DPP, TAKUKURU na Polisi: Wasikilizeni CHADEMA. Kuna jinai kubwa imetendeka

DPP, TAKUKURU na Polisi: Wasikilizeni CHADEMA. Kuna jinai kubwa imetendeka

Mi nasubili hiyo ijumaa kikao Cha kamati kuu,kitasemaje kuhusu hili sakata,maana leo,Katibu mnyika,amekana hakuna kikao kilichobariki Hawa 19,kwenda.
Yes hakuna kikao kilichobariki majina haya kwenda yuko sahihi

Coz majina ya wanawake wao hayapo kwenye list
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Tanzania is now 100% a vurugu vurugu republic hakuna sheria tena mkuu na kama ipo inatumika kwa wanyonge tu
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Who cares?
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Wamefikia hatua ya kughushi nyaraka ili wapatikane Wabunge wa Upinzani kwa dirisha LA viti maalum kusudi wahalalishe haramu.Bunge letu linanajisiwa mchana kweupeee!
Tunataka hatua madhubuti zichukuliwe kwa wote waliohusika na Ufisadi huu.
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Nakubaliana na mtoa hoja 100%. Mambo kama haya yakiruhusia na kuendelea na kuhalalishwa ndani ya nchi, taifa hili huko tuendako litakuwa taifa lisilokuwa na miiko na maadili. Ni vizuri kuheshimu taratibu tulizojiwekea. Sheria na katiba na busara zitumike kulinda heshima ya taifa letu.
 
Mkuu chadema walikaa vikao na wakikubali majina yaendeee

Kosa la Mdee ni kupeleka majina tofauti na ya wakuu zake ambao Walitaka wawepo

Hiyo ndio shida
images.jpeg
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Huu ni uhuni organized na papaa pedeshee
 
Watawala wetu sasa hawaoni aibu tena kuvunja Katiba na kufuata sheria zinazoiongoza nchi.

Ndio maana nikisoma mahojiano aliyofanyiwa Matiko na moja ya chombo cha habari nae anaonesha alibebwa tu toka pasipojulikana akaenda kuapishwa Dodoma.

Japo Chadema kama chama kikuu walitakiwa wawe na intelijensia ya kun'gamua hilo mapema, hizi tetesi zilishakuwepo muda.

Pamoja na yote hayo, chama kinatakiwa kuwachukulia hatua kali wahusika wote wa huo mchezo wakithibitika kukiuka makubaliano, wakianza na viongozi wao Mdee na Bulaya, kwasababu hilo lipo ndani ya uwezo wao.

Baada ya hapo ndio waripoti hiyo jinai polisi, tuone kama Sirro anaweza kujitutumua kufanya chochote, kwasababu inaonekana hao wasaliti hata ulinzi wa serikali wamepewa.
Nashauri chama kiwavue uongozi wote na Bawacha nafasi napendekeza akaimu mama Suzana Kiwanga au Catherine Ruge
 
Mnyika ametoa ufafanuzi mzuri sana.

Hapo kwenye form no. 8(d) inayotakiwa kuwasilishwa bungeni ikiwa na jina la mhusika na Mnyika amesema bado anazo form zote, hii pekee inaonesha nchi inavyoendeshwa kiajabu siku hizi.

Taasisi zote hazifuati sheria tena, wanafanya mambo ya ajabu.
Mnyika anazo fomu alizopewa na NEC na kulingana na katiba ya chama chao hakuna kikao kilichofanyika kupendekeza majina ya wabunge wa viti maalum. Ndiyo kusema kulikuwa na njama ya kukwepa vikao rasmi. Hao wabunge wanaweza baadaye kuja kuwa mashahidi wa kesi ya matumizi mabaya ya ofisi na kuvinja katiba.
 
Mnyika anazo fomu alizopewa na NEC na kulingana na katiba ya chama chao hakuna kikao kilichofanyika kupendekeza majina ya wabunge wa viti maalum. Ndiyo kusema kulikuwa na njama ya kukwepa vikao rasmi. Hao wabunge wanaweza baadaye kuja kuwa mashahidi wa kesi ya matumizi mabaya ya ofisi na kuvinja katiba.
Walikaa vikao 3, na majina yaliteuliwa ingawa sio majina hayo yaliopelekwa hapo ndio shida ilipo
 
Bila kukwepesha ukweli hapa naona kuna 'usanii' viongozi wa CHADEMA wamefanya au lugha nyepesi kuna mtu 'kazungukwaa', haiingii akili kusema eti hao wamama wote19 kununuliwa na ma - CCM, kuna mchezo viongozi wa CHADEMA wanatuchezea na kutu hadaa wapiga kura, ila ni suala la muda tuu kujua ukweli.
Mbowe kachukua bilion 3 toka CCM yupo home anawachora watu huku akibuni mbinu za kuwahadaa watanzania lakini kachelewa
 
Wewe acha uongo, mlalamikaji ndiye anayetakiwa apeleke lalamiko hilo kwenye hivyo vyombo vya uchunguzi sio kuwasemea.

Wabunge wale wametamka wana baraka zote za Chadema na Mwenyekiti wa chama.

Chukueni hatua kwa Mh.Freeman Aikael Mbowe kama mnazo guts hizo
Mbowe ni wa kufukuzwa sasa hafai tena
 
hakuna chochote unachoweza kusema kitamake sense kwenye hio siituation, in short chama kimekufa na hakuna atakaeanza kufuatilia skendo ya kipuuzi kama hii, unatoa wap mamlaka ya kuita polisi wakati walioapishwa ni watu wana akili zao
 
A
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Wapuuzi hao, Chadema ni Saccoss au Chama.
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Mkuu umeanza lini kuwa amini polisi sijui DPP au umechanganyikiwa
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Acha unafiki,fanya kazi za maendeleo yako ufukuze umasikini wako maana ninyi mnaolalamika kila siku hapa kuhusu siasa ni masikini mnawaya waya..tunapaswa kufanya kazi za kiuchumi na ya watu yaache,na kama wewe ni mwanaume uliye andika hapa pole sana.
Unaowaita wapinzani nchi hii wote ni njaa tu wanacho taka ni mamlaka ili waishi,ndo mana unaonaga hawaeleweki,walichosema awali kimepata Rais mchapa kazi anavifanyia kazi kwa weredi lakini bado wanalalamika tu,huoni kwamba hao ni wasanii na wakiongea maneno mengi kwenye media ndo mtaji wao kwa wapiga kura,this time wamepigwa chini then wanaume wamebaki wakiwaonea wivu wanawake kwenda kupata mishahara.
 
Back
Top Bottom