Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Dr. Mwele ungekaa kimya mama!, ukishambuliwa ukatulia mimi huwa naona inakuwa bora zaidi kuliko kujibu...anyway watu tunatofautiana malezi!
Mkuu mbona kama hapa na wewe hujakaa kimya? Unajua kwann umeongea? Umekereka na majibu yake. Ulitaka anyamaze.

Sasa Imagine wewe ambaye haikuhusu umeongea kwa sababu amefanya kile usichopenda, Je yeye ambaye inamuhusu moja kwa moja kwa kufanyiwa kile asichopenda?

Ukishambuliwa instict zinakutuma ujitetee. Ni Mara chache sana, kwanza si Mara chache lazima utajitetea tu kwa rafiki, au kwa ndugu au rohoni kwako. Lakini utajitetea.

Kama Ile tweet ililenga kumjibu mh, basi ni vizuri maana Mh atajua ni nn huyu mama anawaza juu ya makosa anayoamini mama ameyafanya. Kama hili kosa kalifanya kweli basi raisi ameshajua kuwa huyu mtu hajajutia pamoja na mm kumuadhibu.

Mfano angetweet ' Watz mnisamehe, Raisi wangu nisamehe mjadala ungekuwaje?
 
Hata hili la Ebola kutangazwa tangwa huko nje mkuu naona mkuu kahisi fyokofyoko ilikoanzia huenda kwa huyu huyu ndo kaamua kupitishia zika
 
He is too local,too unprofessional,he is so incompetent ataanzaje kwanza kuchagua maneno , wewe hushangaii mambo ya ccm hoyee yamekujaje kwenye jukwaa la kimataifa?Hivi Rungu nae aliposimama kuongea alitaja chama chake au yeye huko Zambia hana chama?
 

So ndio tayari alishamuadhibu KWA kumuondoa kwenye wadhifa wake alionao, sasa KWA nini bado anaendelea kumfuata fuata NA kumsakama????????

Unajua, hata ktk maisha ya kawaida ya wanandoa , mume unapoamua kumuacha mke NA kisha unamfukuza nyumbani kwako unatakiwa kumuacha moja KWA moja ili awe huru kuendelea NA hamsini zake. Usimuonee wivu pale atakapoolewa tena NA mwanaume mwingine NA kuwa na maisha mazuri zaidi NA Yale aliyokuwa akiishi kwako.
 
Kikubwa ni mshahara kwani kazi ya sasa inamlipa vizuri kuliko hiyo kazi ya awali ya masimango na hofu ya kutokuongea ukweli, hata sasa tetesi za Ebola huko mipakani zipo lakini waziri wa Afya kwa kuhofia kukosa watalii kaamua kukanusha kwa nguvu kubwa kulinda kibarua chake
 

Naungo mkono hoja yako kwa 100%
 
21 Kwa ajili ya mambo matatu nchi hutetemeka, Naam, kwa ajili ya manne haiwezi kuvumilia.
Mithali 30 :21

22 Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula;
Mithali 30 :22
 
Si kama dengue tu zimekuja zimeondoka...
Umesema vyema mkuu, hawa wakina tajiri mpole naona uwezo wao wa kufikiri haujasambaa vya kutosha. Wao kazi ni kushangilia kila afanyalo mr. Jiwe. Ni shida, nabaki najiuliza kwa akili hizi za mkubwa ajambi, hii nchi tutatoboa kweli??
 
Alishasema anapenda Shilawadu unafikri kichwani mwake kajaza nini ?
 
Dr Mwele twambie Zika iko wapi?

ZIKA ilizikwa na Magufuli…!
Mtanzania leo hii akifa na ugonjwa wa ZIKA ataambiwa kafa kwa ugonjwa USIOJULIKANA…!
Kwa awamu hii EBOLA=ZIKA=UGONJWA USOJULIKANA!
Ni sawa tu na kusema WATU WASIOJULIKANA…! Si jambo la ajabu kusikia Mhe.Tundu Lissu aliposema tuna Rais wa ajabu sana na baada ya muda mfupi WATU WASOJULIKANA WAKAMTWANGA RISASI mchana kweupe na hawajajulikana mpaka mtondogoo…!
 
Like yangu ni ya 122, sijaona likes nyingi kiasi hichi[emoji2089][emoji2089][emoji41]
 
Hivi ugonjwa wa ZIKA upoje na ueneaji wake upoje na unachukua muda gani kuenea kwa watu wengi kiasi cha kuonekana kutisha?
 
Ipo Havard University
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…