cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Kifungu Namba 4(5)
"DPW na taasisi tanzu zitawajibika kutafuta ufadhili kwa Makampuni ya Miradi husika kwa ajili ya kuendeleza Shughuli za Miradi."
Kwanini DPW watafute ufadhili badala ya serikali ya Tanzania ambayo ni muhusika mkubwa. Je nini kifamyike kama ufadhili wa makampuni husika utakuwa na athari hasi kwa Tanzania. Taratibu zipi zitatimika kupata ufadhili
"DPW na taasisi tanzu zitawajibika kutafuta ufadhili kwa Makampuni ya Miradi husika kwa ajili ya kuendeleza Shughuli za Miradi."
Kwanini DPW watafute ufadhili badala ya serikali ya Tanzania ambayo ni muhusika mkubwa. Je nini kifamyike kama ufadhili wa makampuni husika utakuwa na athari hasi kwa Tanzania. Taratibu zipi zitatimika kupata ufadhili