Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ujio wa magufuli katika kinyang'anyiro cha urais unatajwa kuwa ni kazi za mwenyezi mungu. Magufuli amekuwa ni mtu anaependwa sana na wananchi kila kona ya nchi hii, si watoto,vijana, akina mama na wazee wote kwa pamoja wanaamini magufuli ndo kimbilio la mafanikio. Maadili mema, utu, hekima ,busara ni moja ya sifa za kipekee zinazombeba magufuli.
Ujio wa Magufuli katika kinyang'anyiro cha Urais unatajwa kuwa ni kazi za Mwenyezi Mungu. Magufuli amekuwa ni mtu anaependwa sana na wananchi kila kona ya nchi hii, si watoto,vijana, akina mama na wazee wote kwa pamoja wanaamini Magufuli ndo kimbilio la mafanikio. Maadili mema, utu, hekima ,busara ni moja ya sifa za kipekee zinazombeba Magufuli.
Si hivyo tu,hajatumia rushwa kupata hiyo nafasi.
aaa wapi huyo ni victim wa kudondoshwa kwa vigogo na wala hakuwa kwenye mpango wa CCM wa sasa na wala wa baadae so kapewa mzigo asiouweza manake CCM kusema kweli imechokwa na mambo yake sasa sifikiri kama yeye mmoja anaweza leta anachokisema eti mabadiliko ya kweli coz anaonesha anapingana na sera za chama chake.
Chaguo la Mungu yupi maana iko miungu mingi!!
Ujio wa Magufuli katika kinyang'anyiro cha Urais unatajwa kuwa ni kazi za Mwenyezi Mungu. Magufuli amekuwa ni mtu anaependwa sana na wananchi kila kona ya nchi hii, si watoto,vijana, akina mama na wazee wote kwa pamoja wanaamini Magufuli ndo kimbilio la mafanikio. Maadili mema, utu, hekima ,busara ni moja ya sifa za kipekee zinazombeba Magufuli.
Hilo ni chaguo la laana ndio maana matukio ya vifo ni mengi sana mwaka huu.Ujio wa Magufuli katika kinyang'anyiro cha Urais unatajwa kuwa ni kazi za Mwenyezi Mungu. Magufuli amekuwa ni mtu anaependwa sana na wananchi kila kona ya nchi hii, si watoto,vijana, akina mama na wazee wote kwa pamoja wanaamini Magufuli ndo kimbilio la mafanikio. Maadili mema, utu, hekima ,busara ni moja ya sifa za kipekee zinazombeba Magufuli.