DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

Serikali isipoteze muda na wapuuzi wachache ambao kwa maksudi hawataki kuelewa faida inayo patikana na uwekezaji wa DPW.
Mwenye akili atapenda nchi yetu ipigane kiume kuendesha bandari zake. Tulianza kwenye umeme, reli, ndege barabara....
Tatizo kina bendera fuata upepo hawaeleweki wanasimamia nini. Ni wale wale waliomsifia magu leo wamebadili gia ili wazidi kulamba asali.
 
Kuna mawakili wengi mno hiyo kesi haitokosa wa kuisimamia.

Hoja hapa ni kubadili mkataba tu au kuufuta kabisa.
Mkataba upi unaoungelea?

Tusilishane matango pori. Pitia post namba moja ujionee vifungu vya maukbaliano ya nchi mbili, unauongelea "mkataba" huo au kuna mwingine?
 
Naona hata ukielewi unachokiongea, unaonesha umejazwa ujinga.


Mkataba uko hapo juu post #1.

Si ulienda shule? sasa kama ulienda shule, kwanini uongee kama mtu aliyeshikwa akili? Pitia makubaliano yapo mpaka kwa Kisawahili kama Kingereza kinakupiga chenga, wewe mwenyewe useme tatizo lipo kifungu kipi.
 
Kwanza tuoneshe kifungu kibovu kimoja tuone kama hakikijibu kwenye huohuo "mkataba".

Sasa nakuuliza swali.

Unafahamu maana ya Intergovernmental Agreement? U niende taratibu na wewe.

Nini maana ya" Intergovernmental"?
 
Mimi sina upande wowote Serikali inaweza kuiimarisha TPA ikaajiri hata experts kama migodini ikaiendesha hizo bandari vizuri sana.Mishahara na marupurupu viwe vizuri.Waajiri vijana wenye uwezo kwenye ICT,Finances,economics,marketing,Engineering,nk..Nafasi ya MD/CEO/DG itangazwe hata internationally kama ikibidi.
 
Sawa

Ndio pale Law School Kati ya Wanafunzi 800 hufaulu 12 tu

Hao waanaopigapiga kelele kudanganya watu, elewa kuwa ni mabomu tu hayo.

Hivi unafikiri serikali ni wajinga waviachie vichwa vinavyojuwa sheria wakati kuna idaa nyingi sana za serikalini zinazowahitaji? Fikiri.

Hao ni failures wa maisha ya kila siku ambao wamesoma lakini hawajaelimika.
 
Mwanasheria mbobevu anaajiriwaje na Serikali?

Watamlipa nini?😂😂

cc: Fatma Karume
 
Mwanasheria mbobevu anaajiriwaje na Serikali?

Watamlipa nini?😂😂

cc: Fatma Karume
Dah, wewe labda huelewi jinsi serikali inavyoajiri.

Tuulize wa zamani, juicy students walikuwa washalengwa toka sekondari, wanajuliknana kabisa huyu atachukuliwa wapi.

ystem hiyo bado ipo kwa wachache sana, hata kama akiwa ni private lawyer, kama ni mwenye maana basi serikali haiwachi kumtumia.

Wewe fikiria ma judge kama Dr. Fauz, miaka yote alikuwa anafanya kazi zake parivate, aliotakikana moja kwa moja kaachishwa kazi za private karudishwa serikalini. Unafikiri alivyokuwa Private alikuwa hafanyi kazi za serikali.


Ngoja nikujuze tu. <wakili wengi wenye maana zao wa private, hupelekewa kesi nyingi kubwa kubwa, zinazohusu specialization zao, wazipitie kabla ya kuzirudisha kwa majaji mahakamani kuzifanyia maamuzia ya mwisho. Unayaelewa hayo?

yie mnaona nchi zinajiendea tu kiholela eeh?
 
Mawakili Wakubwa hufanya Kazi za Serikali Lakini hawaajiriwi na Serikali ndio Akina Mkono, Tenga, Jerome, Rex, Kiwango nk....nk

Hiyo Zamani hata sisi tulikuwepo bwashee!
 
Mawakili Wakubwa hufanya Kazi za Serikali Lakini hawaajiriwi na Serikali ndio Akina Mkono, Tenga, Jerome, Rex, Kiwango nk....nk

Hiyo Zamani hata sisi tulikuwepo bwashee!
Mpaka kesho.


Unafikiri utitiri wa kazi zilizokuwepo waweza kufanya wanasheria waserikali peke yao?

Serikali inatumia watu wengi sana na siyo wanasheria tu, kila mwenye fani na ujuzi wake hata akistaafu serikalini hata awe hajapitia kabisa serikalini anaweza kupewa "assignments" za kufanya na akalipwa.

Msione watu wanatembea tu mitaani mkafikiri pesa za pensheni zinawatosha. Kuna vichwa vingi t bado vinatumika.

Wewe utawachaje vipaji kama vya Kikwete, Mzee Mwinyi au Msuya viishie kufuga ng'ombe na kupanda miembe tu?

Wachana na wajinga wajinga kama Slaa, hawana lolote zaidi ya kuwa wambea wa UWT tu.
 

Nafahamu sana nnachokiandika kuliko wewe.

"mkataba" uliosainiwa, niujuwao mimi, huu hapa post#1, haya nioneshe hapo, kumesainiwa kuendesha (operation) ya bandari ipi? Kifungu kipi?

Tusiandikie mate na wino upo.
 
Mawakili Wakubwa hufanya Kazi za Serikali Lakini hawaajiriwi na Serikali ndio Akina Mkono, Tenga, Jerome, Rex, Kiwango nk....nk

Hiyo Zamani hata sisi tulikuwepo bwashee!


Karudie kunisoma upya, naona umeunga mkono nilichokiandika.
 
Nimeangalia vitu 3; sheria, katiba na mkataba wenyewe. Kisha nimesikiliza hoja za pande zote. Basing on those variables ndio kwa maoni yangu nikasema hayo.
Tatizo mnazungumza jumlajumla kwa kusingizia uzalendo, ubeberu, ilani, manufaa. Ok, huna haja ya kuponda elimu ya mtu tetea hoja kwa vigezo vinavyopimika vya kisheria na kikatiba.
 
nafahamu siyo tatizo lako, ni shule tu uliyoenda.

Kwa taarifa yako Nina uelewa wa kutosha kuhusu PPRA act ya 2011 na Regulations zake.
Nishakuwa chairman wa tenda Bodi ofini.
Nishahudhuria semina kibao za PPRA .
Nina uelewa wa kutosha kuhusu mchakato wote wa manunuzi ya umma.
Haikubaliki kutangaza tenda ambayo umeshampatia mtu.
Ungetakiwa kuja na hoja labda ni utaratibu gani umetumika ku msingle source huyo mtu ila kutangaza tenda ambayo umeshampatia mtu huo ni kulaghai tena ni wizi.
Hivi unajua tu kampuni kufanya mchakato wa kuomba zabuni ni gharama.
Kwanza kuna gharama za kununua tenda document.
Gharama za kujaza hiyo tenda document.
Hakuna mzabuni anayeweza kujisumbua kuomba tenda ambayo mtu kashasainishwa mkataba na pia ni kinyume cha Sheria ya manunuzi kuhusiaa na competitive bidding.
Wadanganye wajingawajinga mwenzako wala urojo wa huko Zanzibar halafu we mazeri unaleta ujinga mwingi kwenye ishu za msingi
 
Waliosaini huu mkataba wapo wamekaa kimya sasa ninyi vichaa nani kawatuma.
 
Tenda ipi kapatiwa mtu ewe punguani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…