The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Mirembe ww kwenu hawafi huchoki kumsema marehemuMambo mengine nadhani mnamuonea tu.
Hili ni moja ya janga alilolitengeneza Magu. Na hatukusaidia chochote.
Watu wake wengi aliwatungia sheria za kuwalinda ili wavuruge atakavyo. Spika, Waziri Mkuu, DPP
Hata Rais Samia yawezekana hamtaki ila kaona hiyo ndio njia yenye afadhali.
Soma hizo sheria akizotunga Jiwe [emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1781254
View attachment 1781255
Tulia wewe usi-mu-undermine mama, ata uchukie vipi yeye ndo rais wa jamhuri mwache apigiwe vishoka, hao ndio washateuliwa kama una kundi la kuweza kwenda kuzuia kuapishwa kwao go ahead.,Teuzi zake za wasiwasi zimekuwa kielelezo cha utawala wake, kuanzia yule mkurugenzi wa TPDC aliemteua na baadae kutengua uteuzi wake within 24 hrs mpaka leo bado anayumba tu.
Sijui washauri wake huwa wanamshauri vitu gani, she is too soft hearted, hataki kutumbua yeye anakutoa hapa anakuweka pale hata kama hufai kulingana na historia yako, na ni Rais mwenyewe aliesema anamteua mtu kutokana na historia yake, sijui kwa Maganga katumia historia ipi.
Jumong Kama jumong yani
Awatoe aweke wakina faru John na genge lake au sio. Mwache mama afanye kazi yake.Mwendazake alishaaharibu watu wakafikiri ukiwa na madaraka unaweza kuteua kama utakavyo. Yeye akifanikiwa kwa hilo sasa mama asifikiri kuwa itakuwa rahisi kwake kuifanyia mambo kama Mwendazake.
Tatizo la Mama kuna watu kibao anataka kuwatoa ila hajui namna ya kuwaondoa.
Wale watu meko aliwaweka pale kwa sababu alikuwa na matumizi nao ambayo wote tunaelewa, sasa mama mbona anachokiongea sio anachotenda... Ni bora meko afufuke tu
Mwendazake alishaaharibu watu wakafikiri ukiwa na madaraka unaweza kuteua kama utakavyo. Yeye akifanikiwa kwa hilo sasa mama asifikiri kuwa itakuwa rahisi kwake kuifanyia mambo kama Mwendazake.
Tatizo la Mama kuna watu kibao anataka kuwatoa ila hajui namna ya kuwaondoa.
Pendekezo la jana kuwa na sifa za kuwa jaji halina maana linaweza kutumika leo kuwa jaji. Kwanini? Sifa za mtu hubadilika kutokana na nafasi aliyonayo, nyakati tuliyopo na mwenendo wake.Nakumbuka wakati wa Magufuli aliwahi kusema Biswalo alipendekezwa kua jaji ila yeye akakataa kwani ni mtu ambae anawapeleka mafisadi jela.
Kama sasa hajapendekezwa labda mama ametumia mapendekezo ya awali. Hilo la kwanza.
La pili, kwani mapendekezo hua yanatumwa kwa nani ili tujue kama hakupendekezwa ama alipendekezwa?
Hawaja elewa kwamba hapakuwa na njia nyingine ya kumtoa hapo bila kumpsndisha cheoDah, mama kazungukwa na manyang'au...
Mama atatuvushašDah, mama kazungukwa na manyang'au...
Tuna imani na mama atatuvushaMama anazidi kuingia chaka