The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Mwendazake alishaaharibu watu wakafikiri ukiwa na madaraka unaweza kuteua kama utakavyo. Yeye akifanikiwa kwa hilo sasa mama asifikiri kuwa itakuwa rahisi kwake kuifanyia mambo kama Mwendazake.
Tatizo la Mama kuna watu kibao anataka kuwatoa ila hajui namna ya kuwaondoa.
Tatizo la Mama kuna watu kibao anataka kuwatoa ila hajui namna ya kuwaondoa.