Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
......Jengo alikuwa Professor kabla hajapata kuwa na PhD......PhD yake aliipata baadaye sana......
Okay. Interesting....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......Jengo alikuwa Professor kabla hajapata kuwa na PhD......PhD yake aliipata baadaye sana......
Oh yeah...ulikuwa hujui? Sikujua kama alikuwa anaandikia Pambazuka pia. Big up.
Mijitu humu inabisha bisha as if inabishana na watu wasiojua lolote kumbe wengine walikuwa majirani zake kabisa . Some of these people man!
Mi wala sijapotea. Halafu hufai kabisa wewe. Sijui kwa nini tu unapenda kunibania.....mpe Hi basi ukimwona.
Bora yeye kazipata kwa jasho, kuna mtu hata hajasome ila anaitwa Dr fulani
nimemfuatilia hii historia yake na kuitafakari kwa mapana nikagundua mambo mawili
1;hana malezi ya wazazi, alilelewa zaidi na bibi, kwahiyo akajengwa kwenye mazingira ya kimtaa,,na kudekezwa hata ukifanya utumbo, !!!WALIOLELEWA NA BIBI WANATAMBUA HILI
2:Ana laana ya wazz wake(BABA).nimejaribu kusoma na kurudiarudia sikuona jitihada zake kuhusu kunfuatilia bb yake,kumthamini,kumsaidia kiuchumi na hata kuja kumzika bb yake(hana utofauti na kigwa)
kwa hali hiyo inatosha kusema jamaa laana inamuandama sana na hata ACT itakuwa hivyo kama alivyosaliti cdn
labda aende akaombe bb yake msamaha hapo ndipo atakapokombolewa kifkra na baadaye kukomboa jamii
1) Kulelewa na bibi imekua dhambi? Wangapi wamelelewa na bibi zao na ni watu wanaojitambua na wanamichango chanya. Je inafuatilia kuwa kila naelelewa na bibi anadekezwa?
2) Kilichoandikwa kwenye taarifa #1 (sijui source yake ni ipi na madhumuni yake yalikia yapi?) hakijitoshelezi kukuruhusu wewe kufikia conclusion unazozitoa. Tafakuri yako iko flawed.
3) Prof. ndani ya Chadema alichukua a calculated risk bahati mbaya au nzuri strategy "yake" ikagunduliwa na akafukuzwa uanachama. Hii haitoshi?
Nimeshangaa sana kusikia kuwa kabla ya 2005 Kitila alikuwa CCM,
Kumbe miaka ya mid to late 1990's tulipokuwa DARUSO tukifanya harakati za chuo kumbe mwenzetu alikuwa kada wa CCM huku akitudanya kuwa yeye ni mpiganaji na mpinzani 4 life?
Nilikuwa naamini hukumu aliyopewa CDM alionewa ila sasa naanza kupata wasi wasi na huyu jamaa, vinginevyo aje jamvin kukanusha
nimemfuatilia hii historia yake na kuitafakari kwa mapana nikagundua mambo mawili
1;hana malezi ya wazazi, alilelewa zaidi na bibi, kwahiyo akajengwa kwenye mazingira ya kimtaa,,na kudekezwa hata ukifanya utumbo, !!!WALIOLELEWA NA BIBI WANATAMBUA HILI
2:Ana laana ya wazz wake(BABA).nimejaribu kusoma na kurudiarudia sikuona jitihada zake kuhusu kunfuatilia bb yake,kumthamini,kumsaidia kiuchumi na hata kuja kumzika bb yake(hana utofauti na kigwa)
kwa hali hiyo inatosha kusema jamaa laana inamuandama sana na hata ACT itakuwa hivyo kama alivyosaliti cdn
labda aende akaombe bb yake msamaha hapo ndipo atakapokombolewa kifkra na baadaye kukomboa jamii
huyo ndiye mwasisi wa chama mbadala wa cdm nchini taz!!!!!
ukishangaa ya mkumbo utayaona ya dotto c rangimoto
bunge limejaa maprof na madr lakini ndiyo hao wanaozomea ndiyooo kama hakuna matatizo yanayopasa kushughurikiwa kwa weledi.Haya sasa Prof. KITILA MKUMBO vs Ndugu TUNDU LISSU, lissu aokote makopo.
jamaa wanatukana kweli,kumbe frustratiom mbaya jamani...!!
Hongera Prof Mkumbo, hongera ACT!!