DR Congo imewanyonga Majambazi 102, Tanzania tunacheka na Panya Road, Wadudu na Magenge Mengine ya Wahalifu

Si bora huko, huku unatekwa na kumalizwa na kutupwa.., hawana muda wa kupoteza mahakamani
 
Wazungu watetea haki za Binadamu bado hawajatia neno huko?
Au mpaka iwe North Korea,Iran au Russia imenyonga watu ndio watokwe povu?
 
Nyie si watukutu, hamsikiii nyie jeuri kiburi...basi dawa yenu ni kuwaondoa duniani...ndiyo maamuzi hayo

Ova
 
wamewanyonga au wamewapiga risasi?? mbona sielewi???
 
Katika kitu nakipenda duniani ni kuona binadamu muuaji akifa huku anajiona huyu mwamba mutamba ambae ni waziri wa sheria kutoka congo anafaa kuwa raisi kabisa sababu kafanya kazi nzuri sana napenda sana kuona binadamu anaeibia na kuua wenzake akifa kwa kuuwawa huwa siku hiyo napiga sana bia halafu kinachoshangaza Hawa wahuni wengine ni wanyarwanda aisee congo ilichezewa sana Hawa vijana video zao wakifanya uhalifu sio za kuangalia mara mbili mbili anaewatetea atakua Hana akili timamu dawa ya watu kama Hawa Shaba na kunyonga
 
Duuh we noma!
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…