DPP Biswalo Maganga kuwa Jaji, Rais Samia umekosea sana

DPP Biswalo Maganga kuwa Jaji, Rais Samia umekosea sana

Mwendazake alishaaharibu watu wakafikiri ukiwa na madaraka unaweza kuteua kama utakavyo. Yeye akifanikiwa kwa hilo sasa mama asifikiri kuwa itakuwa rahisi kwake kuifanyia mambo kama Mwendazake.

Tatizo la Mama kuna watu kibao anataka kuwatoa ila hajui namna ya kuwaondoa.
 
Sheria zimekuwa zikikanyagwa toka mwendazake lakini ulikuwa kimya sasa mama ameshika kijiti unaleta ujuaji., Nchi yenu haihitaji majaji kufanyiwa vetting, majaji wanahukumu kesi kwa maelekezo tu., No justice at all -
Mwacheni mama wa kizanzibari naye awaongoze mlifkiri mzanzibari haitawezekana tena kuongoza Ikulu ya magogoni
 
Kaingizwa cha kike tena kama Richard Mwanafunzi wa Udom, waziri wa UDASO na Mwanasheria wa MTAKATIFU YOHANA[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mambo mengine nadhani mnamuonea tu.

Hili ni moja ya janga alilolitengeneza Magu. Na hatukusaidia chochote.

Watu wake wengi aliwatungia sheria za kuwalinda ili wavuruge atakavyo. Spika, Waziri Mkuu, DPP

Hata Rais Samia yawezekana hamtaki ila kaona hiyo ndio njia yenye afadhali.

Soma hizo sheria akizotunga Jiwe [emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1781254

View attachment 1781255
Mirembe ww kwenu hawafi huchoki kumsema marehemu
 
Teuzi zake za wasiwasi zimekuwa kielelezo cha utawala wake, kuanzia yule mkurugenzi wa TPDC aliemteua na baadae kutengua uteuzi wake within 24 hrs mpaka leo bado anayumba tu.

Sijui washauri wake huwa wanamshauri vitu gani, she is too soft hearted, hataki kutumbua yeye anakutoa hapa anakuweka pale hata kama hufai kulingana na historia yako, na ni Rais mwenyewe aliesema anamteua mtu kutokana na historia yake, sijui kwa Maganga katumia historia ipi.
Tulia wewe usi-mu-undermine mama, ata uchukie vipi yeye ndo rais wa jamhuri mwache apigiwe vishoka, hao ndio washateuliwa kama una kundi la kuweza kwenda kuzuia kuapishwa kwao go ahead.,
 
Punguza chuki binafsi mkuu,
kwa nini unamchukia binaadamu mwenzio kiasi hicho?!.
huna hoja zaidi ni chuki binafsi, fitina na roho ya choyo.
 
Hiyo ndio njia pekee ya kumtoa pale jamaa....Mama katumia fimbo ya kisiasa kumchapa kama alivyomchapa Bashiru.... unampromote kumtoa usiyempenda huko umakompeleka unakwenda kumtelekeza kimyakimya.... Mama sasa yuko huru kufanya uteuzi wa DPP....
 
Biswalo anatakiwa kuwa jela ananyea ndoo, zile hela za Kabendera zinaniuma hadi leo.

Tusubirie na Jambazi mwingine Ole Sabaya atakapopewa uRC.
 
Mwendazake alishaaharibu watu wakafikiri ukiwa na madaraka unaweza kuteua kama utakavyo. Yeye akifanikiwa kwa hilo sasa mama asifikiri kuwa itakuwa rahisi kwake kuifanyia mambo kama Mwendazake.

Tatizo la Mama kuna watu kibao anataka kuwatoa ila hajui namna ya kuwaondoa.
Awatoe aweke wakina faru John na genge lake au sio. Mwache mama afanye kazi yake.
 
Mwendazake alishaaharibu watu wakafikiri ukiwa na madaraka unaweza kuteua kama utakavyo. Yeye akifanikiwa kwa hilo sasa mama asifikiri kuwa itakuwa rahisi kwake kuifanyia mambo kama Mwendazake.

Tatizo la Mama kuna watu kibao anataka kuwatoa ila hajui namna ya kuwaondoa.

Unajua Jaji kiongozi wa sasa alikua DPP prior?

Kwani Maganga kaanza lini kuwa DPP? If anything, JPM aligoma kumpa Maganga ujaji hata baada ya jina lake kupendekezwa.
 
Nakumbuka wakati wa Magufuli aliwahi kusema Biswalo alipendekezwa kua jaji ila yeye akakataa kwani ni mtu ambae anawapeleka mafisadi jela.

Kama sasa hajapendekezwa labda mama ametumia mapendekezo ya awali. Hilo la kwanza.

La pili, kwani mapendekezo hua yanatumwa kwa nani ili tujue kama hakupendekezwa ama alipendekezwa?
Pendekezo la jana kuwa na sifa za kuwa jaji halina maana linaweza kutumika leo kuwa jaji. Kwanini? Sifa za mtu hubadilika kutokana na nafasi aliyonayo, nyakati tuliyopo na mwenendo wake.
 
Back
Top Bottom