DP World kuanza kuendesha bandari ya Dar es Salaam tarehe 01 Novemba 2023

DP World kuanza kuendesha bandari ya Dar es Salaam tarehe 01 Novemba 2023

Unamaanisha hawana akili kama viongozi wa Uingereza siyo? SAu huelewi kuwa kuna banadari mbili za Uingereza wanaendesha DP World?

Tena kubwa sana mara 100 ya kipande kidogo wanachoendesha kwetu.
We shwaini ni motoni moja kwa moja
 
Hakuna ukweli hapo. Sheria ya kuzilinda rasilimali asilia Bado Iko vizuri imekaa kizalendo ile Sheria haijafanyiwa amendment.
 
Nilikuwa siungi mkono suala la DP world lakini upumbavu wa TEC umenifanya niiunge mkono Serikali.

Serikali haipaswi kubadili maamuzi yake kwa mashinikizo na vitisho kutoka kwenye vikundi vya dini.
Hujielewi Kabisa
Utapata tabu SANA
 
Katika ya Serikali na vikundi vya dini nani ana kiburi? Hivi vikundi vya dini vikiamua kuidobdosha Serikali unafikiri inachukua muda? Usigombane na wanaomwabudu Mungu asiyeonekana!! Historia inatuambia kuwa Mungu hashindwi .tuwasikilize na kuwaheshimu.CCM 2025 Ina wakati mgumu sana I tell you kama upinzani ukimtafuta Mtu serious lakini siyo Lissu!!

Upinzani ujitahidi kuwejeza kwenye ubunge.kwenye uraisi wapaache kwanza!!

una uhakika gani kama TEC na hivyo vikundi vya dini vinadeal na Mungu wa kweli?.

TEC ni Cathoric kundi moja la dini, vipi KKKT, vipi wasabato, vipi Bakwata, vipu Wasuni, vipi Shura ya maimamu, vipi wahindu, vipi Mabohora nk nk..

najaribu kufikiri kiundani.
 
Kelele za Watanganyika kulilia dhidi ya mkataba mbovu wa bandari, hazijasikilizwa na DP WORLD wanaingia rasmi ofisini tarehe 01 November.

Watu walikuwa wanadhani watendaji wa DP WORLD ni Waarabu, hapana, kuna Wazungu, Wahindi, Wafilipino na watu weusi.
Kwa hiyo watendaji wakiwa wazungu, wahindi, wafilipino, weusi basi hapo DP world inakuwa haimilikiwi tena na wajomba, hata bandari nzima mkijaza wazungu dili feki la mwarabu na chifu mangungo liko palepale.
 
Mkataba, sio dipii...
Mkataba hauna matatizo yoyote, sisi wajuaji tusiojua chochote kuhusu mikataba tunajaribu kupotosha kuhusu kilichoandikwa kwenye IGA.

Ungekuwa una matatizo TPA wasingekuwa na uwezo wa kutangaza tender za kutafuta waendeshaji wengine wa Bandari yenyewe ya Dar na zile za Bagamoyo na baadae itakuja tender ya bandari ya Tanga.
 
Kwa hiyo watendaji wakiwa wazungu, wahindi, wafilipino, weusi basi hapo DP world inakuwa haimilikiwi tena na wajomba, hata bandari nzima mkijaza wazungu dili feki la mwarabu na chifu mangungo liko palepale.
Dili huwezi kuliita feki kama huwezi kuuelezea huo ufeki wake upo vipi. Tunaingizwa choo cha kike na sisi mazima mazima tunaingia humo.
 
Mkataba hauna matatizo yoyote, sisi wajuaji tusiojua chochote kuhusu mikataba tunajaribu kupotosha kuhusu kilichoandikwa kwenye IGA.

Ungekuwa una matatizo TPA wasingekuwa na uwezo wa kutangaza tender za kutafuta waendeshaji wengine wa Bandari yenyewe ya Dar na zile za Bagamoyo na baadae itakuja tender ya bandari ya Tanga.
Hiyo IGA yenu ya kitapeli nendeni mkafungie maandazi, hakuna mkataba hapa.
 
Kwani hao Dp World wanasemaje swala la ajira kwa sisi wazawa ambao hatuna kazi?

Kwani hao Dp World wanasemaje swala la ajira kwa sisi wazawa ambao hatuna kazi?
Mkataba wao unawataka wajihusishe na utoaji elimu wa wazalendo kwenye masuala ya shipping kwa ujumla. Watasaidiana na DMI katika kuongeza uwezo wa wanafunzi wa chuo kile.
 
Kelele za Watanganyika kulilia dhidi ya mkataba mbovu wa bandari, hazijasikilizwa na DP WORLD wanaingia rasmi ofisini tarehe 01 November.

Watu walikuwa wanadhani watendaji wa DP WORLD ni Waarabu, hapana, kuna Wazungu, Wahindi, Wafilipino na watu weusi.
Hata ukipita uwanja wa ndege Dubai utakutana wa watu wa mataifa tofauti yanafanya kazi kama hayo mataifa uliyoyataja

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Punda afe mzigo ufike....

Yaani ule waraka wa kanisani utuzuie?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
TEC wametia aibu kubwa japo haiongelewi sana mitaani. Unamkataa mmoja wa waendeshaji wakati hujui serikali ina mpango upi na bandari nyingine zilizopo.

Unamkataa mwendeshaji mmoja wa TPA wakati upo uwezekano wa wanaosali humo makanisani kuwa wamiliki wa makampuni yenye kuweza kupewa tenda ya kuendesha bandari sambamba na hao DP World!.

Hili ni tatizo linalokuwepo wakati baadhi ya viongozi wa TEC wakiwa na maslahi ya kisiasa lakini walitakiwa kutokwenda kichwakichwa walitakiwa wajipange tangu mwanzo.
Wamemkataa shetani na mawakala zake wote.
 
Back
Top Bottom