DP World wameachia Bandari? TPA yatangaza kutafuta Mzabuni kuhudumia Makasha katika Terminal II

DP World wameachia Bandari? TPA yatangaza kutafuta Mzabuni kuhudumia Makasha katika Terminal II

Kuna tangazo la tenda kutoka mamlaka ya bandari Tanzania ambalo limetolewa leo mwezi wa nane likiwataka wenye uwezo kuomba kuendesha gati namba 2 ya bandari iliyokuwa ikisemekana hapo kabla kuwa imechukuliwa na kampuni la DP world kutoka Dubai.

Je DP world wameachia?

Kama ni kweli, hongera sana Dk Slaa, wakili msomi Mwambukusi, Peter Madeleka, Mdude Nyagali na wengine wengi waliopambana na majizi ndani ya serikali yaliyokuwa yanauza bandari kimyakimya.

View attachment 2734362
Watakuja na jina jipya tu ila mapapa ni wale wale.
 
Kwenye pesa ni 8_7. SW kama umetumwa kawambie sio kinyonge
 
Watanzania mna uelewa mdogo sana.

Juzi serikali ilisema inaendelea na taratibu za mkataba


Kwa hiyo argument yako ni ku Bank kwenye statement ya serikali, mbona wamevuta baadhi ya Miswada nje? Nafikiri wewe ndo unaweza kuwa na uelewa finyu
 
Kuna tangazo la tenda kutoka mamlaka ya bandari Tanzania ambalo limetolewa leo mwezi wa nane likiwataka wenye uwezo kuomba kuendesha gati namba 2 ya bandari iliyokuwa ikisemekana hapo kabla kuwa imechukuliwa na kampuni la DP world kutoka Dubai.

Je DP world wameachia?

Kama ni kweli, hongera sana Dk Slaa, wakili msomi Mwambukusi, Peter Madeleka, Mdude Nyagali na wengine wengi waliopambana na majizi ndani ya serikali yaliyokuwa yanauza bandari kimyakimya.

View attachment 2734362
Wabongo kwa usanii tu hatujambo! Mama Abdul anafikili watz ni wajinga sana
 
Kuna tangazo la tenda kutoka mamlaka ya bandari Tanzania ambalo limetolewa leo mwezi wa nane likiwataka wenye uwezo kuomba kuendesha gati namba 2 ya bandari iliyokuwa ikisemekana hapo kabla kuwa imechukuliwa na kampuni la DP world kutoka Dubai.

Je DP world wameachia?

Kama ni kweli, hongera sana Dk Slaa, wakili msomi Mwambukusi, Peter Madeleka, Mdude Nyagali na wengine wengi waliopambana na majizi ndani ya serikali yaliyokuwa yanauza bandari kimyakimya.

View attachment 2734362
We ni km mazuzu wengine tu. Huoni hata haya? Ni juzi tu msemaji wa serikali katuambia serikali inaandaa HGA na mikataba ya miradi tayari kwa utekelezaji we unajitengenezea litangazo lako feki? Subiri mazuzu wenzio waja
 
Sheria ya PPRA haihusiki na mikataba ya kimataifa
Hii ni inside trick ya walioko kwenye system ili kuzima hoja kwamba tenda haikutangazwa kwa mujibu wa sheria ya PPPR!

Hiyo ngiyo Tanzania [emoji1241]
 
Hii ni inside trick ya walioko kwenye system ili kuzima hoja kwamba tenda haikutangazwa kwa mujibu wa sheria ya PPPR!

Hiyo ngiyo Tanzania [emoji1241]
Kwa hiyo wana jina la DPW mfukoni, kama dhaifu alivyoingia na jina la Marehemu "Member"kwenye uchaguzi wa urais wa 2015 kule idodomya?
 
Tunawakumbusha tu TEC ,Profesa Tibaijuka, Kinana , GSM na wengine kuwa TPA wametoa tenda ya kuendesha bandari.

Kufuatia ule waraka wenu mliosa mmetumwa na watanzania sasa hapa ndipo tunataka waje wale wawekezaji wenu mliokuwa mnawasema kwenye ule waraka wenu wa ki intarahamwe kuwa kuwa watanzania wanaweza kufanya hii kazi.

Hatutaki mje kuanza kuwalaumu waarabu kwa haya mambo maana mmesema kuna watanzania wana uwezo,haya tangazo la kuitisha tenda hili hapa mkalisome makanisani kama mlivyousoma waraka ule ili wale mnaosema wana uwezo waje kuomba na wapewe kazi hii.
 
Hongera sana Dk Slaa, wakili msomi Mwambukusi, Peter Madeleka, Mdude Nyagali na wengine wengi waliopambana na majizi ndani ya serikali yaliyokuwa yanauza bandari kimyakimya.
Usijizime data, hiyo ni moja ya utekelezaji wa HGA (Host government agreements) mikataba hiyo ipo ndani ya mkataba mkuu wa IGA. Bado ngoma mbichi.
 
Back
Top Bottom