JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Huyu SSH sasa naanza kuamini maneno ya Lissu kwamba ni "malikia mwenye kauri tamu'
Ishu ya wazee wa Dar na Benz la Mwinyi, haijaisha, Swala la Mechi ya Simba na yanga kuailishwa Ili Mwinyi auze kitabu haijaisha, amefanya utoporo mwingine.
Huyu mama naona anaturembulia macho tu, Wala hafai, huko mbele ni Giza tu.
Ishu ya wazee wa Dar na Benz la Mwinyi, haijaisha, Swala la Mechi ya Simba na yanga kuailishwa Ili Mwinyi auze kitabu haijaisha, amefanya utoporo mwingine.
Huyu mama naona anaturembulia macho tu, Wala hafai, huko mbele ni Giza tu.