Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

Rais wetu Magufuli tunakutakia kila raheli katika utendaji wako.
 
Rais mshamba,sio presentable,mropokaji anayeweza hata kutumiana email na mgonjwa ICU,poor english,anakurupuka,hupati kura yangu
 
Ili kuleta maendeleo na amani lazima kuwepo na umoja,na ili kuleta maendeleo lazma awepo mtu mchapakazi,mwadilifu na asiyekuwa mwoga.
ili kuleta umoja na amani lazma awepo mtu asiyefungamana na upande wowote,mtu asiyekuwa na makundi nyuma yake...

Mtu asiyekuwa na roho ya kulipiza visasi na kupendelea kikundi fulani cha watu..

Mtu asiye na element yeyote ya ukabila...

Dr.magufuli hana kundi lolote nyuma,hatumii fedha katka kusaka uongozi kama jinsi wafanyavyo wengne..
Hana uchu wa madaraka,Ana political torelance,

Dr. Magufuli katka kila wizara aliyoiongoza performance yake imekuwa kubwa maradufu..

Kama jinsi waswahili wanavyosema"kila anayetenda mema hulipwa kwa wema"Mungu ameona utendaji na roho ya kujitolea ya Magufuli dhidi ya taifa hili..

Ameona anafaa kabsa kuwaletea Watanzania maendeleo kupitia uchapakazi wake,Mungu ameamua kumlipa kwa wema Dr.magufuli amempa nafasi muhimu na ya kipekee kabsa ya wakuwaongoza watanzania,no one knew that magufuli will become.

The president..its GOD..LET US ALL STAND TOGETHER AND SUPPORT THIS GOOD WISH FROM OUR ALMIGHTY ALLAH..!!REGARDLESS OF OUR IDEOLOGIES & PARTIES..

DR. MAGUFULI THE BEST CHOICE OF TANZANIANS.

Kumsifia magufuli ana jenga barabara ni sawa kumsifia house girl analea vyema family wakati fedha watoa wewe
 
Ana viashiria vya udikteta.
Anatoka katika chama chenye ufisadi wa kimtandao.
Anatoka katika chama kilichokataa katiba ta wananchi.
Ana historia ya upendeleo.
Hana upeo na ubunifu kama kiongozi.
Ana hulka ya kukurupuka.
Lugha ni tatizo.
 
Mtalaaum Wa Kukalili Na Kuongopa, Utasikia Ziwa Tanganyika Lina Samaki Wenye Mimba Tilion Tisa Sabini Na Nne Elfu Mianane Sitini Na Mbili, Kanzania Inakondoo Milioni Kumi Na Saba Na Laki Mbili Mianne Sabini, Kuku, Mbuzi, Ng'ombe, Vipepeo. Watu Sisimizi, Watu Pwapwapwapwapwa,
Hahahah...pamoja na hizo mbwembwe hamjui Rais wa Libya
 
Achen kusema mfumo huo ni upungufu wa fikilia katka vichwa vyenu ivi uongoz wa mkapa na jk wa2 unaendana? Nakama uko tofaut je unazan uongoz wa magufuri utafanana na wakikwete? Achen fikila za kipumbafu nyie magufuri ndie raia pekee tena msafi
 
Kama huyu unadhani ni chaguo la Mungu yupi?


LOWASA.jpg
Ni sisi tunachagua sio Mungu. Hataenda kituoni tarehe 25/10!
 
Tumia haki yako ya kikatiba ifikapo tarehe 25 Oktoba kwa kupiga kura, kura yako kwa Magufuli ni ushindi wa Tanzania nzima kwa maendeleo endelevu. Huo ni ushauri wangu kwa mtanzania mpenda maendeleo. Ndiyo maana yeye anasema atafanya kazi na watanzania wote na kila mara anasisitiza kuwa atafanya kazi kwa moyo wake wote kuwatumikia watanzania na hatawaangusha.

KURA YAKO NI MUHIMU, MPIGIE KURA NA MCHAGUE MAGUFULI KWA MAENDELEO YA TANZANIA.
 
Tumia haki yako ya kikatiba ifikapo tarehe 25 Oktoba kwa kupiga kura, kura yako kwa Magufuli ni ushindi wa Tanzania nzima kwa maendeleo endelevu. Huo ni ushauri wangu kwa mtanzania mpenda maendeleo. Ndiyo maana yeye anasema atafanya kazi na watanzania wote na kila mara anasisitiza kuwa atafanya kazi kwa moyo wake wote kuwatumikia watanzania na hatawaangusha.

KURA YAKO NI MUHIMU, MPIGIE KURA NA MCHAGUE MAGUFULI KWA MAENDELEO YA TANZANIA.

Wananchi chagueni Lowassa tu miaka 54 ya Uwizi watosha,CCM NI WEZI DAIMA
 
wananchi wa jijin mbeya walia kwa uchungu wakimtaka lowassa apumzike uongozi kwani yeye sio msaada kwao, hii imedhihirisha wazi pale wananchi walipofuatilia orodha ya marafiki wa lowassa na kukuta wote ni wale wenye vipato vya juu na hawana mazoea ya kukutana na wananchi wa chini kwa ukaribu.
 
Kuichagua ccm ni kulidhalilisha taifa na vizazi vijavyo
 
hapakazi tu hakuna wakushindana na Magufuli....

Sijaona kazi zaidi ya ahadi. Ametoa ahadi nyingi sana na akajumlisha na za JK ambazo hakutekeleza, anaaidi nazo atazitekeleza. Unahitaji kuwa na uelewa mdogo tu kutambua kuwa hizi ahadi hata tungemchagua awe raisi wa maisha hawezi kuzitekeleza.
Mimi naona HAPA AHADI TU na hakuna wa kushindana na Magufuli kwa ahadi....!!
 
Wananchi wengi katika maeneo mbalimbali hapa nchini wamekuwa wakimtaja john POmbe MAgufuli kuwa mgombea ambaye kihistoria ni kama MWalimu nyerere,twende na MAgufuli
 
Back
Top Bottom