DPP, TAKUKURU na Polisi: Wasikilizeni CHADEMA. Kuna jinai kubwa imetendeka

DPP, TAKUKURU na Polisi: Wasikilizeni CHADEMA. Kuna jinai kubwa imetendeka

Ni jinai kwelikweli, lakini kwakuwa imefanywa na malaika wa Mungu, sina hakika hata CHADEMA wakienda mahakamani kama watabadili kitu! Nikikumbuka kilichofanyika kwa wale wabunge 8 wa CUF na wale wabunge 10 wa CHADEMA, I have lost my Credibility upon these organs!

Kabisa, kama Nduga aliweza kumuita Cecil Mwambe ambaye alijiuzulu ubunge kwa tiketi ya cdm kisha kujinga na ccm, halafu baada ya muda akarudishwa bungeni kwa tiketi ya cdm, hapo utasema kuna sheria zozote zinafuatwa. Sasa hivi rais ndio kipo cha utekelezaji wa sheria ndani ya nchi hii. Kwa sasa rais ndio amegeuka katiba na sheria. Unaweza kufanya chochote na kuvunja sheria yoyote, ili mradi iwe inamfurahisha rais. Na watanzania haya tunayaona kwa macho yetu.
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Hahahaaaa....hili hakuna wa kuligusa
 
Walikaa katika baraza lao kuu?!!!
Ugomvi hapo ni kuwa Mdee amekataa majina ya watu wa Lisu Mbowe, Mnyika, na Mwalimu, na hoja yake ni kuwa Hao watu hawajajenga chama kabisa

Walikaa vikao 3 na vyote wakikubali majina yapelekwe, so hapo ugomvi sio majina kupelekwa ila ni Nani wameenda ndio shida
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Hakuna usimamizi wa sheria nchini. Usimamizi pekee ni pale wa wadogo wanapotaka kuhatarisha maslahi ya wakubwa.
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Kilichotendeka,ni state sponsored crime,ujambazi unaofanywa na mfumo,(ccm,serikali,na vyombo vyote vya usalama,hakuna wa kuingilia,watajifanya hawaoni.
Nilipomsikia siku moja,Yule boss wa Takukuru,Tena mjeshi,anasema Swala la watoa Rushwa ambao ni wanachama wa ccm,anakiachia chama Cha ccm,kichukue hatua,ndio nilipojua Hawa watu ni bure kabisa vichwani.
 
Kilichotendeka,ni state sponsored crime,ujambazi unaofanywa na mfumo,(ccm,serikali,na vyombo vyote vya usalama,hakuna wa kuingilia,watajifanya hawaoni.
Nilipomsikia siku moja,Yule boss wa Takukuru,Tena mjeshi,anasema Swala la watoa Rushwa ambao ni wanachama wa ccm,anakiachia chama Cha ccm,kichukue hatua,ndio nilipojua Hawa watu ni bure kabisa vichwani.
Mkuu chadema walikaa vikao na wakikubali majina yaendeee

Kosa la Mdee ni kupeleka majina tofauti na ya wakuu zake ambao Walitaka wawepo

Hiyo ndio shida
 
Ugomvi hapo ni kuwa Mdee amekataa majina ya watu wa Lisu Mbowe, Mnyika, na Mwalimu, na hoja yake ni kuwa Hao watu hawajajenga chama kabisa

Walikaa vikao 3 na vyote wakikubali majina yapelekwe, so hapo ugomvi sio majina kupelekwa ila ni Nani wameenda ndio shida
Alaa kumbeeee....

Ndio mana toka jana nimeushikilia msimamo wa mh.Mdee kuwa MWENYEKITI anajua uwepo wao pale BUNGENI....

Hakitokuwa geni kwa "hao ndugu" kuwapanga WABUNGE WAWATAKAO WAO...sasa mh.Mdee kawa NGANGARI🤣

Mbowe banaaaa...Mzee wa KUBADILI GIA ANGANI!!!
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Sawa kabisa. Kuna kesi ya jinai hapa.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA ametoa maelezo yaliyonyooka na bayana kabisa. Mimi pia nitashangaa ikiwa ofisi hizi za DPP , TAKUKURU, Polisi n.k kukaa kimya bila kuchukua hatua kuchunguza mchakato huu wenye kuonesha kuna kitu hakipo sahihi kabisa. Ajabu Mwanasheria Mkuu wa Serikali alibariki uapishwaji wa wabunge wa viti maalum jana 24 November 2020.

Hakuna taasisi yoyote inaweza kuchukua hatua kwa jambo lolote linaloibeba ccm na mwenyekiti wao. Uchaguzi wa juzi umenajisiwa waziwazi na waliosimamia uchafu huo ni taasisi za kimamlaka za nchi hii.
 
Mkuu chadema walikaa vikao na wakikubali majina yaendeee

Kosa la Mdee ni kupeleka majina tofauti na ya wakuu zake ambao Walitaka wawepo

Hiyo ndio shida
Mi nasubili hiyo ijumaa kikao Cha kamati kuu,kitasemaje kuhusu hili sakata,maana leo,Katibu mnyika,amekana hakuna kikao kilichobariki Hawa 19,kwenda.
 
Watawala wetu sasa hawaoni aibu tena kuvunja Katiba na kufuata sheria zinazoiongoza nchi.

Ndio maana nikisoma mahojiano aliyofanyiwa Matiko na moja ya chombo cha habari nae anaonesha alibebwa tu toka pasipojulikana akaenda kuapishwa Dodoma.

Japo Chadema kama chama kikuu walitakiwa wawe na intelijensia ya kun'gamua hilo mapema, hizi tetesi zilishakuwepo muda.

Pamoja na yote hayo, chama kinatakiwa kuwachukulia hatua kali wahusika wote wa huo mchezo wakithibitika kukiuka makubaliano, wakianza na viongozi wao Mdee na Bulaya, kwasababu hilo lipo ndani ya uwezo wao.

Baada ya hapo ndio waripoti hiyo jinai polisi, tuone kama Sirro anaweza kujitutumua kufanya chochote, kwasababu inaonekana hao wasaliti hata ulinzi wa serikali wamepewa.
Kuwafukuza, kwenda mahakamani, will just be a formality. Hili swala halihitaji uchunguzi, ni dhahiri limefanywa na serikali. Itakuwa ni kupeleka shitaka la ngedere mla mahindi kwa hakimu nyani.
 
Ugomvi hapo ni kuwa Mdee amekataa majina ya watu wa Lisu Mbowe, Mnyika, na Mwalimu, na hoja yake ni kuwa Hao watu hawajajenga chama kabisa

Walikaa vikao 3 na vyote wakikubali majina yapelekwe, so hapo ugomvi sio majina kupelekwa ila ni Nani wameenda ndio shida

Hapo ndio unaona umetupoteza maboya na wala hatujui mleta mada anamaanisha nini.
 
Unamuita mwenzio muongo wakati wewe unaiamini kauli uliyoisikia toka kwa Mdee simply because aliitolea bungeni, kwani bungeni hawawezi kudanganya?

Sasa wameitwa na chama, Ijumaa tarehe 27 wakatoe utetezi wao, mbivu na mbichi zitajulikana hapo, na ikithibitika vinginevyo ni kufukuzwa.
Hata wakifukuzwana CDM, amini nakuambia, bungeni hawatoki.
 
Mkuu chadema walikaa vikao na wakikubali majina yaendeee

Kosa la Mdee ni kupeleka majina tofauti na ya wakuu zake ambao Walitaka wawepo

Hiyo ndio shida

Uza ubongo huo unakaa nao kwa hasara.
 
Kuwafukuza, kwenda mahakamani, will just be a formality. Hili swala halihitaji uchunguzi, ni dhahiri limefanywa na serikali. Itakuwa ni kupeleka shitaka la ngedere mla mahindi kwa hakimu nyani.

Exactly, hata ule uchaguzi umeharibiwa na serikali, na aliyeagiza hilo anafahamika vizuri sana. Tatizo lote hili linaletwa na katiba yenye mapungufu ya dhahiri.
 
Umeandika vizuri ila kwa speed ya ajabu.

Twende kwenye uhalisia wa mfumo wetu huu huu mbovu, kuna wafungwa wa kisiasa watano na juzi wametolewa mmojawapo amekula kiapo jana, tuhoji hapo kwenye kuwatoa na haraka kapelekwa kula kiapo, kuna nini kimejificha, je jinai haikuanzia hapo?

Kuna msemo unasema "Mfumo ukiharibika hata waliomo wameharibika" serikali inajinasibu kufanya uchaguzi mzuri toka kuwepo kwa taifa la Tanganyika kama si Tanzania, ila wale wanaotakiwa kuwepo siyo waliopo ila wanalazimisha kuwekwa wasiokuwepo kwenye ubunge.

Hakuna msimamizi wa sheria za nchi atakayekuwa tayari kusikiliza kilio cha mwananchi huko nje 'eti' katiba na sheria imevunjwa na muhimili wakati kila mtu ana hofu na nafasi yake.
Tanzania govt takes away rights to file cases against it at African Court

Sasa rasmi mtanzania marufuku kutafuta Haki kisheria. Labda ukatafute Msituni. Wameanza kuitafuta haki yao Mtwara wameingia Lindi. DSM sio mbali. Kabudi na Jiwe lake waendelee kuziba watu vinywa vyao kibabe.
 
Uza ubongo huo unakaa nao kwa hasara.
Ww nimekuzoea hata juzi wakati nakwambia ulisema haiwezekani si umeona Sasa?

Na hata wakivuliwa uanachama watakuwa wabunge wa mahakamani so chadema haitopata faida yoyote zaid ya kuzidi kufa kabisa
 
Back
Top Bottom