DPP: Bado naitafakari hukumu ya Viongozi wa CHADEMA, naweza kukata rufaa


Aache upumbavu.
 
Ingefaa akakata rufaa kulalamikia adhabu waliyopewa ni ndogo sana ukilinganisha na uzito wa makosa waliyoyatenda. Pande zote mbili zinaruhusiwa kukata rufaa. Ndiyo utawala wa sheria!
 
Wasukuma wamejimilikisha nchi yetu na roho zao mbaya za kichawi. Ikulu, dpp, ag.... ni wao tu

Let facts speak for themselves.... Rais Msumbwa, DPP mkara, AG Msukuma.

Tusi fabricate kila kitu.
 

Hawa ndio wanaomharibia mh. Rais hawa🤔
 
Kuna kikundi kidogo cha watu kimeigeuza Tanzania kama mali ya familia yao na Watanzania wote zaidi ya Milioni Sitini tumewekwa kwenye kundi la omba omba. Kikundi hicho kikiamua kuchukua haki yako ya kiushi huna pa kwenda kushtaki; kikundi hicho kikiamua ukae gerezani milele kama mashehe wa uamsho utakaa.

Ila kwa sisi wacha Mungu tunaamini hakuna binadamu mwenye mamlaka kumzidi Mwenyezi Mungu.Namalizia kwa kuwanukuu wenye hekima zao kuwa "God's justice is delayed but never denied"!
 
Huyu msukuma vipi hizo pesa haziwatoshi nn au awakutegemea nguvu ya umma kuchanga thus wakazifunga account zao ili wakose pesa za kulipa fine only msukuma mwenzao mashinji wakamlipia chapuchapu ili hawa wasote.Hivi Mungu kwann mijitu yenye roho mbaya unaiacha duniani badala ya kuzimu ikamsaidie ibilisi kazi unawachukua watu wenye faida kwa jamii kama kina Mengi,Mfuruki,Ruge,lkn takataka zisizofaida inaziacha duniani?
 
Ni mantarahamwe hawa hawaitakii mema nchi yetu yamekuja kuivuruga nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…