DP World Washusha Meli yenye Kontena 4,000 Dar Port. Meneja TPA asema ni matokeo ya uwekezaji, adai huo ni Mwanzo tu

hizo ni imports, unafurahia imports? angalau ingeondoka bidhaa for exports hapo ningeelewa lkn unafurahi imports???
Nyie viumbe huwa hamueleweki mnataka nini hasa? Kwani bandari zote ulimwenguni zinaangalua experts pekee na sio imports?

Hakuna nchi duniani inayojitegemea kwa kila kitu 100% lazima kuwe na imports. Sisi tunachozungumzia sio imports ama exports bali ongezeko la mapato yanayotokana na bandari.
 
Isha kija ya Magari nahisi, hizi ni Propaganda mkuu, Taifa limejaaa watu wanao waza kwa Kamasi tupu
Unahisi? Lete facts na data hapa sio habari za kuhisi.

Meneja wa bandari mwenye mamlaka na takwimu zote za meli zilizowahi kuingia amesema hii ndio meli ya kwanza kubwa kihistoria kutia nanga bandarini hapo sasa wewe unakuja na hisia zako usiyekuwa hata na uelewa wa mambo ya bandani.
 
Hawa watu wanawafanya Waatanzania hawana akili. Maboresho ya kuongeza kina cha bahari yalifanyika kwa mkopo wakati wa awamu ya 5, ambapo serikali ilichukua mkopo wa dola bilioni 1.

Hivi kuleta meli kubwa, nayo ni maboresho? Ukisikia ubabaishaji na hadaa ndiyo hii. Inaonekana hawa watu baada ya ya wizi wao na ule mkataba wa kishenzi kugundulika, wanahangaika sana mioyoni mwao wakifikiria wafanye nini kuwapumbaza Watanzania.

Enyi mafisadi wakubwa na waporaji wa rasilimali za nchi, mnahangaika bure, Watanganyika wana akili timamu, na ushenzi uliofanyika kwenye bandari hautaondoka kwa bla bla za kijinga. Kinachotakiwa ni kufutwa au kurekebishwa ile IGA ya kishenzi.
 
Magufuli kachimba na kutanua bandari harafu sifa anapewa DP world na machawa wajinga wajinga wakati meli kama hizo toka 2021 zilikuwa zinatia nanga hapo ila kwa ushoga wako unagawa sifa tu kwa mabasha zako ambazo hawana
 

Kuongeza kina cha bandari kulifanyika wakati wa Magufuli kupitia mkopo wa dola bilioni 1. Hawa DP W kunatengenezwa vihabari vya kipuuuzi na vya kijinga kwa dhamira ya kutaka kufukia ushenzi ule uliomo kwenye IGA. Lakini hilo halitawezekana.

Wangekuwa na akili, (japo tunajua rushwa kubwa iliwapofusha), wangehangaika na kubadilisha vipengere vya kihuni kwenye ile IGA ya kishenzi kuliko IGA zote Duniani.
 
Hapana mwisho ilikuwa meli ya container 2000 kwa sababu ya kina ila Dp word hawa jaongezakina wao waonekuta tayari TPA wameshaongeza kina cha bandari wao wameongeza mashine za kushusha mzigo mkubwa kwa haraka

Maersk Cubango ilipiga nanga hapo Waziri wa uchukuzi akiwa Mwakyembe ilikuwa na container 4000, tunasahau sana.

 
Ni mabadiliko gani waliyafanya kuwezesha kuleta meli kubwa ambayo sisi wenyewe tulishindwa kuyafanya?

Hakuna mabadiliko yoyote, wanacheza na ujinga wa watu. Kina cha bandari kiliongezwa wakati wa maboresho ya bandari yaliyofanyika wakati wa awamu ya 5 kwa mkopo wa dola bilioni 1.

Mioyo yao inahangaika baada ya ujambazi wao walioufanya kupitia IGA ya kishenzi, kugundulika na umma. Kila wakati wanatengeneza hadithi za kijinga.

Hii ni sawa Serikali ijenge barabara ya lami nzuri, halafu mtu alete lorry kubwa, halafu aliyeleta lorry kubwa anaanza kujisifu kuwa uwekezaji wake mkubwa wa kuleta lorry kubwa umeleta unafuu!!
 

Hawa makuwadi wa DP W, siyo tu wamekosa akili na uzalendo, bali wamekosa hata kumbukumbu.

Maboresho ya bandari ya Dar ikiwemo kina cha maji, ni miongoni mwa mambo mazuri na muhimu yaliyofanywa na utawala wa marehemu Magufuli. Hawa washenzi wa DPW, hakuna chochote cha maana walichokifanya. Pekee wanachodai kuwa wamefanya ambacho hakijaleta mabadiliko yoyote eti ni maboresho ya mifumo ya TEHAMA.

Niliwasiliana na afisa mmoja wa bandari mwezi May, katika kuongelea uwekezaji wa DP W, alisema kwa kifupi kuwa NI UTAPELI TU HAKUNA CHOCHOTE CHA MAANA.
 
Hauamini unachokisoma?

Ahsante mama Samia.

Mwehu mwingine huyu hapa.

Bandari ya Dar ilikwishawahi kupokea meli yenye makasha 5,000 mpaka 6,000. Halafu leo mafisadi wajinga wanataka waone maajabu meli ya makasha 4,000 kutia nanga bandari ya Dar.

Kama una access na afisa yeyote mtendaji wa bandari ya Dar, mwulize DPW wamefanya tangu waingie. Jibu ni HAKUNA CHOCHOTE CHA MAANA KILICHOFANYIKA MPAKA SASA. Wao wanadai eti wameboresha mifumo ya TEHAMA. Na wanasema hivyo kwa sababu mifumo ya TEHAMA huwezi kuiona kwa macho mpaka uingie kwenye electronic systems zao.

Majizi yanahangaika kuhalalisha uwepo wa DP W kupitia ile IGA ya kishenzi, lakini hakuna wa kudanganyika na stories za kipuuzi kama hizi.
 
Miaka 6 nyuma yaani 2018 , meli aina ya northern power ilishusha, makasha 5000, katika bandari ya Dar, siasa zenu za bei rahisi kawafanyieni watoto
Aisome FaizaFoxy hii na makuwadi wengine.
 

Huyo meneji atakuwa punguani au aliyepofushwa akiki na rushwa ya mwarabu.

Kumbukumbu zipo za meli zilizowahi kuketa makasha zaidi ya 4,000; halafu useme kuwa eti kuna mwehu anaitwa meneja wa bandari anasema hakuna meki kubwa kuliko hiyo ya makasha 4,000 iliyowahi kutia nanga bandari ya Dar!! Kichaa mkubwa huyo. Kweki rushwa huondoa akili na aibu.
 
Ni hii ni mwanzo tu bado mambo makubwa mazuri yanakuja.
Wenye wivu na Mama lazima watahara damu mwaka huu!!!
Kazi inaendelea.
Kama muda wa kutoa mzigo bandarini haujabadirika mpaka leo bado naona DPW wanayo kazi ngumu, kuna meli zimefika toka tarehe 13/6/2024 lkn mpaka leo hazijashusha mizigo.
 
Hao ni waongo tu, kuna meli zimefika 13/6 na bado hazijashusha mizigo lkn hiyo iliyofika jana eti itakaa kwa muda wa siku 5 tu. Je kwa nini meli zilizofika tarehe 17 mbona hazijapangiwa siku ya kusha?
 
Kama ni kweli dp wameleta mabadiliko makubwa wapewe hata wizara moja nyeti hasa ya fedha na kilimo,yawezekana mambo yakawa mazuri zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…