Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Mbona kila neno unaanza na herufi kubwa? ni bahati mbaya au ndio ujinga wenyewe?
 
Magufuli arudishe nyumba za serikali alizowapa ndg zake na maha.w.ra wake huku taifa likiingia hasara ya bilion321 mwezi
 
Mbona kila neno unaanza na herufi kubwa? ni bahati mbaya au ndio ujinga wenyewe?

Umeishia Darasa La Ngapi?.Au Umeanza Kutumia Simu Lini?.
Hii Ni "Input Method Settings" Hata Ww Unaweza Kufanya Kwenye Hicho Kimchina Chako Cha Techno.
Husipoelewa Hapo Basi Ujinga Wako Utakua Umepitiliza Sana.Na Kwa Heshima Yako Itabidi Tukutoa Kwenye Ujinga Wa Sasa Na Upande Cheo Uwe Mpumbavu Kwa Heshima Na Hadhi Ya Upumbavu Unao Miliki
 
Nilimsikia babu akitapatapa kwamba sasa watashinda kiulaini wakati hata mgombea hawana. Wakati ule alisema wakimuweka EL watatangaza ushindi saa 4 ash, leo kawekwa JPM bado anang'ang'ana eti watashinda! Akili za bavicha hovyo kabisa.

ww una akili ya kizee na kizembe kufikiria yaan bado unataka ccm ituongoze? hii nch n shida'
 
Kwani kanuni za uandishi zinasemaje? Inamaana hujui hata kuitumia simu yako mwenyewe ili uweze kuwasiliana vema kimaandishi?
 
Magufuli wapi na lini aliunda na kufanya kazi na timu? Et aanze leo kuwa team player!. unakielewa unachokisema?

Team ya mafisadi wale wale kina Lowasa, Membe, ritzmoja, chenge, ambao ndio waliolifikisha taifa hapa, leo itakuw team nzuri?

Lowasa hana uwezo wala sifa ya kuwa raisi!.


 
Magufuli hawezi kushinda, nilisema humu... CCM furaha yao imeishia pale DODOMA jana... hali ni ngumu CCM kushinda, Lowassa ndio ilikuwa tegemeo lao, sasa ni Dr. Slaa UKAWA TU... watu siku hizi wanachagua mtu sio chama...!!!


Hata Lowasa wasingeshinda kwa kuwa alionekana ana watu kwa sababu walikuwa hawana habari zake sahihi na nayeye akatumia kuwahadaa wakati anafanya mazoeizi peke yake uwanjani. Kimbunga ungekiona kama angelibahatika kucheza mechi na UKaWA. Pengine angejaribu kuweka mpira kwapani!.
 


Hakuna binadamu aliye mkamilifu,wote tuna mapungufu,ni candidate yupi labda aliye msafi ungependa apeperushe bendera ya ccm??
 

Kama kweli wewe ungekuwa UKAWA usingejibu namna ulivyojibu ila kwa sababu ni CHAMA kwanza basi majibu yako ni sahihi kabisa.

Huo Mkeka aliotandaza alinunua kwa pesa yake ya Ubunge?Kama sisi watanzania ni kodi yetu basi huo ulikuwa wajibu wake maana tumelipia ,pili hata huo mshahara wake ni kdoi zetu hivyo alikuwa anafanya kazi anayolipwa na mlipa kodi.

Haya hiyo quality ya barabara nayo?Mvua moja tu hatuna Barabara.Kaka nenda Njombe uone barabara iliyojengwa nyakati za JKN zikoje miaka nenda rudi zikoje?Ziko sawa na hizi za asilimia kumi kwa Waziri na watumishi wake?Na nyumba za serikali zilizohongwa kwa wanawake wake nazo?Eti msafi,hao anaowananga wanajua BEI yake.Magufuli hana usafi wowote yupo kwa ajili ya kulinda maslahi ya CHAMA CHA MAFISADI.Tunahitaji rais atakaye onekana sura yake na nia yake ya kuondoa rushwa na ufisadi,mpokea rushw ahawezi kuiondoa.

Kama anasema ataonoda RUSHA na UFISADI ,wizara yake ndiyo inayonuka RUSHWA na UFISADI hakuuondoa akiwa WAZIRI laeo akiwa rais ataweza?

Sipendi kudanganywa na sipendi kukudanganya chagua lenu la CCM mmepiga mbovu,hakuna kitu,mliowaacha ambao hawakuingia hata TANO bora kulikuwa na wasafi zaidi na watu ambao wana misimamo.

Sasa huyu unayemtetea alishahonga nyumba ya serikali kwa Nyumba ndogo aka HAWARA leo akiwa rais si atahongo nchi ili apate kwa bibi?
 


Still it does not explain kura za Asha kutoka 280 hadi 59,it should have been divided by a factor of 3.so angpata kura 90 au 100 naa.., second, haioneshi uwiano wa nguvu ya Lowassa. Sitaki kuamini Waliompigia kura Candidate aliyekuwa anam-favor Lowassa ni asilimia 10 tu ya mkutano mkuu.That does not make sense.Ukizingatia huyu mgombea ametoa Zanzibar ambako tayari alikuwa ana base kubwa sana yya votes, tena ni mwanamke.

When a male candidate gets 87% of the votes kwenye mkutano usio na wanaume 87% hii ni subject to suspicion. naamini kabisa haya matokeo ya Magufuli ni faked ku-influence opinion of party standing behind him. I will not be suprised, kama Magufuli was not even the first one, or he won by a very small margin, or he never got 50% of the votes to start with.

It's for this reason we need open vote counting. Kama muda wa kuhesabu kura hautoshi, kura zisipigwe. Huu usanii wa kusema kura 2,000 ni nyingi sana kuhesabu , it really got me mad. i felt that my intelligence and that of all Tanzaians was being insulted
 
Unayotakaniseme nani anafaa siyo agenda yangu. Hapa tunamchambua magufuli na matatizo yake ya ki diplomasia. Ninaona mtu aliyejifungia ndani ya sanduku dogo jeusi la giza lenye wigo mfinyu ambaye hawezi kuelewa wala kuhisi nini kiko nje ya hapo alipo. Pole.




 

Uko sahihi kabisa. You are very very right. But mind, huyu ni Magufuli, a new face in this highest position of governance. Watu waliichoka CCM (chama) na si certain individuals ambao wamejipambanua kuwa wazuri wa kuchapa kazi na kutokuwa na kashifa. Kumbuka hawa ni watu wa vijijini uelewa wao ni mdogo. Mimi Magufuri is the same wine in another bottle. Anatoka kwenye kikapu hicho hicho cha uchafu! Lakini watu wa kijiji chake hawawezi kumnyima kura, mtoto kutoka kijijini kwao anakuja kuwa Rais, tena rais wa nchi na sio TFF etc! Suppose it were you, utamnyima kura!
 
kiukweli nimeridhika na mgombea urais wa ccm kwa sababu moja tu
magufuli ni msimamizi wa sheria taratibu kanuni na sera
tanzania tunazo sheria nyingi sana na sera nzuri sana tunachokosa sisi ni usimamizi
hakuna haja ya kupanga sera na sheria mpya hebu tujaribu kusimamia hizi zilizopo tuone zitatufikisha wapi
 
Kuhusu suala la magufuli yeye yupo safi but kajipotezea wasaa wake kwa kugombea chama chakavu cha mapinduzi(ccm) kwa sasa naweza kusema kwamba kura yangu itabadili maendeleo kwa kuipeleka UKAWA .KAMA MIMI MZALENDO NIWEZE TAMBUA KUWA TZ INA MFUMO WA VYAMA VINGI AU KIMOJA? jiulize tangu 1992 mpka sasa ccm why?
 
Hivi ikija kutokea huyu bwana mkubwa akapenya na kuwa Prezidaa wa hii kaya (japo upo uhakika wa 96% wa kuwa raia namba moja wa nchi) mnadhani anaweza akamuamini nani na kumpa dhamana ya kuongoza iliyokuwa wizara yake?
 

Attachments

  • 1436856333030.jpg
    26.2 KB · Views: 114
Mgombea mteule wa urais kwa tiketi ya CCM amesema kuwa atalala mbele na wazembe serikalini ili kuleta maendeleo kwa wananchi kwani maendeleo hayana chama, swali je rushwa nayo maana ni kikwazo katika maendeleo zaidi ya uzembe ataiondoa?

Tutafakari sana.
 
Ulitaka ayazungumze yote pamoja? Nchi haina tatizo moja Kamanda, hiyo rushwa na uzembe ni sehem ndogo sana ambayo imetufikisha hapa tulupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…