waheshimiwa, habari nilizonazo ni kuwa juzi kikao cha senet chuo kikuu cha dar es salaam imemtunuku hadhi ya uprofesa dr. Kitila mkumbo. Kwa hiyo kuanzia sasa sio tena doctor bali ni professor. Hongera profesor mkumbo
Boooooongooooo.
Hivi professor ni nani na Dr. ni nani?
Na kipi kina prestige zaidi?
Kwa nini?
Nyani Ngabu tusaidie wengine hapa kuelewa maana you have the best of both worlds in this matter.
Naangalia kinyamwezi it doesn't make.
Au u Professor bongo ni cheo fulani, as opposed tu mwalimu wa chuo kikuu?
Mshikaji unawivu utaolewa shauri yako.Bora yeye kazipata kwa jasho, kuna mtu hata hajasome ila anaitwa Dr fulani
Mwenye details atueleze kafanya research ya nini?
Bora yeye kazipata kwa jasho, kuna mtu hata hajasome ila anaitwa Dr fulani
Haya sasa Prof. KITILA MKUMBO vs Ndugu TUNDU LISSU, lissu aokote makopo.
Yaani wewe ni zuzu wa mwisho kabisa duniani huyo jamaa huo uprofesa unamsaidia yeye na familia yake!!
Hivi vigezo vya mtu kuwa professor ni vipi?WanaJF,
Naamini wote tunamfahamu ndugu Kitila Mkumbo kwa wadhifa wake wa uhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Katika wadhifa wake huo yeye amesimama kwa kiwango cha elimu cha Ph.D na alikuwa akiitwa Dr. Kitila Mkumbo kwa kipindi kirefu kwa sasa.
Ila kwa sasa ndugu Kitila Mkumbo ameukwaa u-professor rasmi na kuanzia leo atakuwa akijulikana kama Prof. Kitila Mkumbo!
Taarifa hii ni dhahiri itawatia hasira sana watu wa CHADEMA huku wakiongozwa na babu Slaa bila kumsahau Mbowe!
Jamani, wote kwa pamoja tutumie fursa hii kumpongeza ndugu Kitila Mkumbo kwa kuukwaa u-professor!
Mazee, kibongo bongo profesa ina ujiko zaidi. Sijui kwa nini hasa ila nadhani ni vile linavyo-sound (I know it's silly). Lakini pia, kwa UDSM hususan enzi zile ambapo chuo kikuu kilikuwa kimoja tu (ukiacha Sokoine), associate professors na professors mishahara yao ilikuwa zaidi ya senior lecturers.
So a move up in rank went along with a bump in pay. Maybe this could partly explain the perception of prestige.
Halafu zamani mtu kuwa profesa hapo UDSM haikuwa lazima uwe na PhD. Siku hizi sina hakika kama bado wana huo utaratibu.
Sasa sijui hiyo dhana ya profesa kuwa prestigious zaidi ya PhD inatokana na nini maana kitaaluma mtu mwenye PhD asiye profesa atakuwa kamzidi profesa asiye na doctorate.
Kinyamwezi hai make sense sababu wao hata mtu kuwa na PhD si nongwa kivile. Kuna watu kibao tu wana PhD lakini hata huwezi kuwajua kama wanazo. Case in point - Maj.Gen. Harold Greene aliyeuliwa majuzi huko Afghanistan. Huyo angekuwa mbongo titles zote zingekuwa zinajulikana Dr. Maj. Gen Harold Greene....lakini unyamwezini kama hayuko hayuko kwenye academia ni ngumu kujua. Wangapi wanajua kuwa Newt Gingrich ana PhD? Ushawahi kusikia anaitwa Dr.Newt Gingrich?
Hapa UD zamani ilikuwa rahisi kujua hata nani kasoma wapi. Wale washua waliosomea Marekani walikuwa hawana nyodo za ku flaunt titles zao. Ila wale waliosomea Ujerumani Mashariki, Romania, Hungary, Yugoslavia na kwingine huko kwa Masoshalisti walikuwa na nyodo sana za kutaka kujulikana.
Uwe unasoma mabandiko mengine kabla ya kuleta uzi wako hapa. Hiyo habari tayari iko jamvini.Acha misifa na kujipendekeza
Ndio raha tu ya kuwa CCM, hata kipindi kile Prof. Baregu angekubali kuwasujudia CCM asingeondolewa na Ghasia pale UDSM. Alaimua kuutunza na kuuheshimu U-professa wake.WanaJF,
Naamini wote tunamfahamu ndugu Kitila Mkumbo kwa wadhifa wake wa uhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Katika wadhifa wake huo yeye amesimama kwa kiwango cha elimu cha Ph.D na alikuwa akiitwa Dr. Kitila Mkumbo kwa kipindi kirefu kwa sasa.
Ila kwa sasa ndugu Kitila Mkumbo ameukwaa u-professor rasmi na kuanzia leo atakuwa akijulikana kama Prof. Kitila Mkumbo!
Taarifa hii ni dhahiri itawatia hasira sana watu wa CHADEMA huku wakiongozwa na babu Slaa bila kumsahau Mbowe!
Jamani, wote kwa pamoja tutumie fursa hii kumpongeza ndugu Kitila Mkumbo kwa kuukwaa u-professor!