Kama mtu kashaondolewa CCM na hana chama anachokiona kinamfaa na hana resources za kuanzisha chama chake, na anataka kuwania urais, aruhusiwe kugombea kama mgombea binafsi.Sijamlazimisha aende chama kingine.
Hiyo ni option tu aliyonayo.
Pia, ana option ya kubaki bila chama, kama nilivyo mimi.
Option zilizopo ni kadhaa. Siyo lazima awe CCM.
Na kama anaona ni lazima awe CCM, basi ni akubaliane na taratibu, tamaduni za chama, na kadhalika.
Kulazimisha awepo tu CCM kana kwamba hakuna kwingineko anakoweza kwenda ni wehu.
That question should have been asked over 30 years ago.Which overrides the other, Katiba ya CCM or utamaduni wa kuachiana?
Membe hana nguvu hizo. Kazi aliyoifanya ndio anataka aitumie kumbeba
Leo membe amekuwa mtu wa kuvuruga chama? Nyani ngabu siku hizi umekuwa si mtu wa hoja unataka kufurahisha na kuuzi kila upande ili uonekane upo neutral. Kwa hii reply yako siamini kama ndo wewe uliyepandisha Uzi unahoji " hivi maamuzi ya kufukuzwa membe yanatofauti na kufukuzwa kwa zitto na mkumbo kule chadema? Contents za ule Uzi na hii reply nabaki nacheka tu kuna watu ni zaidi ya wanafiki.Okay, wameshamtimua sasa. Wewe na yeye mtafanya nini zaidi ya kunung’unika mitandaoni?
Hamjakatazwa na mtu kugombea huo urais.
Nendeni kwingine mkagombee au anzisheni chama chenu halafu mgombee.
Msing’ang’anie ambako hamtakiwi.
Ila, lengo lenu sidhani kama ni kugombea urais.
Lengo lenu ni kuleta vurugu tu ndani ya chama.
Kama mtu kashaondolewa CCM na hana chama anachokiona kinamfaa na hana resources za kuanzisha chama chake, na anataka kuwania urais, aruhusiwe kugombea kama mgombea binafsi.
That is fair and square.
Kumkatalia hilo ni kumnyima haki zake za kikatiba.
Kesi ya Mtikila ndiyo ilitoa utofauti uliopo kisheria kati ya Independent Candidate na Private Candidate. Mtikila alipeleka madai kama Private Candidate lakini Amicus Curiae akaishauri mahakama kwamba neno sahihi kisheria ni Independent Candidate.Semantics.
Private Candidate na Independent Candidate tofauti yake nini?
Mimi naona zinatumika interchangeably.
Soma "Court of Appeal and Independence of The Judiciary" pp 89.
Kesi ya Mtikila imetajwa kuhusiana na Private Candidate.
Law and Justice in Tanzania
Leo membe amekuwa mtu wa kuvuruga chama? Nyani ngabu siku hizi umekuwa si mtu wa hoja unataka kufurahisha na kuuzi kila upande ili uonekane upo neutral. Kwa hii reply yako siamini kama ndo wewe uliyepandisha Uzi unahoji " hivi maamuzi ya kufukuzwa membe yanatofauti na kufukuzwa kwa zitto na mkumbo kule chadema? Contents za ule Uzi na hii reply nabaki nacheka tu kuna watu ni zaidi ya wanafiki.
You wait until the time is ripe to ask! and this is today!That question should have been asked over 30 years ago.
atarudije na ameshafukuzwa? akiomba samahani, ndiyo ameisha kabisa kama hao wengine eti wamemsamehe, mara miezi 18!Tulijua tu. Ni mochezo ya usalama kutuhadaa wananchi. Wanataka kuua vyama kisha kumweka Membe kama kanyaboya la kudanganyia kuwa kuna upinzani.
Kwanini wasimwambie Tundu Lissu wakutane naye uwanjani?
Kwanini viongozi wa ngazi za kijiji, mitaa, vitongoji hawakukutana uwanjani?
Membe rudi zako CCM mkapambane huko huko.
Kweli nakuunga mkono 100%. M/kiti amruhusu afanye ,mkutano hata wa kueleza lilicho mpaka tuone atapata watu wangapi
Membe is questionable on so many levels.Msimamo wangu kuhusu mgombea binafsi haujabadilika.
Ninataka rukhsa hiyo [ya wagombea binafsi] iwepo. Ni msimamo ambao nimekuwa nao toka enzi za Mtikila.
Na hii inaweza kuwa ni fursa nzuri sana kwa Membe kufungua kesi ya kikatiba mahakamani kudai haki ya uwepo wa wagombea binafsi. Regardless of the odds.
Akifanya hivyo nitamuunga mkono kwa nguvu zangu zote.
Pia, at least akifanya hivyo, atakuwa anasimamia cause ya msingi ya kidemokrasia.
Sasa hivi zaidi ya opposition yake kwa Magufuli, sijui hata anachokisimamia.
But question is, does he even believe in independent candidates?
Or he believes it now after getting drummed out of CCM?
Nimekuuliza tofauti ya Independent Candidate na Private Candidate, hujanijibu.Kesi ya Mtikila ndiyo ilitoa utofauti uliopo kisheria kati ya Independent Candidate na Private Candidate. Mtikila alipeleka madai kama Private Candidate lakini Amicus Curiae akaishauri mahakama kwamba neno sahihi kisheria ni Independent Candidate.
That's where the problem lies...NO consistence.You wait until the time is ripe to ask! and this is today!
The word consistence does not exist in the dictionary of Africans!That's where the problem lies...NO consistence.
How do you blame the other guy then?!...The so called the founders of the CCM had opportunity times and times again to change the situation but they didn't,cause it was viable to them.. Now let them taste their own medicine..The word consistence does not exist in the dictionary of Africans!