DPP, TAKUKURU na Polisi: Wasikilizeni CHADEMA. Kuna jinai kubwa imetendeka

DPP, TAKUKURU na Polisi: Wasikilizeni CHADEMA. Kuna jinai kubwa imetendeka

Watawala wetu sasa hawaoni aibu tena kuvunja Katiba na kufuata sheria zinazoiongoza nchi.

Ndio maana nikisoma mahojiano aliyofanyiwa Matiko na moja ya chombo cha habari nae anaonesha alibebwa tu toka pasipojulikana akaenda kuapishwa Dodoma.

Japo Chadema kama chama kikuu walitakiwa wawe na intelijensia ya kun'gamua hilo mapema, hizi tetesi zilishakuwepo muda.

Pamoja na yote hayo, chama kinatakiwa kuwachukulia hatua kali wahusika wote wa huo mchezo wakithibitika kukiuka makubaliano, wakianza na viongozi wao Mdee na Bulaya, kwasababu hilo lipo ndani ya uwezo wao.

Baada ya hapo ndio waripoti hiyo jinai polisi, tuone kama Sirro anaweza kujitutumua kufanya chochote, kwasababu inaonekana hao wasaliti hata ulinzi wa serikali wamepewa.
Wafukuzwe tu hakuna namna
 
Mnyika aache porojo hapo kasema ana fomu anazo original au photocopy? Hajasema

Wameapa hadharani waziwazi kama wamekiuka so chama kiwachukulie hatua

Hakuwa hata na haja ya kuitisha Press conference anatafuta pa kujisafishia mnafiki mkubwa

Ohhh fomu ninazo sasa kama unazo chukua hatua basi
Chadema wasanii wanachoogopa kuchukua hatua nini?

Wanataka kusukumia zigo sijui NEC sijui bunge utapeli mtupu

Kama wamekiuka toeni Tamko la kuwafukuza chama mbona midomo inakwepa kutamka

Mnyika msanii
Wacha kutetemeka, wameshaitwa kujitetea, then after ndio maamuzi yatafanyika ya kuwachukulia hatua.
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hawatathubutu !!. Vyombo vyetu kama ni mtoto wa kambo havihusiki
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kama hawakuteuliwa na chadema kwanini wameenda bungeni? Taarifa kawapa Nani na Kama wao hawaafiki huo uteuzi wangekaa majumbani kwao waendelee na kazi zao za kila siku. Matiko kasema wameteuliwa na mamlaka husika na Kama Kuna lisiloeleweka majibu yatatolewa na msemaji wa chama, Sasa wewe hujaelewa Nini?
 
Alifukuzwa Silinde na Lijualikali kwenye chama ila nini kilitokea?
Hapa hata wakifukuzwa uanachama Ndugai akili zake anazijua mwenyewe
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Umeandika vizuri ila kwa speed ya ajabu.

Twende kwenye uharisia wa mfumo wetu huu huu mbovu, kuna wafungwa wa kisiasa watano na juzi wametolewa mmojawapo amekula kiapo jana, tuhoji hapo kwenye kuwatoa na haraka kapelekwa kula kiapo, kuna nini kimejificha, je jinai haikuanzia hapo?

Kuna msemo unasema "Mfumo ukiharibika hata waliomo wameharibika" serikali inajinasibu kufanya uchaguzi mzuri toka kuwepo kwa taifa la Tanganyika kama si Tanzania, ila wale wanaotakiwa kuwepo siyo waliopo ila wanalazimisha kuwekwa wasiokuwepo kwenye ubunge.

Hakuna msimamizi wa sheria za nchi atakayekuwa tayari kusikiliza kilio cha mwananchi huko nje 'eti' katiba na sheria imevunjwa na muhimili wakati kila mtu ana hofu na nafasi yake.
Siyo uharisia, ni uhalisia. Huyo mfungwa wa kisiasa aliyetolewa Gerezani alikuwa keshahukumiwa au kesi ilikuwa bado Mahakamani?
 
Ni jinai kwelikweli, lakini kwakuwa imefanywa na malaika wa Mungu, sina hakika hata CHADEMA wakienda mahakamani kama watabadili kitu! Nikikumbuka kilichofanyika kwa wale wabunge 8 wa CUF na wale wabunge 10 wa CHADEMA, I have lost my Credibility upon these organs!
 
Labda mimi ndo sielewi siasi, hao kina mdee walipewa taarifa na nani kwamba wameteuliwa na wanatakiwa kwenye kuapishwa bungeni?
Fuatilia haya mahojiano ya Matiko uone anavyojikanyaga

MWANDISHI: Mmepata baraka za Chama?

MATIKO: Nadhani wote tunajua taratibu za viti maalum mpaka kuweza kufika wabunge kuteuliwa, kuna utaratibu ambao unaendelea ndani ya chama kupitia wings mbalimbali na baadae chama kinabariki na majina yanaenda kwenye tume ya Taifa ya uchaguzi, binafsi nilitaarifiwa nimeteuliwa ndio maana nimefika hapa kuja kuapa.

MWANDISHI: Ulitaarifiwa na katibu?

MATIKO: Na mamlaka husika

MWANDISHI: Lakini katibu wa chama anasema hana taarifa na hilo na watachukua hatua kali dhidi yenu, hili unalizungumziaje?

MATIKO: Sijui zaidi ya hapo, kwa uchache wetu ambao tumekuja hapa, nipende tu kuwaambia watanzania, wategemee makubwa kwetu pamoja na kwamba tuko 19. Tunajua yote yaliyojiri kwenye uchaguzi mkuu ulioisha hadi tukapata hiki kidogo katika ushindi wetu mkubwa tuliokuwa nao.

MWANDISHI: Endapo chama kikiwafuta uanachama, mmejiandaa kuchukua hatua?

MATIKO: Tupo hapa kwa sababu ya chama kwa hiyo kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari.

MWANDISHI: Awali msimamo wa chama chenu ilionekana haukubaliani kuweza nyie kushiriki hapa

MATIKO: Nadhani leo jukumu kubwa ni kuapa na tumetimiza hilo, yanayojiri mengine yote yanawezwa kuzungumzwa kwa wakati muafaka. Katika neno letu la shukrani tumesema dhahiri kabisa tunakishkuru chama cha demokrasia na maendeleo kututeua sisi watu 19 kukiwakilisha katika bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuweza kuwasemea watanzania na chama chetu sasa mengine kama yalijiri yakaenda yakarudi, yatazungumzwa kwa wakati muafaka. Asante.

MWANDISHI: Ndio kusema mmesalimu amri

MATIKO: Sio msemaji wa chama, mimi ni mbunge mteule, ASANTENI SANA.
 
Umeandika vizuri ila kwa speed ya ajabu.

Twende kwenye uharisia wa mfumo wetu huu huu mbovu, kuna wafungwa wa kisiasa watano na juzi wametolewa mmojawapo amekula kiapo jana, tuhoji hapo kwenye kuwatoa na haraka kapelekwa kula kiapo, kuna nini kimejificha, je jinai haikuanzia hapo?

Kuna msemo unasema "Mfumo ukiharibika hata waliomo wameharibika" serikali inajinasibu kufanya uchaguzi mzuri toka kuwepo kwa taifa la Tanganyika kama si Tanzania, ila wale wanaotakiwa kuwepo siyo waliopo ila wanalazimisha kuwekwa wasiokuwepo kwenye ubunge.

Hakuna msimamizi wa sheria za nchi atakayekuwa tayari kusikiliza kilio cha mwananchi huko nje 'eti' katiba na sheria imevunjwa na muhimili wakati kila mtu ana hofu na nafasi yake.
Nusrat
 
Kuna jinai kubwa imetendeka.

Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.

Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.

Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!

Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Umeandika mambo ya msingi sana, ila kwa Magufuli katiba ni sawa na gazeti la udaku. Na taasisi zote zinatii atakacho hata kama hawaafiki. Hayo ndio madhara ya katiba hii mbovu.
 
Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!
Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa.
Hamuutambui uchaguzi, na Magufuli ameshamaliza muhula wake. Ndiyo kusema Tanzania haina serikali (2020- 2025)
Sasa katiba imevunjwa, sheria zimevinjwa, hapo mnamtaka nani asimamie enyi uzao wa watu wasiojitambua?
DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania
Hizo zote ni taasisi za kiserikali, hapo nadhani unaongelea za serikali yenu ya Ubeligiji...
 
Bila kukwepesha ukweli hapa naona kuna 'usanii' viongozi wa CHADEMA wamefanya au lugha nyepesi kuna mtu 'kazungukwaa', haiingii akili kusema eti hao wamama wote19 kununuliwa na ma - CCM, kuna mchezo viongozi wa CHADEMA wanatuchezea na kutu hadaa wapiga kura, ila ni suala la muda tuu kujua ukweli.
Usanii gani ?

Kazungukwa na nani ?
 
Ni jinai kwelikweli, lakini kwakuwa imefanywa na malaika wa Mungu, sina hakika hata CHADEMA wakienda mahakamani kama watabadili kitu! Nikikumbuka kilichofanyika kwa wale wabunge 8 wa CUF na wale wabunge 10 wa CHADEMA, I have lost my Credibility upon these organs!
Na hii ni episode II ya kile walichofanyiwa CUF.
 
Wanaendaje Dodoma bila kutusainia fomu za makato ya wabunge kuimarisha Chama 😀😀
 
MATIKO: Nadhani leo jukumu kubwa ni kuapa na tumetimiza hilo, yanayojiri mengine yote yanawezwa kuzungumzwa kwa wakati muafaka. Katika neno letu la shukrani tumesema dhahiri kabisa tunakishkuru chama cha demokrasia na maendeleo kututeua sisi watu 19 kukiwakilisha katika bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuweza kuwasemea watanzania na chama chetu sasa mengine kama yalijiri yakaenda yakarudi, yatazungumzwa kwa wakati muafaka. Asante.
kupitia sentensi hiyo it means chama ndo kiliwachagua, ila kwa alivyomalizia inaonyesha kulikuwa na vuta nikuvute, na kwa hilo tatizo si bunge, wala ccm tatizo liko kwao wenyewe, waache kutafuta mchawi nani
 
Ahahahah nacheka lakini naogopa. Tatizo hiki tunachokifikiria sisi ata hao wahusika wa hii move walishakifikiria na walishajua jinsi ya kukabiliana nacho.

Kuna wana-nchi na wenye nchi ambao ndio wana mamlaka ya kuamua kesho yetu iweje, kama upo upande wa wananchi jaribu kuhamia upande wa wenye nchi angalau na ww ule mema ya nchi. Mshaambiwa "nitawalinda" bado mnataka wafukuzwe? Leo hii tumesahau ya Lijualikali, Silinde na Mwambe? Watoto wa mjini wanasema imeisha hiyo.

Sisi tujilie ugali wetu tu.
 
Behaviorist you are now crossing the red-line for posting this figurative cartoon which represents bashing, trolling and provocative, you may eventually pay the price for entertaining these kind of unacceptable ridicule. Your ID is on eavedrop track to account the assault
Muache bhana, Kwanini mnapenda kuwaintimidate watu?! Nyie mkimpost Mbowe kwa mikashfa kibao ya kutunga haiwagi provocation?!
 
Back
Top Bottom