Elections 2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!

Hoja zako ni too general. Ndo maana Dr Slaa akakuambia Shut Up Yeriko. Mpaka ukapigwa ban ya wiki. Sasa umeanza kuandika mambo ambayo hayana uhalisia

Uko sawa mkuu. Hajuwi tu hata kujieleza akaeleweka.akajipange arudi upya
 
halafu eti magufuli ni mhandisi wa majengo na barabara! si kasoma hesabu na kemia yule!! hili jamaa ongofu kweli...! napendekeza yericko apelekwe somalia akaishi uhamishoni maana ni mchochezi.
 
"Daktari huyu ni nguli wa uhandisi wa majengo na barabara"....nimeishia hapo na sitaki kuendelea kusoma post yako...!
 
Hoja zako ni too general. Ndo maana Dr Slaa akakuambia Shut Up Yeriko. Mpaka ukapigwa ban ya wiki. Sasa umeanza kuandika mambo ambayo hayana uhalisia

Kwa kifupi tunataka majina ya watu walioingiziwa pesa za escrow kataika akaunti zao za stanbic
 
Yeriko CV yako ulishaidekia matapishi. Ngoja nikwambie ni heri mtu akuibie kila unachomiliki lakini asiathiri hadhi au taswira yako. Yeriko wewe umebaki jina tu. Huna tena hadhi ya mtu yoyote kukuchukulia serious. Poor you.
 
Magufuli huyu huyu alilazimisha kituo cha mafuta cha Mansoor kibomolewe kibabe licha ya ushauri aliopewa na Halmashauri ya jiji la Mwanza. Yeye akasema mimi ndio waziri nimesema. Hatima yake serikali ikashindwa kesi na kulipa fidia zaidi ya shilingi Bilioni 3 na kumpatia tena Mansoor eneo lingine ambalo lilishatengwa kwa shunguli zingine za umma.
Hasara kama hizi zilimpasa kuwa ameshaondolewa ofisini na kuadhibiwa, lakini kwa serikali hii tuliyo nayo bado hapo anapewa sifa.
 
usitufanye akili zetu kama njiwa. magufuli hakuuza yeye nyumba za serikali. ilikua uamuzi wa serikali yeye alisimamia utekelezaji tu. wa kulaumiwa ni aliyekua rais na waziri wake mkuu..kwa magufuli ufisadi mnatafuta kwa darubini kwa mabwana zenu tunaona ufisadi kwa macho..hiyo ndio hali halisi.
 

Yerico hebu mjibu huyu jamaa afu ntarudi.
 
Toa povu..toa povu...mabadiliko ni lazima..hata mngeweka jiwe na ccm..tunachagua jiwe..haturudi nyuma..najua una maslahi ndani ya ccm..jiandae kisaikolojia ...mtakaangika mwaka huu si mlizoea miteremko wazee wa ma EPA..ESCROW. ..kazi mnayo!


Unachagua cyo "Tunachagua" mbona unapenda kugeneralize? Unahic wote tunatumia utumbo kufikir kama wew... wataje wenzio si kutuweka na wengine sisi hatufuatut MIKUMBO

PUMBAAAAA
 


Wewe mzee sijui bibi usipende KUPOTOSHA kwa ajir ya kuchumia TUMBO... Mnahangaika sana kutafta kashfa kwake lakn hamzipat... TOA USHAIDI WA HAYO UNAYOYASEMA

Sept mosi njoo na maada zako za kubun kama hiz... naona wataanza na wew
 
Wewe mzee sijui bibi usipende KUPOTOSHA kwa ajir ya kuchumia TUMBO... Mnahangaika sana kutafta kashfa kwake lakn hamzipat... TOA USHAIDI WA HAYO UNAYOYASEMA

Sept mosi njoo na maada zako za kubun kama hiz... naona wataanza na wew

Kama ni uongo lete ukweli wangu
 

kama ishu ya kituo cha mafuta mwan.za huijui ungekaa tu kimya we f.unza wa chooni
 
Yericko Nyerere

YERIKO Bandari, Airport wala Air Tanzania vyote havipo Wizara ya Ujenzi tafuta habari nyingine. Nimeamini DR. Slaa anakufahamu vizuri kwa uongo wako!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…