tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
CCM ni sikio la kufa na ni ukoo wa panya. Panya ni ukoo wa wezi tangu babu hadi kilembwe. Mungu anawaona wahahizaya wakubwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni sikio la kufa na ni ukoo wa panya. Panya ni ukoo wa wezi tangu babu hadi kilembwe. Mungu anawaona wahahizaya wakubwa!
IGA hiyo hiyo inaanza kazi Novemba mosi, jiandae kisaikolojia. IGA hiyo hiyo haina matatizo yoyote ndio maana tenda zinatangazwa na TPA za kuendesha magati namba nane mpaka kumi na moja hapo hapo bandarini Dar.Hujatueleza kama hao DP World wanaokuja ndio wale wale wa IGA; pamoja na kwamba umejitahidi kutufafanulia ni akina nani wahusika na DP World unayoizungumzia wewe.
Huyo DP World wa rangi yoyote ile, bila ya IGA anayoambatana nayo, huyo tunaweza kukabiliana naye baada ya kuwashughulikia hawa watwana wao waliotaka kutuuza huko utumwani.
We tunakujua ni chawa wao toka kitamboNilikuwa siungi mkono suala la DP world lakini upumbavu wa TEC umenifanya niiunge mkono Serikali.
Serikali haipaswi kubadili maamuzi yake kwa mashinikizo na vitisho kutoka kwenye vikundi vya dini.
India pia wanaendesha bandari kubwa tu tena mwaka huu katikati walikabidhiwa.Unamaanisha hawana akili kama viongozi wa Uingereza siyo? SAu huelewi kuwa kuna banadari mbili za Uingereza wanaendesha DP World?
Tena kubwa sana mara 100 ya kipande kidogo wanachoendesha kwetu.
Kuna watu wanajisifia umasikini, hapo ndipo nnaposhangaa.India pia wanaendesha bandari kubwa tu tena mwaka huu katikati walikabidhiwa.
Nchi ambayo madaktari wake wanatutibu kisukari na presha miaka na miaka inawakubali DP World sisi tunawakataa kwa kuendekeza mawazo ya kimaskini na roho mbaya.
Ukiongea kisiasa kuna watakaokuunga mkono lakini ukiongea kiuchumi DP World wanakuja kuifungua nchi.DPW ni kifo cha CCM. Amini amini nakwambia
Ikifika January February Marope huyu hapaChai hiyo[emoji2]
Ilikuwa Oct, now Nov, ikifika Nov itakuwa January!!
Unafubguaje nchi huna umemeUkiongea kisiasa kuna watakaokuunga mkono lakini ukiongea kiuchumi DP World wanakuja kuifungua nchi.
Rais Samia anapoongelea kuifungua nchi ujue kivitendo hao waendeshaji wa bandari kutoka UAE ndio wanakuja kuibadili Tanzania.
Mungu ibariki tanzania uwekezaji huu uanze rasmi hadi wale matapeli pingapinga waaibikee
Hahaha, watu mna matusiMtu msafi hawezi kumiliki CHAWA.
Maokoto yanaenda wapi
Ni ukweli ambao kila mmoja ana ufahamu ya kwamba ili uwe mmiliki halali wa CHAWA basi JITAHIDI kuwa mchafu.Hahaha, watu mna matusi