DP World Washusha Meli yenye Kontena 4,000 Dar Port. Meneja TPA asema ni matokeo ya uwekezaji, adai huo ni Mwanzo tu

Kwa kifupi, or in summery, DP world wanapongezwa kwa kuongeza kina cha maji kwa 2 miters.
DP World wamechimba lini?
Ni mabadiliko gani waliyafanya kuwezesha kuleta meli kubwa ambayo sisi wenyewe tulishindwa kuyafanya?
Haya mabadiliko, kuongeza magati na kina, yalifanyika wakati wa Magufuli. Mengine haya ni kujitafutia ujiko kwa kazi za wengine.
 
Kwa kifupi, or in summery, DP world wanapongezwa kwa kuongeza kina cha maji kwa 2 miters.

Kina kimechimbwa kipindi cha JPM na Kodi za Watanzania, sio kina tu bali hata idadi ya berth ziliongezwa, kazi yote hiyo ilifanywa awamu ya tano ya JPM kwa kodi za Watanzania.

Awamu hii ilichofanya ni kumpa muwekezaji DP world.
 
Si imeshakuja meli yenye zaidi ya hayo mwaka jana tukaambiwa maneno hayo hayo!
 

View: https://www.instagram.com/reel/C8h-GqeunLp/?igsh=MWZldTlmdGsyazN2Mw==
 
Huo ni Mwanzo tuu,mtajambishwa sana
 
Kina kimechimbwa kipindi cha JPM na Kodi za Watanzania, sio kina tu bali hata idadi ya berth ziliongezwa, kazi yote hiyo ilifanywa awamu ya tano ya JPM kwa kodi za Watanzania.

Awamu hii ilichofanya ni kumpa muwekezaji DP world.
Si wanajua Watanzania ni wasahaulifu....nimeona wachezaji wa Yanga walivyomwaga sifa jinsi mama alivyoleta SGR
 
Mbona Bandari ya Mombasa zinakujaga sana bila uwekezaji wa Dp World Pale? Taifa la wapumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…