Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,301
Mbona kila neno unaanza na herufi kubwa? ni bahati mbaya au ndio ujinga wenyewe?Kua Na Akili Nyingi Ni Kua Na Uwezo Wa Kujitambua Na Kujua Udhaifu Ulionao Pamoja Na Pontential Uliyonayo.Kua Na Uelewa Wa Kusoma Alama Za Nyakati Na Kujua Ni Njia Ipi Inafaha Na Ni Nyepesi Kupita Kwa Wakati Uliopo Na Kwa Changamoto Zilizopo.Ili Kutimiza Malengo Yako Uliyojiwekea.
Faida Kubwa Ya Kua Na Akili Nyingi Ni Kufanya Maamuzi Sahihi Kwa Wakati Sahihi Na Kwa Faida Sahihi Ya Walio Wengi.Nadhani Nimeeleweka Mkuu Japo Kwa Kifupi.