Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuchaguliwa na wanachi wa bukoba na ndio maana hakuona haja ya kujua data hizo. Meya alijua kwan wanachi wa manispaa ya bkb wamemtuma kujua. Ukitaka kujua hilo sio dc sio rc sio mkurugenzi anajua kuhusiana na hizo fedhaYule mama wa Bkb amefuata nyayo za dr. Mwele. Nimependa ujasiri wake wa kusimamia anachokiamini kuliko angeleta data za uongo.
Mungu ndye juu ya kila kitu.
The problem was ccm now the problem has given birth to a bigger problem magufuli sjui nimalizie ..........
TuzoView attachment 625580
Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.
Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
Zika imeishia wapi!research hupingwa kwa research, prove alipo kosea
Ktk kipindi anachozawadiwa, mtu huyu alikuwa mkurugenzi wa NIMR. Swali langu zawadi hiyo amepewa yeye kama Mwele au NIMR? Iweje yeye binafsi apewe? Alifanyakazi peke yake bila kuihusisha taasisi wakati yeye ndo alikuwa CEO?View attachment 625580
Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.
Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
Mi nimekupata kuliko hawa wanaotoa pongezi!Wazungu ukiwajua wala hawakupi shida.
Hata mpirani tunashangilia goli linaloonekana. wewe unaamini amefanya la maana? Lipi? Umeliona? Hawa ni wazungu bosi, utaingia mkenge kwa sifa zao. Kutangaza Zika? iko wapi?Aibu kwa Magufuli zee la mihemko,wivu,majungu,mipasho,fitna,visasi
Acha unaa weweHongera kwake
Kuwemo nchini na kuzingirwa na ya siasa..
Alidumu kwa muda gani?Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa mtafiti, na kuwa kiongozi
Maybe Mwele alikua researcher mzuri sana lakini hakua na same qualities kama kiongoxzi wa institution
Hongera zake ila ni Pigo kwa Raised wetu na majizi ccm kwa ujumlaView attachment 625580
Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.
Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
in short kuwa trace element ya zika sio kwamba ndo tayari umepata gonjwa,,,,kuna viral load ikifikia ndo unaweza kuugua na kusababisha mlipuko...mbona haihitaji even rocket scientist to figure it outZika imeishia wapi!