu, raia toka nje, India, Bangladesh, Pakistan, Phillipine ndio wanaoendesha kila kitu kwenye vi-nchi hivi.
Siku moja hwa watu wakiamua kuchukua madaraka, waarabu watapoteana.

Ndiyo maana wanajitahidi sana sasa kutumia pesa kujitanua kwenye nchi zisizokuwa na viongozi wenye akili kichwani kama hizi zetu.
Unamaanisha hawana akili kama viongozi wa Uingereza siyo? SAu huelewi kuwa kuna banadari mbili za Uingereza wanaendesha DP World?

Tena kubwa sana mara 100 ya kipande kidogo wanachoendesha kwetu.
 
Nilikuwa siungi mkono suala la DP world lakini upumbavu wa TEC umenifanya niiunge mkono Serikali.

Serikali haipaswi kubadili maamuzi yake kwa mashinikizo na vitisho kutoka kwenye vikundi vya dini.
TEC wametia aibu kubwa japo haiongelewi sana mitaani. Unamkataa mmoja wa waendeshaji wakati hujui serikali ina mpango upi na bandari nyingine zilizopo.

Unamkataa mwendeshaji mmoja wa TPA wakati upo uwezekano wa wanaosali humo makanisani kuwa wamiliki wa makampuni yenye kuweza kupewa tenda ya kuendesha bandari sambamba na hao DP World!.

Hili ni tatizo linalokuwepo wakati baadhi ya viongozi wa TEC wakiwa na maslahi ya kisiasa lakini walitakiwa kutokwenda kichwakichwa walitakiwa wajipange tangu mwanzo.
 
Mimi kama mtanzania;
Mimi kama mtanganyika;
Mimi kama mkatoliki;
Mimi kama mtu mwenye utimamu wa akili;
Naisubiri ccm uchaguzi mkuu wa 2025; kama kweli dp world watatia mguu Tanzania kwa mkataba ule.
Watatia mguu Novemba mosi hapo TPA, jiongeze ili uweze kujua mengi kuhusu masuala ya bandari kuliko kushikiwa akili na viongozi wetu wakatoliki.
 
Back
Top Bottom