Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm inashinda kwa kishindo 2025. Na DP World anaenda kuleta mapinduzi makubwa katika ufanisi na mapato bandariniMimi kama mtanzania;
Mimi kama mtanganyika;
Mimi kama mkatoliki;
Mimi kama mtu mwenye utimamu wa akili;
Naisubiri ccm uchaguzi mkuu wa 2025; kama kweli dp world watatia mguu Tanzania kwa mkataba ule.
Ndicho kitakachofuata endapo DP World watakanyaga ardhi ya Tanganyika.Nguvu ya umma itumike kukidosha Chama Chakavu na serikali yake
ExactlyNilikuwa siungi mkono suala la DP world lakini upumbavu wa TEC umenifanya niiunge mkono Serikali.
Serikali haipaswi kubadili maamuzi yake kwa mashinikizo na vitisho kutoka kwenye vikundi vya dini.
Kuna nchi jirani yetu umeme ratiba ni masaa matatu kwa siku, angalau hapa juhudi za TANESCO na wizara ya nishati zinaonekana.Unafubguaje nchi huna umeme
Duh!Kura yako na ndugu zako hazitabadili chochote mkuu.
Dp world wapo pale pale wala kelele za mafisadi haziwezi kusikilizwa kamwe.
Bado upo mkuu 'Ntamusana' na matumaini yaleyale ya ufisadi? IGA ilishakufa siku nyingi.IGA hiyo hiyo inaanza kazi Novemba mosi, jiandae kisaikolojia. IGA hiyo hiyo haina matatizo yoyote ndio maana tenda zinatangazwa na TPA za kuendesha magati namba nane mpaka kumi na moja hapo hapo bandarini Dar.
Ndio maana tenda ya kuendesha bandari ya Mbegani inatangazwa pia.
Kutakuwa na tenda ya kuendesha bandari ya Tanga itatangazwa muda wowote kuelekea mwishoni mwa mwaka huu.
Kwani nani alikuambia waliyokua hawatakiwi ni waarabu. Hiklo shirikawanaojua wanajua hao ni wamatekani na waingeteza. Ni ubeberu mtupu na hatari kwa usaama wa nchi yetu
Tatizo lako ni uelewa tu. IGA ndio imezaa mikataba ya kibiashara, ambayo inazaa uwekezaji pale bandarini.Bado upo mkuu 'Ntamusana' na matumaini yaleyale ya ufisadi? IGA ilishakufa siku nyingi.
Haya unayozungumzia sasa ni mambo tofauti kabisa na hiyo IGA yenu; lakini inaeleweka, jishikizeni hapo hivyo hivyo kuziba macho ya wasioweza kuona sawasawa.
Mkuu, tusirudi huko tena.Tatizo lako ni uelewa tu. IGA ndio imezaa mikataba ya kibiashara, ambayo inazaa uwekezaji pale bandarini.
Hakuna hatari yoyote. Kwa taarifa yako usalama wa uwanja wa ndege na wa bandari muda wote upo kazini.Kwani nani alikuambia waliyokua hawatakiwi ni waarabu. Hiklo shirikawanaojua wanajua hao ni wamatekani na waingeteza. Ni ubeberu mtupu na hatari kwa usaama wa nchi yetu
Ikiwa waendeshaji ni hao basi hakuna neno.Tatizo la TEC ni kuhofu DP world ni waarabu watupu.
Watatia miguu na mikono na hutafanya lolote, wacha 2025 hata 2030 na 2035 hamtafanya chochote na ccm itatawala maishaMimi kama mtanzania;
Mimi kama mtanganyika;
Mimi kama mkatoliki;
Mimi kama mtu mwenye utimamu wa akili;
Naisubiri ccm uchaguzi mkuu wa 2025; kama kweli dp world watatia mguu Tanzania kwa mkataba ule.
Kukuelimisha sitochoka kwa sababu naelimisha umma wa watanzania kupitia kwako. IGA iliyopita bungeni ndio hii imezaa Project Contracts ambazo masuala ya ukomo na mengine yenye kuwapa watu dukuduku yamo humo.Mkuu, tusirudi huko tena.
Sahau habari ya IGA, hiyo ni habari iliyokwishapita muda kitambo, na hakwenda popote.
Haya unayotaka kupotosha watu juu yake ni mipango nje ya IGA hiyo mbovu. IGA haipo mahali popote tena.
Unawashwa pale pasipokunika kirahisi!?.... Unahitaji kukunwa!!?
Hiyo elimu yako siitaki na wala huna uwezo wa kufanya hivyo.Kukuelimisha sitochoka kwa sababu naelimisha umma wa watanzania kupitia kwako. IGA iliyopita bungeni ndio hii imezaa Project Contracts ambazo masuala ya ukomo na mengine yenye kuwapa watu dukuduku yamo humo.
Ukubwa wa uwekezaji uliulazimu mkataba mzima upitie kwanza bungeni kupata baraka za kisheria na ndio masuala mengine yaweze kuendelea.
Nchi imesomesha wasomi wengi tatizo letu ni kila mtu kujiona anao uwezo wa kujadili na kuongelea masuala nyeti ya mikataba.
Hilo "Genge" lenu unaloliita la wasomi ni hasara kubwa sana kwa nchi yetu kuwa na watu wa aina ile. Ni aibu kubwa.Nchi imesomesha wasomi wengi tatizo letu ni kila mtu kujiona anao uwezo wa kujadili na kuongelea masuala nyeti ya mikataba.