DR Congo imewanyonga Majambazi 102, Tanzania tunacheka na Panya Road, Wadudu na Magenge Mengine ya Wahalifu

uku kwetu panyalodi tunawachekea tu
 
Tunazungumzia wanaoua watu na kupora Mali,hao wengine Wana adhabu zao
Kwahio wala Rushwa, Rasilimali za Nchi huko sio Kupora Mali ? Au unadhani kufuja kodi za Mwananchi hivyo wengi kukosa Basic needs na kufa kwa kukosa Huduma huko sio Kuua ? Kwa taarifa yako wengine hao vibaka wameingia huko baada ya kukosa alternative inayoeleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…