Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama maghufuli hatajitumbuwa kwa nyumba za serikali MV Dar es salaam na meli ya samaki nitamuona ni mnafiki sana msumeno ukate kote sio kuchagua na kama Mkapa na KIkwete sitawaona basi ajenge nchi kwa kutuletea miradi sitahiki sio sifa
Kumtenganisha Muhongo, chenge na escrow itakuwa ni uonevu kwa watakao tumbuliwahayo ndo majipu alisema kuyatumbua inabidi utumie akiri ya ziada.Subiri evidence nyingi ambazo zitapelekea hiyo kitu kutokea
Jipu lake lilikuwa kubwa, ilihitaji hekima kulitumbua, amepata bahati ya kupigwa ganzi (ubalozi) ndio anatumbuliwa sasa.Huyo si alishapewa ubalozi? Bado hajapangiwa kituo na kuondoka?
Kweeeeeeeeeeli siamini hiki ninachokiona kwa dau! Hivi ukiwa mwizi kwanini ujifanye mfia Dini????? Haya tuoneshe aya sasa inayokuruhusu kukwapua hela za watz kama ulivyohodari wa kuquote!!!! Katika hili unaweza sema majambazi wana nafuuuu! Hivi pesa zote hizo zingeokoa maisha ya watz wangapi mahospitalini! Shaaaame on you! Nchi yetu inatia huruma jmn! Daaaa! Na bahati mbaya wadanganyika tumeumbiwa kuchukulia issue poa tu! Nimekasirika sana!
Kama wanatumbuliwa ni mapapa tutamwona mkapa na chenge kotiniNasubir wapinzan waje waendelee kusema kwamba mafisad yanayotumbuliwa ni vipele...nasubir na Dr dau aitwe kipele/kidagaa tu kwenye ufisadi
Meli ya 1979 kwa 7.9bn halafu unakaa kimya .....lazma nae atumbuliwe tu mda ukifika
Na asipopelekwa hao ndugu wa imani watakuja chini sana, au??jamaa akipelekwa mahakamani ,ndugu zetu katika imani watakuja juu sana eti kuna mfumo kristu
Mkuu rekebisha "tittle to include Ambassador"Hatimaye DK. Ramadhan Dau, aliyekuwa mkurugenzi wa Shirila la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), anatarajiwa kufikishwa mahakamani wakati wowote kutoka sasa.
Dk. Dau anatuhumiwa kuingiza NSSF hasara ya mabilioni ya shilingi, kutokana mikataba ya kinyonyaji. Amekuwa katika shirika hilo kwa miaka 15.
Taarifa kutoka serikalini na taasisi nyingine zinazoshughulikia uchunguzi zinasema, Dk. Dau ambaye aliong’olewa NSSF 15 Februari mwaka huu, atafikishwa kwa mahakamani, kujibu tuhuma za ufisadi zilizoibuliwa ndani ya shirika hilo.
Tuhuma nyingine ni matumizi mabaya ya madaraka, uzembe na ukiukwaji wa taratibu katika miradi ya uwekezaji na vitega uchumi mbalimbali ndani na nje ya nchi.
Miongoni mwa miradi hiyo, ni ujenzi wa daraja la Kigamboni; hoteli ya kitalii jijini Mwanza, mradi wa ujenzi wa majengo katika mji mpya wa Kigamboni, uwekezaji kwenye jengo la biashara la Mzizima na mgodi wa mkaa wa mawe wa Kiwira, mkoani Mbeya.
Stay tuned, kesho Alhamis gazeti la MSETO linaanika kila kitu
Source: Mwanahalisi
Ha ha ha, hakuna hio option mkuu, ni mpaka Mods wenyewe wafanye.Mkuu rekebisha "tittle to include Ambassador"
Preemptive strategy iliyotumika ndani ya siku hizi mbili tatu hakuna mtu atakaye kuja juu.jamaa akipelekwa mahakamani ,ndugu zetu katika imani watakuja juu sana eti kuna mfumo kristu